Cvez JF-Expert Member May 19, 2018 4,345 13,077 Nov 27, 2020 #1 Hawa jamaa ni hatari na wanawapa watangazaji wetu katika wakati mgumu kutangaza magoli. Hasa hao wafungaji wawili wa mwanzoni.
Hawa jamaa ni hatari na wanawapa watangazaji wetu katika wakati mgumu kutangaza magoli. Hasa hao wafungaji wawili wa mwanzoni.
makaveli10 JF-Expert Member Mar 27, 2013 28,103 80,941 Nov 27, 2020 #3 Goli la kwanza KUNDU, la pili ATARI.
N nguvu JF-Expert Member Jun 13, 2013 21,013 19,804 Nov 28, 2020 #4 Ili tufuzu afcon tunapaswa kufika hatua gani kwenye haya mashindano?
Kusaja Senior Member Oct 28, 2012 114 41 Nov 28, 2020 #5 Tukifika Final ndo tunafuzu afcon nguvu said: Ili tufuzu afcon tunapaswa kufika hatua gani kwenye haya mashindano Click to expand...
Tukifika Final ndo tunafuzu afcon nguvu said: Ili tufuzu afcon tunapaswa kufika hatua gani kwenye haya mashindano Click to expand...
Kitoabu JF-Expert Member Jul 7, 2011 10,327 10,943 Nov 28, 2020 #7 makaveli10 said: Goli la kwanza KUNDU, la pili ATARI. Click to expand... Nilidhani nimeona peke yangu!
makaveli10 said: Goli la kwanza KUNDU, la pili ATARI. Click to expand... Nilidhani nimeona peke yangu!