kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 8,371
- 10,010
Explore the world,upate exposureHuyo lazima ni mtu wa kupiga viatu rangi
Explore the world,upate exposureHuyo lazima ni mtu wa kupiga viatu rangi
Sipendi stories za vijiwe vya gahawa. Lete ushahidi ya watanzania wanaoteseka Arabun.
Xenophobic aliyoisema Jaguar umeisahau?. South Africa wanapigania kupata Ardhi yao na kumilikishwa uchumi kwa black majority through " Black Economic Empowerment, just 25 years after their independence. Ninyi wakenya uchumi wenu na ardhi yenu vinamilikiwa na wazungu nearly 60 years after your indepence, na hakuna juhudi zozote zinazofanyika kurudisha uchumi wenu mikononi mwa wakenya.
Kinachozungumzwa hapa ni kuhusu tabia yenu ya kuwasaliti waafrika na kuamua kushirikiana na wazungu, tabia hii mlianza kyionyesha kipindi cha ukombozi na hadi sasa hivi mnaendelea nayo. Nchi za EAC zilipokubaliana kupiga marufuku nguo za mitumba toka Ulaya na Marekani, Kenya iliamua kujitoa pale USA ilipozitishia nchi za EAC, tena mlijitoa bila kushauriana na nchi zingine wabachama. Ninyi ni vibaraka wa wazungu acheni Maneno Mengi.
Xenophobic aliyoisema Jaguar umeisahau?. South Africa wanapigania kupata Ardhi yao na kumilikishwa uchumi kwa black majority through " Black Economic Empowerment, just 25 years after their independence. Ninyi wakenya uchumi wenu na ardhi yenu vinamilikiwa na wazungu nearly 60 years after your indepence, na hakuna juhudi zozote zinazofanyika kurudisha uchumi wenu mikononi mwa wakenya.
Kinachozungumzwa hapa ni kuhusu tabia yenu ya kuwasaliti waafrika na kuamua kushirikiana na wazungu, tabia hii mlianza kyionyesha kipindi cha ukombozi na hadi sasa hivi mnaendelea nayo. Nchi za EAC zilipokubaliana kupiga marufuku nguo za mitumba toka Ulaya na Marekani, Kenya iliamua kujitoa pale USA ilipozitishia nchi za EAC, tena mlijitoa bila kushauriana na nchi zingine wabachama. Ninyi ni vibaraka wa wazungu acheni Maneno Mengi.
Aaaaaweee...kwhyo unapinga km watanzania hawaendi arabuni kufanya kazi za ndani...kwn akili zenu huaga ziko vipi aisee
Kwa hiyo huo ndiyo ushahidi wako unaothibitisha kuhusu waTanzania wanaoteseka uarabuni.
Ndio nikakuuliza wapinga km hakuna watanzania wanaoenda arabuni kufanya kazi za utumwa...km unapinga sitobishana na wewe kuhusu kitu amabacho kipo wazi...
Kenya mnateseka, sauzi vile vile...yani kila mahali mkienda nyie mnakomalia kazi za kuunga unga tu
Huna hoja, kaa kimya.