joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Africanews | Latest breaking news, daily news and African news from Africa
Find out all about latest breaking news, daily news and hot news in Africa. African politics, African business, African sports, health and technology on, also available on VOD africanews.com
www.africanews.com
Majirani mnavuna mlichopanda, hata baada ya kuomba na kuipigia magoti South Africa ili waondoe visa kwa wakenya, ili kuonyesha heshima kwenu baada ya Kenya kuondoa visa kwa South Africa, hiyo haijatosha kuwasahaulisha kutokana na maovu mliyotenda enzi za ukombozi.
Mwaka huu South Africa imetangaza nchi saba na kuzifutia visa, mbili ni nchi za Africa, Ghana na kisiwa cha Sao Tome, Kenya bado inaendelea kuvuta subira, mkichoka vuteni Shisha.