steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Kwa wale waliotamani kuingia au kutoka SA Sasa muda ndiyo huu maana mpaka wa SA na Zimbabwe umefunguliwa kwa upande wa SA lakini changamoto Bado IPO Zimbabwe mpaka Jana tar 3 walikuwa Bado hawajafungua