South Africa shuts embassy in Nigeria after reprisal attacks

Wenzetu wenye kuona mbali wanatuma ndege zao kuwa evacuate watu wao free of charge, sisi Tanzania ambao raia wetu ndio wako kwenye the borne of contention, ndio kwanza ndege yetu inarudi tupu!, kisa "hatukuwapeleka"!.
P
Mwaka 2013 wakati South Sudan kumewaka moto na watu wanachinjwa kama bata, Nchi kama Kenya, Uganda na Ethiopia zilituma ndege kwenda kuevacuate raia wao free of charge. Baadhi ya Nchi kama Eritrea, Gambia and the likes (Tanzania hata haikuwa na wazo..) ziligoma kufanya hivyo zikidai "hao waliokwenda huko walijipeleka wenyewe so wajisort out". Kuna Nchi flaniflani kupoteza hata maisha ya raia mmoja kindezi ni msiba mkubwa
 
Wenzetu wenye kuona mbali wanatuma ndege zao kuwa evacuate watu wao free of charge, sisi Tanzania ambao raia wetu ndio wako kwenye the borne of contention, ndio kwanza ndege yetu inarudi tupu!, kisa "hatukuwapeleka"!.
P
Hile ndege haikutakiwa kukaa sana maana yule mkulima mstaafu alikata rufaa fasta
 
Mwenyekiti wa SADC kimyaaaaaa yuko busy kuwataja waliomuomba samahani.
Unashangaa nini wanasiasa wa Afrika wote walewale.

Hakuna maajabu kama kiongozi wa upinzani wa Tanzania anakiunga mkono chama tawala cha nchi jirani ili kiwashinde chama pinzani ktk uchaguzi mkuu.
 
Mbona kuna Viongozi wa baadhi wa nchi za Afrika wamekemea hadharani? KULIKONI huyu kapiga KIMYA!? 😳

Unashangaa nini wanasiasa wa Afrika wote walewale.

Hakuna maajabu kama kiongozi wa upinzani wa Tanzania anakiunga mkono chama tawala cha nchi jirani ili kiwashinde chama pinzani ktk uchaguzi mkuu.
 
Nilitegemea hata kuona Tanzania inaongea lolote kuhusu hali ilivyo huko ila hadi sasa hakuna kauli yoyote kutoka kwetu, ni kama tumebariki huo unyama unaofanywa na hawa Wasouth Afrika.
Waoga viongozi wana ile mentality ya undugu kwahyo wanamuhofia msouth kisa wanamkopaga msouth
 
Wenzetu wenye kuona mbali wanatuma ndege zao kuwa evacuate watu wao free of charge, sisi Tanzania ambao raia wetu ndio wako kwenye the borne of contention, ndio kwanza ndege yetu inarudi tupu!, kisa "hatukuwapeleka"!.
P
Yaani wee acha tu, Juzi nimemsikiliza Kabudi tamko lake kuhusu hizo vurugu za SouthAfrica nikasikitika tu
 
South Africa shuts embassy in Nigeria after reprisal attacks
Pretoria closes diplomatic missions as Nigeria encourages its citizens to return home amid anti-foreigner violence.
11 hours ago
South Africa shuts embassy in Nigeria after reprisal attacks

Protesters set tyres on fire in Abuja [Afolabi Sotunde/Reuters]
South Africa temporarily closed its embassy in Nigeria following violence against South African businesses in reprisal for attacks on foreign-owned stores in Johannesburg, while Nigeria announced plans to evacuate its nationals from South Africa.
South African Foreign Affairs Minister Naledi Pandor said on Thursday the embassy was closed temporarily after threats led to fears for staff safety.
"There is Afrophobia we are sensing that exists, there is resentment and we need to address that," Pandor told Reuters news agency.
Foreign ministry spokesman Lunga Ngqengelele confirmed the diplomatic missions in the Nigerian cities of Lagos and Abuja have been closed since Wednesday.

Advertisement
The announcement, which signals worsening diplomatic relations between the two African countries, comes after Nigeria introduced plans to evacuate its nationals from South Africa following a wave of attacks on foreigners.
Evacuation offer
The Nigerian foreign ministry said Air Peace, a commercial airline, offered to send an aircraft on Friday to evacuate nationals willing to return "free of charge".

"The general public is hereby advised to inform their relatives in South Africa to take advantage of this laudable gesture," Nigerian foreign ministry spokesman Ferdinand Nwonye said on Wednesday.
"Interested Nigerians are therefore advised to liaise with the High Commission of Nigeria in Pretoria and the Consulate General of Nigeria in Johannesburg for further necessary arrangement."
The statement was made after Foreign Minister Geoffrey Onyeama said Nigeria would not cave to Pretoria.
"The South African government has to assume its responsibilities and protect Nigerians in South Africa and we have to hold them to account, and they have to do that as well as pay full compensation," he said.
Pedestrians pass burnt out cars on the side of a street on the outskirts of Johannesburg, Monday Sept. 2, 2019. Police had earlier fired rubber bullets as they struggled to stop looters who targeted b

Rioting has killed at least seven people in Johannesburg and Pretoria in recent days [AP]
Tensions rising
It also came a day after Nigeria pulled outof the World Economic Forum (WEF) gathering in Cape Town, South Africa, casting a cloud over initiatives to boost intra-African trade.
Nigeria also recalled its high commissioner to South Africa, Kabiru Bala.
A presidential source told the News Agency of Nigeria that Abuja also demanded full compensation for the loss of life and property of Nigerians affected by the attacks.
Rioting in South Africa has killed at least seven people in Johannesburg and Pretoria in recent days.
Police in the country have yet to pinpoint what triggered the violence, which began on Sunday when protesters armed with makeshift weapons roamed the streets of Pretoria's business district, pelting shops with rocks and petrol bombs and running off with goods.
Authorities have made about 400 arrests, while people across the continent have protested and voiced their anger on social media.
Analysts have noted contributing factors to the latest violence include high unemployment and frustration with limited economic opportunities.
Reprisal attacks
On Tuesday, Nigerians launched what appeared to be reprisals against South African businesses in several cities across the country. Police said dozens were arrested for looting and attacks on South African retail and telecoms firms.
Abuja has repeatedly condemned the reprisals, which it insisted could only hurt Nigerians working in the affected firms.
Nigerian police said on Wednesday that security had been strengthened around South African businesses.
SOURCE: AL JAZEERA AND NEWS AGENCIES
Aliyeelewa anitafsilie maana hapa sina dictionary niliisahau kwa bibi
 
Nilitegemea hata kuona Tanzania inaongea lolote kuhusu hali ilivyo huko ila hadi sasa hakuna kauli yoyote kutoka kwetu, ni kama tumebariki huo unyama unaofanywa na hawa Wasouth Afrika.

Wenzetu wenye kuona mbali wanatuma ndege zao kuwa evacuate watu wao free of charge, sisi Tanzania ambao raia wetu ndio wako kwenye the borne of contention, ndio kwanza ndege yetu inarudi tupu!, kisa "hatukuwapeleka"!.
P
kwani hamjasmsikia mwenyekitibwa SADC kuongea? Mbona ameongea?
Amemshauri Museven amfukuze kamishina wa URA.
 
Back
Top Bottom