MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Bro tako linaliwa?be careful usiliwe tako. tu
Bro tako linaliwa?be careful usiliwe tako. tu
umevamia kuna mtu namjibu tembea tuu MkuuSijakuelewa point yako kulinganisha na post ya mleta mada naona kama umeandka kitu tofaut na alicholeta
Sawa mkuu isangaLusungo Simu,Radio,TV,Gari ni vitu vya kawaida tuu na bei zipo chini sana....Nikikueleza bei za magari tunavyonunua mnadani huko na aina ya gari lenyewe huwezi amini nimeshangaa unashangaa Simu ya Touch
wewe ilikuaje ukaenda huko, nini ilikua target yako kwanza .....pengine hukujipanga wala hukuwa na plan yoyote au ishu yoyote ya kueleweka,Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije
Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana wengi hasa wa Tanzania wanateseka Jamani
Sijui nisemeje, asie Sikia la mkuu basi azamie tu. View attachment 569601View attachment 569602
Wapo walio sema nimekufa Ila Mimi najichanga nirudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
kunjaani sikangaga mfwetu...sawubona!@isanga family
Kamwene segitouko mji Gani? nitafute ipo Capetown
Sijakupata vyemaKwenu pamekushinda Tanzania huwezi kwenda kule ukaweza.umetoka mkoa uko mjini uko resi je ukienda south?pamechafukwa