South Africa kuna msiba au sherehe?!

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Hivi huu msiba wa mzee Mandela unastahili kuitwa msiba?Watu wanaonekana wenye furaha tena wakiimba na kucheza!Hivi mtu ukiwa na uchungu wa kufiwa unaweza kweli kugeuza msiba kuwa ni tukio la kusheherekea maisha ya marehemu?!Au watu wanangoja mpaka waone anazikwa ndio wajue mwenzetu ametutoka?

Mimi naona huu sasa ndio mwanzo wa misiba kuwa sherehe kubwa kwa siku zijazo.Tunakoelekea misiba itakuwa ni kama sherehe hata kwa watu wa kawaida tu.

Heshima za kijeshi na mambo mengine ni ziada tu ila kipimo kikubwa ni mioyo ya wafiwa.

Yanayoendelea South Africa ni "mapinduzi katika ulimwengu wa misiba"
 
Ha ha ha haa "mapinduzi katika ulimwengu wa misiba" hahaha hicho kizazi cha hapo south africa natamani mukielewe jaman, asilimia kubwa wamepinda, wavivu, haswa hili kabila la afrikanas wanapenda sana bata. Bado south kuna matabaka sana, wale makaburu ndio wameendelea sn.

Wakat tz nyererer amefariki watu walipiga vilio tena vya kwikwi lakin south wanasheherekea, naweza kusema pengine hawajaguswa na huu msiba. Ndio maana hata waandishi wa habari wa kimataifa wanawauliza mtu akifa mnashangilia? Wanawajibu hapana, tunahuzunika mandela kafa, but finaly tunafurahia kwa sababu kapumzika
 
Ha ha ha haa "mapinduzi katika ulimwengu wa misiba" hahaha hicho kizazi cha hapo south africa natamani mukielewe jaman, asilimia kubwa wamepinda, wavivu, haswa hili kabila la afrikanas wanapenda sana bata. Bado south kuna matabaka sana, wale makaburu ndio wameendelea sn.

Wakat tz nyererer amefariki watu walipiga vilio tena vya kwikwi lakin south wanasheherekea, naweza kusema pengine hawajaguswa na huu msiba. Ndio maana hata waandishi wa habari wa kimataifa wanawauliza mtu akifa mnashangilia? Wanawajibu hapana, tunahuzunika mandela kafa, but finaly tunafurahia kwa sababu kapumzika

Ukichunguza vizuri utaona ni kama wamelewa ile "world sympathy" na sasa wanatia aibu!

Iko siku wazungu watatukejeli kutokana na yanayoendelea huko South Africa.

Hii ni aibu iliyofichwa na uzito wa huu msiba ila wakati utafika watu watajutia tukio hili.

Ni tukio ambalo limekuwa mishandled na sisi watu weusi.
 
Hivi huu msiba wa mzee Mandela unastahili kuitwa msiba?Watu wanaonekana wenye furaha tena wakiimba na kucheza!Hivi mtu ukiwa na uchungu wa kufiwa unaweza kweli kugeuza msiba kuwa ni tukio la kusheherekea maisha ya marehemu?!Au watu wanangoja mpaka waone anazikwa ndio wajue mwenzetu ametutoka?

Mimi naona huu sasa ndio mwanzo wa misiba kuwa sherehe kubwa kwa siku zijazo.Tunakoelekea misiba itakuwa ni kama sherehe hata kwa watu wa kawaida tu.

Heshima za kijeshi na mambo mengine ni ziada tu ila kipimo kikubwa ni mioyo ya wafiwa.

Yanayoendelea South Africa ni "mapinduzi katika ulimwengu wa misiba"


Tanzania hampati HABARI kamili pamoja na kuwa kwenda SOUTH AFRICA hakuna haja ya VISA?

Walitangaza toka MWANZO Mandela amefariki akiwa na Miaka 95 Watasherekea Miaka aliyokuwa hapa DUNIANI kwa CHANGES alizofanyia DUNIA kwa UJUMLA

Kwahiyo ni SHEREHE sio HUZUNI Jamani
 
Wanasherehekea maisha ya mandela. Ameishi miaka 95. Zaidi ya umri wa kawaida kwa sasa. Amefanya mambo makubwa.So ni sherehe ya aina yake...
 
Tanzania hampati HABARI kamili pamoja na kuwa kwenda SOUTH AFRICA hakuna haja ya VISA?

Walitangaza toka MWANZO Mandela amefariki akiwa na Miaka 95 Watasherekea Miaka aliyokuwa hapa DUNIANI kwa CHANGES alizofanyia DUNIA kwa UJUMLA

Kwahiyo ni SHEREHE sio HUZUNI Jamani

It does not make sense and it is totaly illgocial!

Kifo ni kifo tu!
 
Mandela has done enough for his people. Let him rest in peace
 
Hata kwangu ni sherehe ameteseka kitandani for how long? alikuwa hana opportunity ya kuishi tena ni sawa tu hata wakisherekea
 
Wao wenyewe hawataki kuuita mcba, wanasherehekea Kwa Kazi kubwa aliyoifanya maishani mwao. Na Ndo Maana watakaomzika NI familia tu, wengine wataishia kwenye hizi hotuba
 
Hivi huu msiba wa mzee Mandela unastahili kuitwa msiba?Watu wanaonekana wenye furaha tena wakiimba na kucheza!Hivi mtu ukiwa na uchungu wa kufiwa unaweza kweli kugeuza msiba kuwa ni tukio la kusheherekea maisha ya marehemu?!Au watu wanangoja mpaka waone anazikwa ndio wajue mwenzetu ametutoka?

Mimi naona huu sasa ndio mwanzo wa misiba kuwa sherehe kubwa kwa siku zijazo.Tunakoelekea misiba itakuwa ni kama sherehe hata kwa watu wa kawaida tu.

Heshima za kijeshi na mambo mengine ni ziada tu ila kipimo kikubwa ni mioyo ya wafiwa.

Yanayoendelea South Africa ni "mapinduzi katika ulimwengu wa misiba"
Kwa watu wenye imani msiba sio huzuni...Msiba ni furaha.....

Btw.....Umeshawahi kuhudhuria msiba wa WANYAKYUSA???
 
Huenda ni utamaduni wao.... Kuna kabila fulani sitopenda kulitaja, misiba yao huwa ni sherehe... watu hula, hunywa na hata kucheza muziki juu ya kaburi baada ya mazishi!!!
 
Arien Sharon, sijui kama nimelipatia jina lake kuliandika, yule wa Israel amelala kitandan miaka mingapi? Na je, waisrael watashangilia uwepo wake duniani siku akifa? These are two different people in any aspect.
 
Hata mimi nasherekea sababu mandela kaihuisha ndoto yake ya free south africa. Na yeye akaweza kuwa presidaa na kuwaunganisha watu wake. Kaweza kuishi miaka 95 zaidi ya kawaida. Kinachofuata ni kumshukuru mungu na kusherekea mafanikio yake, wnafamily watalia lkn sie wa mbali tunasherekea maisha yake. HAkusubiri south africa imtunze, yeye kaitunzia amani south africa
 
kifo kwa mapenzi ya Mungu ni vizuri kushangilia sisi Nyerere alikufa kwa mapenzi ya binadamu ndo maana tulihuzunika na tukalia. RIP Nyerere na Lumumba....
 
Hivi huu msiba wa mzee Mandela unastahili kuitwa msiba?Watu wanaonekana wenye furaha tena wakiimba na kucheza!Hivi mtu ukiwa na uchungu wa kufiwa unaweza kweli kugeuza msiba kuwa ni tukio la kusheherekea maisha ya marehemu?!Au watu wanangoja mpaka waone anazikwa ndio wajue mwenzetu ametutoka?

Mimi naona huu sasa ndio mwanzo wa misiba kuwa sherehe kubwa kwa siku zijazo.Tunakoelekea misiba itakuwa ni kama sherehe hata kwa watu wa kawaida tu.

Heshima za kijeshi na mambo mengine ni ziada tu ila kipimo kikubwa ni mioyo ya wafiwa.

Yanayoendelea South Africa ni "mapinduzi katika ulimwengu wa misiba"
Ila ni kwa great minds people kuanzia level zote familia, kaya, koo, kabila mpaka Taifa.Na tayari hapa nyumbani kuna baadhi ya watu mazishi yao yalikuwa ni furaha haijalishi umri bali mazuri mangapi ameyafanya kwenye jamii.
 
Huenda ni utamaduni wao.... Kuna kabila fulani sitopenda kulitaja, misiba yao huwa ni sherehe... watu hula, hunywa na hata kucheza muziki juu ya kaburi baada ya mazishi!!!

Jamani huo ni utamaduni wao. Kwa hapa Tanzania Wanyakyusa wanacheza ngoma na kucheza nyimbo za kienyeji baada ya mazishi. Na pia wanakunywa pombe sana. Na hii inafanywa kwa siku nyingi kutegemeana na umaarufu wa marehemu. Na wakati wa kuomboleza ng'ombe wengi (kutegemeana na umaarufu wa marehemu) wanachinjwa. Lkn siku hizi haifanywi tena kwa sababu serkali imelazimisha kuwa kuomboleza kusizidi siku tano baada ya mazishi. Ni heshima kubwa sana marehemu kufunikwa na blanketi kaburini. Mzee akipewa zawadi ya blanketi hufurahi sana na kusema kushukuru kwa kusema "ahsante kwa kunizika! Inatosha sana hata kama hutakuja kuhudhuria msiba wangu". Nimeshangaa sana kusikia kuwa Mandela naye atafunikwa kaburini na blanketi badala ya bendera South Afriica.

Nasikia Wajaluo nao hucheza muziki wakati wa msiba.
 
Back
Top Bottom