imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,676
- 71,034
Nasikia anaugua "ngoma" amekonda sana.Ila jamaa kapotezwa siku hizi. Sio yule Malema wa kipindi kile.
Back to topic: yeye anajua hicho kiswahili?
Nasikia anaugua "ngoma" amekonda sana.Ila jamaa kapotezwa siku hizi. Sio yule Malema wa kipindi kile.
Back to topic: yeye anajua hicho kiswahili?
Hatakama hajui Kiswahili the fact is that anajua kuna watu Zaidi ya milioni miam moja Afrika wanaozungumza lugha hii.Ila jamaa kapotezwa siku hizi. Sio yule Malema wa kipindi kile.
Back to topic: yeye anajua hicho kiswahili?
Safi sana!Hata Dictator Amin na ukorofi wake alikikubali kiswahili, na alitamani kukiona kikisambaa na kwingine Duniani.
Reform is possible, very possibleJamaa ana siasa kali za kizalendo, yaani za kibaguzi
Ni kama wale wazungu wapinga uhamiaji wasiopenda nchi zao kuingiliwa na Weusi ama Waarabu
Na ishu ya kuunganisha Afrika sijui ni ndoto ya saa ngapi
Nchi nyingi za Afrika zimeshindwa tu kujiunganisha kwa ndani zenyewe, unawaza bara zima kuungana, DRC, Sudan, Nigeria, Ethiopia, Cameroon n.k watu wanabaguana na kuuana kisa tu kabila tofauti ama dini, na viongozi wao wameshindwa kuwaunganisha, malaika gani ataunganisha bara zima?
Halafu single currency kwa biashara ipi tunayofanya pamoja?
Nchi za Kiafrica zinafanya biashara na China na Marekani & Ulaya kwa 90%, sisi hatuna vitu vya kuuziana labda sijui unga na maziwa
Sababu hatuzalishi bidhaa, tunaingiza kutoka ulaya na china kisha tunawauzia bidhaa ghafi, sasa hapo utahitaji single currency ya kazi gani? Au mihemko ya kuiga EU?
Wanasiasa wengine bana
Umemjibu vizuri sanaHujamfuatilia tu vizuri, na ANC navyoona wajiandae vizuri wasije wakaunda serikali ya mseto mwaka kesho. Malema anasumbua hadi wazungu wameanza kumchukia kuhusu sera yao EFF kuhusu ardhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili kilkuwa kinaitwa lugha ya ubabaishaji hata wana Chadema walikuwa wakikihusisha na Kikwete hahahaa..no more!..kiswahili kinasonga mbele.
Hata km pengine hakijui kuna vigezo ameviona pamoja na umuhimu wa kukipromoti hicho kiswahili .Na pengine tungeanzia hapo kwenye umuhimu wa hoja yake km ina mashiko au la.Ila jamaa kapotezwa siku hizi. Sio yule Malema wa kipindi kile.
Back to topic: yeye anajua hicho kiswahili?
Nabii hanaheshima/hakubaliki nyumbani kwao
Hahahahahahaaa!Duh!Kila nikitaka kukuelewa,nashindwa mkuu.Hii ni habari njema sana kwa Mh.Jiwe...
Jamaa ana siasa kali za kizalendo, yaani za kibaguzi, racist, black nationalist, tribalist
Ni kama wale wazungu wapinga uhamiaji wasiopenda nchi zao kuingiliwa na Weusi ama Waarabu
Huyu anazungumzia Kiswahili kwa kuwa tu ana chuki na wazungu na sio kwamba linaamini katika intergration ya ukweli baina ya binadamu hapa duniani
Muda huu tu BBC wameripoti Waafrika weusi wanauawa huko Afrika Kusini kisa tu sio wazawa, wazungu pia wanauawa kisa siasa za kichochezi na kibaguzi za huyo jamaa
Na ishu ya kuunganisha Afrika sijui ni ndoto ya saa ngapi
Nchi nyingi za Afrika zimeshindwa tu kujiunganisha kwa ndani zenyewe, unawaza bara zima kuungana, DRC, Sudan, Nigeria, Ethiopia, Cameroon n.k watu wanabaguana na kuuana kisa tu kabila tofauti ama dini, na viongozi wao wameshindwa kuwaunganisha, malaika gani ataunganisha bara zima?
Halafu single currency kwa biashara ipi tunayofanya pamoja?
Nchi za Kiafrica zinafanya biashara na China na Marekani & Ulaya kwa 90%, sisi hatuna vitu vya kuuziana labda sijui unga na maziwa
Sababu hatuzalishi bidhaa, tunaingiza kutoka ulaya na china kisha tunawauzia bidhaa ghafi, sasa hapo utahitaji single currency ya kazi gani? Au mihemko ya kuiga EU?
Wanasiasa wengine bana
Ni ujinga tu wachina,wajapani Na mimi hatujui kingereza mbona tuna akili?
Jamaa ana siasa kali za kizalendo, yaani za kibaguzi, racist, black nationalist, tribalist
Ni kama wale wazungu wapinga uhamiaji wasiopenda nchi zao kuingiliwa na Weusi ama Waarabu
Huyu anazungumzia Kiswahili kwa kuwa tu ana chuki na wazungu na sio kwamba linaamini katika intergration ya ukweli baina ya binadamu hapa duniani
Muda huu tu BBC wameripoti Waafrika weusi wanauawa huko Afrika Kusini kisa tu sio wazawa, wazungu pia wanauawa kisa siasa za kichochezi na kibaguzi za huyo jamaa
Na ishu ya kuunganisha Afrika sijui ni ndoto ya saa ngapi
Nchi nyingi za Afrika zimeshindwa tu kujiunganisha kwa ndani zenyewe, unawaza bara zima kuungana, DRC, Sudan, Nigeria, Ethiopia, Cameroon n.k watu wanabaguana na kuuana kisa tu kabila tofauti ama dini, na viongozi wao wameshindwa kuwaunganisha, malaika gani ataunganisha bara zima?
Halafu single currency kwa biashara ipi tunayofanya pamoja?
Nchi za Kiafrica zinafanya biashara na China na Marekani & Ulaya kwa 90%, sisi hatuna vitu vya kuuziana labda sijui unga na maziwa
Sababu hatuzalishi bidhaa, tunaingiza kutoka ulaya na china kisha tunawauzia bidhaa ghafi, sasa hapo utahitaji single currency ya kazi gani? Au mihemko ya kuiga EU?
Wanasiasa wengine bana
Umeongea vyema na kwa busara,ila na uzuri unachangiaJamaa ana siasa kali za kizalendo, yaani za kibaguzi, racist, black nationalist, tribalist
Ni kama wale wazungu wapinga uhamiaji wasiopenda nchi zao kuingiliwa na Weusi ama Waarabu
Huyu anazungumzia Kiswahili kwa kuwa tu ana chuki na wazungu na sio kwamba linaamini katika intergration ya ukweli baina ya binadamu hapa duniani
Muda huu tu BBC wameripoti Waafrika weusi wanauawa huko Afrika Kusini kisa tu sio wazawa, wazungu pia wanauawa kisa siasa za kichochezi na kibaguzi za huyo jamaa
Na ishu ya kuunganisha Afrika sijui ni ndoto ya saa ngapi
Nchi nyingi za Afrika zimeshindwa tu kujiunganisha kwa ndani zenyewe, unawaza bara zima kuungana, DRC, Sudan, Nigeria, Ethiopia, Cameroon n.k watu wanabaguana na kuuana kisa tu kabila tofauti ama dini, na viongozi wao wameshindwa kuwaunganisha, malaika gani ataunganisha bara zima?
Halafu single currency kwa biashara ipi tunayofanya pamoja?
Nchi za Kiafrica zinafanya biashara na China na Marekani & Ulaya kwa 90%, sisi hatuna vitu vya kuuziana labda sijui unga na maziwa
Sababu hatuzalishi bidhaa, tunaingiza kutoka ulaya na china kisha tunawauzia bidhaa ghafi, sasa hapo utahitaji single currency ya kazi gani? Au mihemko ya kuiga EU?
Wanasiasa wengine bana
Keep it as your opinionJamaa ana siasa kali za kizalendo, yaani za kibaguzi, racist, black nationalist, tribalist
Ni kama wale wazungu wapinga uhamiaji wasiopenda nchi zao kuingiliwa na Weusi ama Waarabu
Huyu anazungumzia Kiswahili kwa kuwa tu ana chuki na wazungu na sio kwamba linaamini katika intergration ya ukweli baina ya binadamu hapa duniani
Muda huu tu BBC wameripoti Waafrika weusi wanauawa huko Afrika Kusini kisa tu sio wazawa, wazungu pia wanauawa kisa siasa za kichochezi na kibaguzi za huyo jamaa
Na ishu ya kuunganisha Afrika sijui ni ndoto ya saa ngapi
Nchi nyingi za Afrika zimeshindwa tu kujiunganisha kwa ndani zenyewe, unawaza bara zima kuungana, DRC, Sudan, Nigeria, Ethiopia, Cameroon n.k watu wanabaguana na kuuana kisa tu kabila tofauti ama dini, na viongozi wao wameshindwa kuwaunganisha, malaika gani ataunganisha bara zima?
Halafu single currency kwa biashara ipi tunayofanya pamoja?
Nchi za Kiafrica zinafanya biashara na China na Marekani & Ulaya kwa 90%, sisi hatuna vitu vya kuuziana labda sijui unga na maziwa
Sababu hatuzalishi bidhaa, tunaingiza kutoka ulaya na china kisha tunawauzia bidhaa ghafi, sasa hapo utahitaji single currency ya kazi gani? Au mihemko ya kuiga EU?
Wanasiasa wengine bana