Buhari yeye katuma airbus 4 kuokoa raia wake
ATCL imefanya kitu cha maana kusitisha safari za South Africa
Wenzetu Nigeria, badala ya Kusitisha safari ndio kwanza wanatuma midege kuwasomba raia wao kuwarejesha nyumbani bure!, sisi ndege yetu inarudi tupu huku Watanzania wenzetu wanateseka na kuangamia.Naunga mkono hoja, ila kwangu cha maana zaidi sio ATC Kusitisha safari za South Africa bali sisi Watanzania kupitia serikali yetu tunaeasaidiaje Watanzania wenzetu wa huko?. Wenzetu Nigeria, badala ya Kusitisha safari ndio kwanza wanatuma midege kuwasomba raia wao kuwarejesha nyumbani bure!, sisi ndege yetu inarudi tupu huku Watanzania wenzetu wanateseka na kuangamia.
P
Tusisahau kuna mahakama ya Africa piaMkulima atakata rufaa mahakama ya juu zaidi
Ehehehehe hizi vurugu zimetumika kama sababu tu
Pia tuwe makini na safari za UK tunazo anza karibuni,mkulima atasajili hukumu kule
Paskal ndugu yangu tutalaumu watu bure. Hivi mtu alieenda kule kwa kuzamia utampitishaje OTambo akiwa hana makaratasi? Njia waliotumia kwenda kule haitoi mwanya wa kuwapandisha ndege Kaka.Naunga mkono hoja, ila kwangu cha maana zaidi sio ATC Kusitisha safari za South Africa bali sisi Watanzania kupitia serikali yetu tunaeasaidiaje Watanzania wenzetu wa huko?. Wenzetu Nigeria, badala ya Kusitisha safari ndio kwanza wanatuma midege kuwasomba raia wao kuwarejesha nyumbani bure!, sisi ndege yetu inarudi tupu huku Watanzania wenzetu wanateseka na kuangamia.
P
Kama tunawapokea wakimbizi mamia kwa maelfu, bila makaratasi na kuwahifadhi, why not our fellow Tanzanians, karatasi zao ziwePaskal ndugu yangu tutalaumu watu bure. Hivi mtu alieenda kule kwa kuzamia utampitishaje OTambo akiwa hana makaratasi? Njia waliotumia kwenda kule haitoi mwanya wa kuwapandisha ndege Kaka.
Kama tunawapokea wakimbizi mamia kwa maelfu, bila makaratasi na kuwahifadhi, why not our fellow Tanzanians, karatasi zao ziwePaskal ndugu yangu tutalaumu watu bure. Hivi mtu alieenda kule kwa kuzamia utampitishaje OTambo akiwa hana makaratasi? Njia waliotumia kwenda kule haitoi mwanya wa kuwapandisha ndege Kaka.