Soudybrown Nimesikitishwa na hili.

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,363
12,537
Mimi nisiseme kitu, naomba mjionee anachokiwaza mpumbavu huyu anae jiita soudybrown kama Mtanzania
IMG_20190238_124159.jpeg
IMG_20190238_124243.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Nokia kisimu,
Nikuulize huwa unakosa kazi kabisa au jambo la maana la kufanya unaona uje utafute battle na mm?

Wew usha kuwa achana na mambo ya kitoto.

Na tatizo lenu vijana wa siku hizi mapenz ndio yanawavuruga vichwa sna, had huruma kijana kama wew demu wako akichukia basi na wew unakosa aman siku nzima.

Advice
Usikubali mapenz yakuendeshe had unakalibia kuchanganyikiwa.
Kaa na wanaume wenzako tabia ibadilike ufanye kazi za kiume mbali na mapenz.
Ndio bibie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Nokia kisimu,
Nikuulize huwa unakosa kazi kabisa au jambo la maana la kufanya unaona uje utafute battle na mm?

Wew usha kuwa achana na mambo ya kitoto.

Na taizo lenu vijana wa siku hizi mapenz ndio yanawavuruga vichwa sna, had huruma kijana kama wew demu wako akichukia basi na wew unakosa aman siku nzima.

Advice
Usikubali mapenz yakuendeshe had unakalibia kuchanganyikiwa.
Kaa na wanaume wenzako tabia ibadilike ufanye kazi za kiume mbali na mapenz.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mm nitagombana vp na dada yangu ulichouliza nmekujibe ndio bibie,tatizo linatoka wapi dada yangu?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom