nelly nashon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 242
- 521
Katika mahusiano kuna mengi huwa mnapanga kuyafanya katika maisha yenu!
Moja ya mipango huwa ni kuishi pamoja na kupata familia kama Mungu atajalia.
Ndo hizi wakati mwingine hukoma ghafla kutoka na sababu mbalimbali.
Moja ya sababu ni kati ya mpenzi mmoja kutochukulia mahusiano serious na kukupotezea muda tu na pesa..
Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu, baada ya kukaa na mchumba wake kwa zaidi ya mwaka, binti kapata ujauzito lakini kamtamkia mwenzie kuwa si baba wa mtoto anaembeba tumboni!!!
Rafiki kaumia sana na hajui nini chakufanya...
Anaomba ushauri....please.
Moja ya mipango huwa ni kuishi pamoja na kupata familia kama Mungu atajalia.
Ndo hizi wakati mwingine hukoma ghafla kutoka na sababu mbalimbali.
Moja ya sababu ni kati ya mpenzi mmoja kutochukulia mahusiano serious na kukupotezea muda tu na pesa..
Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu, baada ya kukaa na mchumba wake kwa zaidi ya mwaka, binti kapata ujauzito lakini kamtamkia mwenzie kuwa si baba wa mtoto anaembeba tumboni!!!
Rafiki kaumia sana na hajui nini chakufanya...
Anaomba ushauri....please.