sorry damu yenu haifai;mamiss wote ilala waambiwa MNH

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,531
8,616
......NIMEKUTANA NA HII....mamiss wanaojiandaa kugombea mashindano ya miss ilala leo walienda muhimbili kutaka kujitolea damu......baada ya kupimwa wote vipimo vya hapa na pale ....daktari wa benki ya damu alitoka na kuanza kuwapa semina taratibu akiwaeleza kuwa damu yenu haitafaa kuchukuliwa kwa sababu ..uzito wenu mdogo [haufiki kilo 50],mna kizungu zungu....na kuwataka wale mboga za majani ,kwani hawana damu ya kutosha!!!

pamoja na kupewa maelezo ya kitaalamu warembo wote walionekana kupigwa na butwaa na wasiwasi tele .....inawezekana wakiamini maneno ya daktari ni ya kuwatoa kwenye reli....kama ilivyo kawaida ya madaktari wanavyotoa watu kwenye reli kwa siasa zao ..ikiwa damu waliyoipima wanakuta haiwezi kufaa kutokana na sababu za marazi....

...nafikiri daktari atakuwa anawatesa sana mamiss kipsychology...nafikiri kama sababu haikuwa marazi...ni bora angwaambia straight..."warembo hamna vigezo vya kutoa damu pamoja na damu zenu kuwa safi..kabisa,hamna maambukizi yoyote!...lakini pia muongeze kula mnenepe na damu iwe ya kutosha"
 
Still wameonyesha nia na kuongeza mwamko.

Mi nilifikiri damu yenu haifai wote mna ngoma, hizi headline nyingine zimejaa lurid tabloidism!
 
Nafikiri majibu ya daktari hayana utatanishi wa aina yeyote. Kawaambia kuwa hawana damu ya kutosha, na kwamba wanahitaji kula mboga zenye kuongeza damu.

Kwa hiyo aina haja ya wao kutetemeka.....

Au labda ndio lugha nyepesi nyepesi za madaktari wa kibongo pale wanapoona kuna mushkeli kwenye damu??
 
duhhhhhhhhhhhhhhh,,
noma mamiss daktari kawachomolea huyo kwa kuwa damu haifaii kwa jamii ,,ushauri wanhgu waende kinyemela wakapime ki uhakika wajue afya zao, wasikae na kisebu sebu na hof tell, msione noma ni uhai wenu, daktari katumia hikima zake ili waende wenyewe wakapate ukweli wao kwa siri, asante daktari,,
 
wakale mlenda na maharage hao!ndo mambo ya diet hayo hadi wanakuwa na damu isiyofaa sasa sijui ki quality au ki quantity?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom