fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
Waziri Sophia Simba amekanusha kutoa tamko la kushutumu Chadema kupata misaada wa fedha kutoka nchi za nje kwa ajili ya kuleta machafuko nchini.
amesemea
- hajui shutuma hizi zimetokea wapi, na
-Chadema ndio wameanzisha shutuma hizo kwa manufaa yao wenyewe.
-hana uhusiana na nchi za EU au njia yeyote inayomuewezesha kupata hizo habari
za ufadhili wa Chadema.
Lakini Mb John Mnyika wa Chadema amesema Sophia Simba amekaririwa mara tatu na vyombo vya habari , ikiwemo TBC1 akisema Chadema inapokea fedha kutoka nchi za nje kwa lengo la kuleta machafuko nchini.
Utetezi huu wa Mh Sophia Simba umekuja baada ya balozi wa EU nchini Bw Tim CLarke kukanusha taarisha hizo kwamba kuna nchi 5 za EU zinazo fadhili CHADEMA (kwa malengo yoyote), kwani katiba ya EU hairushi wanachama wake kufhadhili vyama vya siasa.
SOURCE : The Citizen
amesemea
- hajui shutuma hizi zimetokea wapi, na
-Chadema ndio wameanzisha shutuma hizo kwa manufaa yao wenyewe.
-hana uhusiana na nchi za EU au njia yeyote inayomuewezesha kupata hizo habari
za ufadhili wa Chadema.
Lakini Mb John Mnyika wa Chadema amesema Sophia Simba amekaririwa mara tatu na vyombo vya habari , ikiwemo TBC1 akisema Chadema inapokea fedha kutoka nchi za nje kwa lengo la kuleta machafuko nchini.
Utetezi huu wa Mh Sophia Simba umekuja baada ya balozi wa EU nchini Bw Tim CLarke kukanusha taarisha hizo kwamba kuna nchi 5 za EU zinazo fadhili CHADEMA (kwa malengo yoyote), kwani katiba ya EU hairushi wanachama wake kufhadhili vyama vya siasa.
SOURCE : The Citizen