Sophia Simba na Bulembo wameondoka, Sadifa unasubiri nini?

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,172
23,975
Kuna msamiati unaosema, Ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Sadifa Juma anasubiri nini wakati Wenyeviti wenzako wa Jumuiya za CCM wakinyolewa? Hufahamu kama CCM iko kwenye mageuzi chanya ya kiuongozi na kiutendaji?

Hukuwasikia Sophia Simba na Abdallah Bulembo wakiaga?

Mbaya zaidi ulikuwa Timu Lowassa wakati wa uhai wake ndani ya CCM lakini vile vile uliendelea kumshika mkono wakati wa harakati zake za kuingia Ikulu kwa tiketi ya CHADEMA ambazo zilisambaratishwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akishirikiana na Kinana na pia Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Haya maneno yako katika thread hii yatakutafuna; LINK==>Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Lowassa Hakatwi Jina

Chini ya Uongozi wako, UVCCM imekuwa ni kijiwe cha majungu, kujipendekeza na ufisadi.

UVCCM ya sasa siyo ile ambayo wazee wa CCM walikuwa wanaiheshimu na kuiogopa.

Chini ya uongozi wako, UVCCM is all bark and no bite.

Comrade Sadifa, it's time to come to terms with the fact that your days are numbered and get ready for change.
 
Kuna msamiati unaosema, Ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Sadifa Juma anasubiri nini wakati Wenyeviti wenzako wa Jumuiya za CCM wakinyolewa? Hufahamu kama CCM iko kwenye mageuzi chanya ya kiuongozi na kiutendaji?

Hukuwasikia Sophia Simba na Abdallah Bulembo wakiaga kwa mbwembwe?

Mbaya zaidi ulikuwa Timu Lowassa wakati wa uhai wake ndani ya CCM lakini vile vile uliendelea kumshika mkono wakati wa harakati zake za kuingia Ikulu kwa tiketi ya CHADEMA ambazo zilisambaratishwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akishirikiana na Kinana na pia Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Haya maneno yako katika thread hii yatakutafuna; LINK==>Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Lowassa Hakatwi Jina

Chini ya Uongozi wako, UVCCM imekuwa ni kijiwe cha majungu, kujipendekeza na ufisadi.

UVCCM ya sasa siyo ile ambayo wazee wa CCM walikuwa wanaiheshimu na kuiogopa.

Chini ya uongozi wako, UVCCM is all bark and no bite.

Comrade Sadifa, it's time to come to terms with the fact that your days are numbered and get ready for change.
Sadifa ni kibabu
 
Kuna msamiati unaosema, Ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Sadifa Juma anasubiri nini wakati Wenyeviti wenzako wa Jumuiya za CCM wakinyolewa? Hufahamu kama CCM iko kwenye mageuzi chanya ya kiuongozi na kiutendaji?

Hukuwasikia Sophia Simba na Abdallah Bulembo wakiaga?

Mbaya zaidi ulikuwa Timu Lowassa wakati wa uhai wake ndani ya CCM lakini vile vile uliendelea kumshika mkono wakati wa harakati zake za kuingia Ikulu kwa tiketi ya CHADEMA ambazo zilisambaratishwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akishirikiana na Kinana na pia Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Haya maneno yako katika thread hii yatakutafuna; LINK==>Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Lowassa Hakatwi Jina

Chini ya Uongozi wako, UVCCM imekuwa ni kijiwe cha majungu, kujipendekeza na ufisadi.

UVCCM ya sasa siyo ile ambayo wazee wa CCM walikuwa wanaiheshimu na kuiogopa.

Chini ya uongozi wako, UVCCM is all bark and no bite.

Comrade Sadifa, it's time to come to terms with the fact that your days are numbered and get ready for change.
Wakati utakapofika wakuachia nafasi basi naye atafanya Hivyo na atawaaga So acheni kukurupuka......wakati wa mabadiliko umefika.
 
Nyie si mlisema mtawafukuza? Mbona mmewaacha hadi wanajiondokea wenyewe?
Mwingine mmempa na ubalozi kabisa.

Kwenye maamuzi magumu ya kichama naikubali sana CDM,hakuna aliyeweza kufikiri kama wangethubutu kumtimua Zitto.
Nyie akina Sophia Simba wanawashinda?
 
Hivi uvccm mbona ina mkosi sana , mwingine alifoji umri akapewa unaibu waziri !
 
Bulembo kashapiga chake now kasepa, Kaipiga Kinondoni kodi za mabango 2015/16 zaidi ya Billion 2 kupitia kampuni ya UBAPA mwaka huu kabadilisha upopo anapiga maegesho ya magari Kinondoni hapohapo.
 
Kumbeee!!

Nadhani kama kuna mtu alikuwa anajiuliza kwanini Bulembo kapewa ubunge; sababu ndo hiyo hapo!!

Kumbe ni barter trade!!! Kwamba, nakupa ubunge halafu unaachia ngazi Jumuiya ya Wazazi!!!

JPM ame-prove beyond reasonable doubt kwamba, ukiwa CCM; katu hakutupi mkono!! Na ndio maana, hata baada ya kumtupa Anne Kilango kwa mbwembwe; akaishia kumrudisha kwa mlango wa nyuma!! Kuna wale wengine akina nani sijui ambao walifitiniwa na Lizaboni hapa JF; wote wakaishia kutandikwa ubalozi!!

Yaani CCM ile iliyojaa mafisi na majizi yaliyojaa serikalini at ministerial level, hakuna hata mmoja aliyewahi kuguswa na JPM halafu wanatoke wehu wanataka kuaminisha JPM anapiga vita ufisadi!!!
 
Kuna msamiati unaosema, Ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Sadifa Juma anasubiri nini wakati Wenyeviti wenzako wa Jumuiya za CCM wakinyolewa? Hufahamu kama CCM iko kwenye mageuzi chanya ya kiuongozi na kiutendaji?

Hukuwasikia Sophia Simba na Abdallah Bulembo wakiaga?

Mbaya zaidi ulikuwa Timu Lowassa wakati wa uhai wake ndani ya CCM lakini vile vile uliendelea kumshika mkono wakati wa harakati zake za kuingia Ikulu kwa tiketi ya CHADEMA ambazo zilisambaratishwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akishirikiana na Kinana na pia Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Haya maneno yako katika thread hii yatakutafuna; LINK==>Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Lowassa Hakatwi Jina

Chini ya Uongozi wako, UVCCM imekuwa ni kijiwe cha majungu, kujipendekeza na ufisadi.

UVCCM ya sasa siyo ile ambayo wazee wa CCM walikuwa wanaiheshimu na kuiogopa.

Chini ya uongozi wako, UVCCM is all bark and no bite.

Comrade Sadifa, it's time to come to terms with the fact that your days are numbered and get ready for change.

Hana vyeti feki au vya rafiki Alivyoazima kama Makonda?
 
Anasubiri ufanyike Uchaguzi kwani lazima aondoke kama walivyoondoka kina Bulembo Na Sophia simba?
 
Kuna msamiati unaosema, Ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.

Sadifa Juma anasubiri nini wakati Wenyeviti wenzako wa Jumuiya za CCM wakinyolewa? Hufahamu kama CCM iko kwenye mageuzi chanya ya kiuongozi na kiutendaji?

Hukuwasikia Sophia Simba na Abdallah Bulembo wakiaga?

Mbaya zaidi ulikuwa Timu Lowassa wakati wa uhai wake ndani ya CCM lakini vile vile uliendelea kumshika mkono wakati wa harakati zake za kuingia Ikulu kwa tiketi ya CHADEMA ambazo zilisambaratishwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akishirikiana na Kinana na pia Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Haya maneno yako katika thread hii yatakutafuna; LINK==>Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Lowassa Hakatwi Jina

Chini ya Uongozi wako, UVCCM imekuwa ni kijiwe cha majungu, kujipendekeza na ufisadi.

UVCCM ya sasa siyo ile ambayo wazee wa CCM walikuwa wanaiheshimu na kuiogopa.

Chini ya uongozi wako, UVCCM is all bark and no bite.

Comrade Sadifa, it's time to come to terms with the fact that your days are numbered and get ready for change.
Kwahiyo unamaanisha Sadifa "atatafunwa" na uhuru au haki yake ya kuwa na mahaba na kiongozi tofauti na ambaye wewe una mahaba naye? Kosa la Sadifa ni lipi pale anapoonyesha msimamo wa kutounga mkono ukataji majina wa "kijinga"? Sadifa, kama ilivyokuwa kwa viongozi wengi ndani ya CCM, walikuwa na pengine bado wana maoni kuwa ni wapumbafu tu waliokuwa wanamshambulia Lowasa kwa tuhuma za ufisadi wa Richmond.

Sadifa anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu mwingine yeyote, lakini kwanini mnataka kutumia mahaba yake kwa kiongozi aliyekuwa na imani naye kumnyonga. Kwanini mmechagua kuwa watu wenye roho mbaya na visasi? Mnataka kulazimisha watu wote wampende huyo mnayempenda nyie? Hapa ndipo unaweza kuona tofauti yetu na wenzetu ambao "Mungu amewajalia". Ndani ya Republican, kwa mfano, kuna watu walisimama hadharani na kutangaza kuwa kwa sababu hii na ile, hawako tayari kumuunga mkono Trump! Sisi hapa mtu akisimama na kusema hamuungi mkono JPM kwa sababu hii na ile, mtu huyo anageuka mchawi na anatangazwa kuwa ni msaliti anayestahili "kunyongwa"!

Kama kuna sababu za Sadifa kuondoka UVCCM basi kwamba alikuwa na mahaba na Lowassa haipaswi kuwa miongoni mwa sababu hizo. Tusifike mahali tukaanza kulazimishana kuwa na imani au mahaba na mtu fulani. Hiyo ni haki ya asili-kila mtu anaweza kuwa na mapenzi na kiongozi fulani, sio lazima wote kwa pamoja tumpende kiongozi fulani. Ungekuwa na hoja kama ungetuthibitishia, kwa ushahidi na sio longolongo, kwamba baada ya JPM kuingia madarakani Sadifa hafanyi kazi za chama na anamhujumu mwenyekiti wa CCM.
 
Nyie si mlisema mtawafukuza? Mbona mmewaacha hadi wanajiondokea wenyewe?
Mwingine mmempa na ubalozi kabisa.

Kwenye maamuzi magumu ya kichama naikubali sana CDM,hakuna aliyeweza kufikiri kama wangethubutu kumtimua Zitto.
Nyie akina Sophia Simba wanawashinda?
CCM wanaheshimu mawazo tofauti sio taasisi ya kifalme
 
Yaani kwenye hiki chama kuna majungu na unafiki wa wenyewe kwa wenyewe yoote sababu ya vyeo na teuzi
 
Back
Top Bottom