Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Umeelewa ulichoandika?Sasa kwanini mnampinga mkonda
Umeelewa ulichoandika?Sasa kwanini mnampinga mkonda
Huyo mama ana lugha za mipasho sana. Alimtoa machozi Mama Sitta wakati wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa UWTNimempenda kaongea neno moja kasema " kila zama na kitabu chake" nimemwelewa sana
Hajaribiwi huyu. Elewa hivyo tuKwani dhambi kutofautiana mawazo?
Alikuwa mjumbe wa vikao vya ccm kwa muda mrefu. na pia amezalisha wajumbe kadhaa wa vikao mbali mbali ambao bado wanahudumu.Dah... Alikuwa wadhifa gani chamani?
Jibu swali,ndio mana mnatuletea wakina Bashite,jibu ndio au hapana,ukuulizwa anaingia bungeni kwa utaratibu upi,pumbavu kabisa migunya ya LumumbaMwenyekiti wa UWT Taifa anaingia moja kwa moja bungeni kwenye orodha ya wabunge wa viti maalum kupitia CCM.
Hanha ha ha ha alimwambia nini Mama Sitta?Huyu Mama wa Mjini sana huyu,alianzia na Udiwani kama sikosei kata ya Upanga.Huyo mama ana lugha za mipasho sana. Alimtoa machozi Mama Sitta wakati wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa UWT
Na wa Bawacha pia?Mwenyekiti wa UWT Taifa anaingia moja kwa moja bungeni kwenye orodha ya wabunge wa viti maalum kupitia CCM.
Sizonje bonge la muoga.Huyu anajua chair atamshughulikia kwa vile alikuwa upande wa wale walioimba "tuna imaaani na............." Heri yake Nchimbi kapata warning na cheo juu-ubalozi