Nimemtazama waziri wetu wa Wanawake, jinsia na Watoto Bi.Sophia Simba akijibu maswali mepesi ya Mkuu wake. Nilichobaini ni kwamba kumbe Mawaziri wetu ni vilaza, waoga na wenye uwezo mdogo sana wa kujibu maswali ya papo kwa papo. Ndio maana kuna haja ya kupunguza ukubwa wa Baraza la Mawaziri kwa sababu mawaziri wengi waJK ni gunia la misumari kwa Watanganyika