TANZIA Sophia Nyerere, Mjukuu wa Baba wa Taifa afariki Dunia

Naona sura yake imepoteza nuru.. sijui shida ni nini? Ila GENTAMYCINE ni mtaalamu wa biology labda anaweza kutuambia nini shida.
Kaondoka na tatizo kama alilokuwa nalo Baba yake na likamuondoa baada ya kudumu nalo kwa muda mrefu ila huyu Mtoto kadumu nalo kwa muda mfupi.

Ngoja GENTAMYCINE niendelee Kusikiliza Wimbo wangu ninaoupenda wa 'Inde Monie' wa Kanda Bongoman ambapo 'Dally Kimoko' amelikung'uta vyema sana Gitaa lake zuri la Solo mwanzo mwisho.
 
Kaondoka na tatizo kama alilokuwa nalo Baba yake na likamuondoa baada ya kudumu nalo kwa muda mrefu ila huyu Mtoto kadumu nalo kwa muda mafupi.

Ngoja GENTAMYCINE niendelee Kusikiliza Wimbo wangu ninaoupenda wa 'Inde Monie' wa Kandabongoman ambapo 'Dally Kimoko' amelikung'uta vyema sana Gitaa lake zuri la Solo mwanzo mwisho.
Naaam mtaalamu
 
Ngoja nikasikilize hichi kibao asubuhi hii.. umesema songi moja wapo ni Indemonii?
Usikilize huo Wimbo wa 'Inde Monie' Mkuu kisha lisikilize hilo Solo Gitaa la Fundi Mwenyewe 'Dally Kimoko' lilivyo tamu ambapo linaweza Kukufanya hata ukiwa na Mwanamke / Mwanaume Kitandani ukasahau Kutumia 'Condom' na ukasababisha Maturubai ya Maombolezo yawekwe katika Familia mbalimbali nchini Tanzania.
 
Kaondoka na tatizo kama alilokuwa nalo Baba yake na likamuondoa baada ya kudumu nalo kwa muda mrefu ila huyu Mtoto kadumu nalo kwa muda mfupi.

Ngoja GENTAMYCINE niendelee Kusikiliza Wimbo wangu ninaoupenda wa 'Inde Monie' wa Kanda Bongoman ambapo 'Dally Kimoko' amelikung'uta vyema sana Gitaa lake zuri la Solo mwanzo mwisho.

Niliambiwa kuwa Captain John Nyerere alikuwa na "mdudu" lakini siku hizi mdudu hawasumbui kabisa vijana wa generation hii: una uhakika?
 
Tunezoea kusikia kiongozi x alikuwa muhi2 kwa matibabu, leo ameruhusiwa na amepona! Mifano ipo mingi...Mama Janeth Magufuli, Dr. Kigwangala, Hata Malim Seif, etc! Sikuwahi kusikia hivyo kwa hilo li nzena mfyuuuuuu 😡!
Wewe ukipona, huwa unatangazia wapi?
 
Usikilize huo Wimbo wa 'Inde Monie' Mkuu kisha lisikilize hilo Solo Gitaa la Fundi Mwenyewe 'Dally Kimoko' lilivyo tamu ambapo linaweza Kukufanya hata ukiwa na Mwanamke / Mwanaume Kitandani ukasahau Kutumia 'Condom' na ukasababisha Maturubai ya Maombolezo yawekwe katika Familia mbalimbali nchini Tanzania.
Comment zako zinanifanya niamin kuwa ugonjwa alioumwa mwendazake unaujua
 
Kupumua ama kutokupumua na ubongo kukosa oxygen ni vitu viwili tofauti. Unaweza kupigambizi kwa dakika 15 bila kuoumua lakini ubongo ukaendelea kupata oxyegn na kwa hiyo usife.
Nilifikiri umemaanisha kifo hicho cha dakika mbili kitatokana na kukosa pumzi ndiyo maana nikaandika vile.
 
Sophia Nyerere, ambaye ni Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.

View attachment 1870276
R.I.P Sophia.
Maskini!sura ni ya hayati Mwalimu Nyerere, lakini ni nini chanzo cha mauti na kafa akiwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom