LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,191
Mnaopiga jaramba hapa kusifia vita ikijakutokea vita ya kutisha, tegemeeni hali ngumu ya maisha , bei za bidhaa zitapanda kwa kasi ya ajabu ni swala la muda tu labda mambo yasifike mbali
Watu mnasifia vita ila wengi humu tunaishi kwa misaada wazungu, wengi tunapiga kelele kwenye keyboard humu tukimsifia mrusi ila mida ya kulala tunameza ARV kwa msaada wa wazungu, sasa wakiuwana wakaanguka kiuchumi hivi mmejitafakari , ombeni amani sio vita
Watu mnasifia vita ila wengi humu tunaishi kwa misaada wazungu, wengi tunapiga kelele kwenye keyboard humu tukimsifia mrusi ila mida ya kulala tunameza ARV kwa msaada wa wazungu, sasa wakiuwana wakaanguka kiuchumi hivi mmejitafakari , ombeni amani sio vita