mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Hello good people
Ninayo sony experia Z, hii simu nilinunua mpya kabisa dukani na nikatumia kwa zaidi ya miezi 3... Ghafla Hasubuhi naamka nikashangaa haisomi network nikajaribu kuirekebisha hapa na pale wap...
Nikaamua mwisho wa siku ku update operating system huko ndo ikawa balaa tupu kwa sababu simu ikawa na tatizo la kuzima na kuwaka, nikaamua kuipeleka kwa fundi maarufu posta fundi Sele, fundi sele akachemka nikampeleke Sirleaornad david ( Ni mdau pia humu JF), Jamaa akafanikiwa kuirestore operating system na ikawa inawaka na kuonyesha Application zote kama mwanzo lakini tatizo la NO SIMCARD likabKi pale pale, Nilichokuja kugundua this time hata ukijaribu kuangalia IMEI kwa kubonyeza *#06# inaonyesha blank kwamba simu haina IMEI
Ukiingia kwenye settings kuangalia baseband pia hamna kitu, sijajua hili ni tatizo gani na nitalitatua vipi ukizingatia simu nimenunua karibia 1.4 ndugu wadau
Kwa sasa simu naitumia kwa ajili ya Camera na kuangalia movies tu (Hapa sasa hivi nimetoka kuangalia series ya Suits "Mike ross grandma amefariki" and jamaa ndo alikua ametoka kumnunulia Apartment) , I feel sad for him..."Louiss lazima Atakua Mhaya mzungu"
Kama kuna fundi mwenye ujuzi au mtu aliyewahi patwa na tatizo kama hilo na amefanikiwa kutatua naomba msaada tafadhali
Nawasilisha
Ninayo sony experia Z, hii simu nilinunua mpya kabisa dukani na nikatumia kwa zaidi ya miezi 3... Ghafla Hasubuhi naamka nikashangaa haisomi network nikajaribu kuirekebisha hapa na pale wap...
Nikaamua mwisho wa siku ku update operating system huko ndo ikawa balaa tupu kwa sababu simu ikawa na tatizo la kuzima na kuwaka, nikaamua kuipeleka kwa fundi maarufu posta fundi Sele, fundi sele akachemka nikampeleke Sirleaornad david ( Ni mdau pia humu JF), Jamaa akafanikiwa kuirestore operating system na ikawa inawaka na kuonyesha Application zote kama mwanzo lakini tatizo la NO SIMCARD likabKi pale pale, Nilichokuja kugundua this time hata ukijaribu kuangalia IMEI kwa kubonyeza *#06# inaonyesha blank kwamba simu haina IMEI
Ukiingia kwenye settings kuangalia baseband pia hamna kitu, sijajua hili ni tatizo gani na nitalitatua vipi ukizingatia simu nimenunua karibia 1.4 ndugu wadau
Kwa sasa simu naitumia kwa ajili ya Camera na kuangalia movies tu (Hapa sasa hivi nimetoka kuangalia series ya Suits "Mike ross grandma amefariki" and jamaa ndo alikua ametoka kumnunulia Apartment) , I feel sad for him..."Louiss lazima Atakua Mhaya mzungu"
Kama kuna fundi mwenye ujuzi au mtu aliyewahi patwa na tatizo kama hilo na amefanikiwa kutatua naomba msaada tafadhali
Nawasilisha