SONGWE: TAKUKURU yatoa mafunzo kwa Walimu na Walezi wa Skauti

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,806
11,968
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Songwe imetoa elimu kwa walimu na walezi wa Skauti wa shule za msingi na sekondari ikiwa ni mkakati wa kupambana na rushwa kuanzia ngazi ya chini.
0001.jpg


0002.jpg

0003.jpg

0004.jpg
 
Back
Top Bottom