Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Wananchi mkoani Songwe wanakabiliwa na uhaba wa sukari ambayo inadaiwa kuadimika madukani kwa zaidi ya wiki nne hali inayowalazimu kununua sukari ya magendo kutoka Zambia na Malawi inayoingizwa nchini kwa njia za panya na kuuzwa kwa bei kubwa maeneo ya mjini huku vijijini ikidaiwa kutoweka kabisa.