kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Unaijua tofauti Kati ya JKT na Suma JKT?Hilo nami nimejiuliza. Labda ni degree holder na ni miongoni mwa waliorudishwa nyumbani baada ya mikataba yao kuisha JKT (OP KIKWETE & MAGUFULI) akaamua ajishikize huko suma.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app