real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Jeshi la polisi mkoani Songwe kwa kushirikiana na Mamlaka ya chakula na dawa TFDA, na Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wamekamata shehena ya vipodozi vilivyopigwa marufuku kwa sheria ya chakula na dawa na kwamba havijasajiliwa kwa matumizi ya binadamu ambapo vimenaswa vikiingizwa nchini kupitia forodha ya Tunduma kwa gari la mafuta la Oilcom likiwamekamata shehena ya vipodozi vilivyopigwa marufuku
Chanzo: ITV
Chanzo: ITV