Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,037
- 20,333
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angelina Mabula amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na wakuu wa Idara ya Ardhi kwenda kukusanya kodi ya Ardhi na ifikapo Machi 31 2021 iwe imefika 50% au 75% kutoka 23% iliyopo sasa ambayo imekusanywa ndani ya miezi 8 tu ya mwaka wa fedha 2020/2021.
"Yeyote ambaye atashindwa ni kufikisha asilimia 50% au 75% ifikapo Machi basi ajitathimini kama anaweza kuendelea kuwa Mkuu wa Idara au Mteule" Naibu Waziri, Dkt. Angelina Mabula.
Pia, Naibu Waziri amezitaka Halmashauri kupitia vikao vyao vya kila mwezi kufuatilia makusanyo ya Ardhi kwani watalamu wa Ardhi bado kiutendaji wako Halmashauri ila Wizarani wapo kwa mambo mawili ya nidhamu na ajira tu.
"Yeyote ambaye atashindwa ni kufikisha asilimia 50% au 75% ifikapo Machi basi ajitathimini kama anaweza kuendelea kuwa Mkuu wa Idara au Mteule" Naibu Waziri, Dkt. Angelina Mabula.
Pia, Naibu Waziri amezitaka Halmashauri kupitia vikao vyao vya kila mwezi kufuatilia makusanyo ya Ardhi kwani watalamu wa Ardhi bado kiutendaji wako Halmashauri ila Wizarani wapo kwa mambo mawili ya nidhamu na ajira tu.