Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amezindua mbio hizo katika uwanja wa Mlowo na kuwataka wakimbizaji kuhakikisha miradi yote inayozinduliwa wakati wa mbio hizo inakua na ubora unaotakiwa
Kiongozi wa mbio za hizo Kitaifa kwa mwaka 2019 ni Ndugu Mzee Mkongea Ali kutoka Mjini Magharibi, Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasha Mwenge kuashiria kuzinduliwa kwa mbio za Mwenge wa Uhuru katika uwanja wa Mlowo mkoani Songwe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mwenge kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa kwa mwaka 2019 Ndugu Mzee Mkongea Ali kutoka Mjini Magharibi kuashiria kuanza kwa mbio za Mwenge wa Uhuru 2019.
Kiongozi wa mbio za hizo Kitaifa kwa mwaka 2019 ni Ndugu Mzee Mkongea Ali kutoka Mjini Magharibi, Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasha Mwenge kuashiria kuzinduliwa kwa mbio za Mwenge wa Uhuru katika uwanja wa Mlowo mkoani Songwe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mwenge kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa kwa mwaka 2019 Ndugu Mzee Mkongea Ali kutoka Mjini Magharibi kuashiria kuanza kwa mbio za Mwenge wa Uhuru 2019.