Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 753
- 3,096
Gari aina ya Coaster imegongwa na Lori usiku huu eneo la Senjele Mkoani Songwe na kuua abiria wote pamoja na Dereva na kondakta wake.
Coaster ilitoka Tunduma kuelekea Mbeya
Idadi kamili ya miili bado haijajulikana kutokana na kupondeka pondeka sana
Coaster ilikuwa ikitoka Tunduma kuelekea Mbeya
UPDATE:
Jumla ya watu waliokufa ni 19. Wanaume ni 15 na wanawake 4
======
Coaster ilitoka Tunduma kuelekea Mbeya
Idadi kamili ya miili bado haijajulikana kutokana na kupondeka pondeka sana
Coaster ilikuwa ikitoka Tunduma kuelekea Mbeya
UPDATE:
Jumla ya watu waliokufa ni 19. Wanaume ni 15 na wanawake 4
======
Rais Magufuli atuma salamu za rambirabi kufuatia vifo vya watu 19 kwenye ajali Songwe