Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Dada mshukuru Lissu aliye address ilo tatizo. Kama si yeye kulipigia kelele mzee baba angeagiza lini habari hiyo. Hiyo ndo faida moja wapo ya VYAMA VINGI. Marekani imeendelea kwa sabab ya mfumo huo. Umejionea debate ya juzi mzee Trump alivyokuwa anatolewa makamasi na Babu Biden. Tunachokitana ni maisha bora dada. Leo mitandao ya cm inavyoshindana inakuwa afueni kwa sisi watumiaji, maisha yangekuwaje kama Voda angekuwa peke yake. CCM imetikiswa ndo inajisalimisha kwa watu kwa nkia hizo.Hapo Magufuli amefanya jambo la maana sana