Songosongo vs TANESCO

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Kutokana na presentation ya SONGO SONGO LONDON wiki mbili zilizopita, inaonekana kuwa jamaa wa Songo songo wanaweza kusupply umeme Tanzania nzima na kuuza mwingine Kenya

Sasa kwa nini wabunge wa mikoa ya Kaskazini wanawafanyia fitna? maana sasa hivi kuna mgogoro baina wabunge wa Bara vs wa Pwani kuhusu hatma ya Tanesco

Anyway naomba mwenye inside info kuhusu hili atuweke ili tupate elimu zaidi

http://www.tpdc-tz.com/songo_songo.htm
 
Hii mada ya game theory aliyoianzisha siku hizo ikakosa jibu hata moja, nadhani matatizo ya leo ya visima vya gas na jinsi tunavyoyajua inaweza pata jibu.

Matatizo makubwa kwa sasa ya songo songo ni kampuni iitwayo PanAfrican Energy kama ilivyoelezewa na Mheshimiwa Kabwe Zitto Bungeni jana:

Zitto na Demokrasia

Game Theory, imetuchukuwa miaka 4 na miezi mitatu kuweza angalau kuchangia katika mada ulioanzisha, hii inaonesha wana JF wazamani jinsi mlivyokuwa kweli ma "great thinkers". Kudos.
 
kuna makampuni kadhaa kutoka nje yameshapata kibali cha kuchimba gas nchini, na kiuhakika from previous studies done, kumeonekana gas ya kutosha, itawachukua walau miaka miwili drilling na pipe ikamilike ili kusupply gas plants but ni hatua...
 
Chaajabu umeme hatuna. Gesi tunachimba wenyewe inaenda wapi? CCM must be answerable
 
In Tanzania we dont fear crooks, we fear honest ministers who are wrong in their decisions. in good faith the Government has gone in public to wish Tanzanians well. yes Tanzanians have had confidence in the Government. unfortunatly your method of Governance NISHATI NA MADINI!!...your now failling dismally to to get out the good in Tanzanians.

Following what transpired in BUNGE last Friday + today Monday as cabinet ministers, have you asked yourself what constitutes a successful government? Yes, your right to govern, also entitles you a duty to develop Wananchi in TZ. the enlighted ruler is one who is incharge of a developmental dictatorship. Yes we have the noble duty to advise, assist, guide and correct your ministers into doing your jobs properly. the logic you should learn from us is that the better the ruller, the weathier the Wananchi. that dont judge your success by your ownwealth. that the rullers success has to be based on the wealth and happiness of his people PERIOD. now, who benefits from the Gold extracted from Tz? from mobile phones? from land grabbing? MPS have benovolently given you all necessary figures, where do you get the courage to ignore them? yes we have by design decided to forget about the colonial tratment and as a result cowardice na kulinda vyeo has began to take over a previous couraged us generation.

Mwl J.K.N shapped and dictate well both our economic + foreign policy. he used his skills to get parliament and well minded leaders and wananchi to alley with him, yes the untimelly death of J.K.N Rob bed TZ of the bright future. now the leadership has turned its back on all J.K.Ns policies and his allies the Chinese, Russians, Cubans etc, in the light of what your doing. as cabinet ministers, do you have courage to talk about principles and look at the people direct in their eyes?
PROVIDE UMEME
S.H. KASORI
 
Back
Top Bottom