D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,904
- 1,067
- Thread starter
- #21
nyumba zilizowahi kuomba kibali cha ukarabati zipo kama tano hivi.moja inamilikiwa na familia ya SIMBA,Nyingine inamilikiwa na MABRANDI. nyingine inamilikiwa na familia ya mzee FIDU hizi zote zilinyimwa vibal.hata juzi baazi ya wajumbe wa serikali ya mtaa walipojaribu kuhoji uhalali wa hili jambo walinyamazishwa na mlungula nao wapo kimya baada ya kupokeaNi majungu kweli ndo maana katoa mfano wa nyumba yake tu, nilidhani labda ana mifano na nyumba za wengine.