D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,902
- 1,067
Mkurugenzi wa wanispaa ya songea, diwani wa kata ya mjini, serikali yote ya mtaa wa mjini wamewekwa mfukoni na mfanyabiashara anaefahamika kwa jina la DUMA.
Viongozi hawa wote wanafaham fika taratibu za mipango miji ya manispaa ya songea nyumba zilizo katikati ya mji zinatakiwa kujengwa ghorofa.
Wamiliki wengi wa nyumba za katikati ya manispaa ya songea wanashindwa kuzikarabati nyumba zao kwasababu wananyimwa vibali vya ukarabati huo. Inapelekea nyumba hizo kuuzwa kwa bei nafuu kwa wafanyabiashara wenye pesa zao wakiwa naimani wao watajenga hizo ghorofa wanazozitaka serikali.
chakushangaza sasa kumekuwa na utowaji rushwa wapokeaji ni viongozi wa serikali inayojinadi inapinga rushwa. Nyumba iliyopo mtaa wa ccm kata ya mjini karibu na ofisi za ccm wiliya songea mwanzo wenye nyumba walitaka kuikarabati lakini walinyimwa kibali.
Wakaamuwa kuuza hiyo nyumba leo aliye nunua hii nyumba amepewa kibali cha ukarabati je kunanini hapa? inamaana vibali vinatolewa kwa wenye pesa tu? je nyumba zilizopo bado hazijakarabatiwa nao watapewa vibari kuanzia sasa?mkurugenzi wa manispaa na diwani mnapaswa kuchunguzwa na takukuru.
Viongozi hawa wote wanafaham fika taratibu za mipango miji ya manispaa ya songea nyumba zilizo katikati ya mji zinatakiwa kujengwa ghorofa.
Wamiliki wengi wa nyumba za katikati ya manispaa ya songea wanashindwa kuzikarabati nyumba zao kwasababu wananyimwa vibali vya ukarabati huo. Inapelekea nyumba hizo kuuzwa kwa bei nafuu kwa wafanyabiashara wenye pesa zao wakiwa naimani wao watajenga hizo ghorofa wanazozitaka serikali.
chakushangaza sasa kumekuwa na utowaji rushwa wapokeaji ni viongozi wa serikali inayojinadi inapinga rushwa. Nyumba iliyopo mtaa wa ccm kata ya mjini karibu na ofisi za ccm wiliya songea mwanzo wenye nyumba walitaka kuikarabati lakini walinyimwa kibali.
Wakaamuwa kuuza hiyo nyumba leo aliye nunua hii nyumba amepewa kibali cha ukarabati je kunanini hapa? inamaana vibali vinatolewa kwa wenye pesa tu? je nyumba zilizopo bado hazijakarabatiwa nao watapewa vibari kuanzia sasa?mkurugenzi wa manispaa na diwani mnapaswa kuchunguzwa na takukuru.