Songea: Makaa ya mawe yanabebwa tu hamjengi viwanda

Supervision

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
265
203
Mheshimiwa raisi naomba tazama jambo kwa kina kidogo.Juzijuzi nilikuwa nimekwenda songea kufuatilia maswala yangu binafsi nikawa nikashangaa kukutana na maroli mengi nilipouliza nikaambiwa hawa jama wanabeba makaa ya mawe kupeleka viwanda vya cement.

Baada ya stori za hapa na pale nikaona wadau wanalalamika kuwa mbona huku malighafi inaondoka hata kiwanda hakuna,wametusahau kabisa hawa watu.


Ile sera ya wenye eneo husika wanufaike na kitu fulanii kutokana na rasilimali yao ifanyeni hapa siyo lazima wafanye vurugu kama mtwara,watazameni.
Nafikiri mngejaribu kuangalia hata kuwajengea kiwanda cha mbolea ama kiwanda chochote ambacho kinategemea makaa ya mawe.

Nawasilisha
 
yupo kwenye kuteua kwanza sizonje baasi ndio shughuli anayowaza kwa sasa hana lingine na anawaza sana uchaguzi wa 2020 maana utakuwa sio wa mchezo pressure lazima zimpande mapema sana sana
 
Unataka Serikali ikujengee kiwanda..?? Mbona ishahama huko kitambo sana,....!!!

Kwa nini msijiunge wana Songea mkawekeza kiwanda chenu hata kama kidogo..?? Simiyu wenzenu wana kiwanda cha chaki, hawakupelekewa na MAGU.... Hiyo si kazi ya serikali siku hizi, Srkl inaleta miundombinu tu.....!!
 
Unataka Serikali ikujengee kiwanda..?? Mbona ishahama huko kitambo sana,....!!!

Kwa nini msijiunge wana Songea mkawekeza kiwanda chenu hata kama kidogo..?? Simiyu wenzenu wana kiwanda cha chaki, hawakupelekewa na MAGU.... Hiyo si kazi ya serikali siku hizi, Srkl inaleta miundombinu tu.....!!
Pumba tupu,naona upo against na kauli mbiu ya chama na serikali.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Urafiki,kiwanda cha ngozi Moshi,Kiwanda cha Mkonge.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app


Pumbafuuuu kabisa wew.,, Wewe unaongelea miaka ya shetani ukoo..... Hivyo vilijengwa wakati serikali ipo kwenye ujamaa uko enzi izo za kina Nyerere , na vimebinafishwa miaka hiyoo...?? Toka sera ya ubinafsishaji ianze kushika hatamu Tz imejenga viwanda vyovyote...?? Kumbe ww ndo Kinyesi kbsa bora yangu pumba....!!
 


Pumbafuuuu kabisa wew.,, Wewe unaongelea miaka ya shetani ukoo..... Hivyo vilijengwa wakati serikali ipo kwenye ujamaa uko enzi izo za kina Nyerere , na vimebinafishwa miaka hiyoo...?? Toka sera ya ubinafsishaji ianze kushika hatamu Tz imejenga viwanda vyovyote...?? Kumbe ww ndo Kinyesi kbsa bora yangu pumba....!!
Wewe ni Msukule na hakika hii sio akili yako bali akili ya yule Kijana Mzee,embu nitajie kiwanda hata kimoja kilichoanzishwa na hii serikali ya kisanii ya Vi-wonder?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni Msukule na hakika hii sio akili yako bali akili ya yule Kijana Mzee,embu nitajie kiwanda hata kimoja kilichoanzishwa na hii serikali ya kisanii ya Vi-wonder?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app


Oya hivi unafanya utani au uko serious nashindwa kukuelewa...,,!!! Ulipita kidogo Nursery, primary, sec, highschool, au una profession yeyote ndugu iliyohusisha vyeti vyako labda...??

Au nisije nikawa naongea na kina wadogo zake na bashite wa Kolomije.,,?? Ivi sku hizi huo Kolomije network ndo inashika shika eenh...!!

Alafu wew ni Mkenya nishakugundua.,,!!! Tangu lini umeijua historia na mwenendo wa nchi ytetu.,,?? Unatuspy eenh..!!
 

Oya hivi unafanya utani au uko serious nashindwa kukuelewa...,,!!! Ulipita kidogo Nursery, primary, sec, highschool, au una profession yeyote ndugu iliyohusisha vyeti vyako labda...??

Au nisije nikawa naongea na kina wadogo zake na bashite wa Kolomije.,,?? Ivi sku hizi huo Kolomije network ndo inashika shika eenh...!!

Alafu wew ni Mkenya nishakugundua.,,!!! Tangu lini umeijua historia na mwenendo wa nchi ytetu.,,?? Unatuspy eenh..!!
Naona unaongea Ubashite tuu,nipe takwimu ya Serikali ya Vi-wonder au yale makontena na Vyerehani Vinne ndio Vi-wonder?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Naona unaongea Ubashite tuu,nipe takwimu ya Serikali ya Vi-wonder au yale makontena na Vyerehani Vinne ndio Vi-wonder?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app


Kalale... hayo maharage ulovimbiwa nahisi ndo yanaongea.,... Kina Wanjiru si wakenya..?? Wew unashabikia mambo ya TZ yanakuhusu nini..??
 
miongoni mwa mikataba ya kimangungo ni huu wa makaa ya mawe ngaka. huu ni wizi wa mchana kweupe. serikali isimamishe uzalishaji wa makaa ya mawe hapo ngaka ili tujue serikali inapata nini na wananchi wanaozunguka mgodi wanapata nini. nawashangaa sana wabunge wa mkoa wa ruvuma kufumbia macho wizi huu wa mchana kweupe.
 
"....ukiwa na vyerehani vitatu hicho ni kiwanda..."
Waziri C. Tizeba

Wapelekee vyerehani mkuu
 
Mheshimiwa raisi naomba tazama jambo kwa kina kidogo.Juzijuzi nilikuwa nimekwenda songea kufuatilia maswala yangu binafsi nikawa nikashangaa kukutana na maroli mengi nilipouliza nikaambiwa hawa jama wanabeba makaa ya mawe kupeleka viwanda vya cement.

Baada ya stori za hapa na pale nikaona wadau wanalalamika kuwa mbona huku malighafi inaondoka hata kiwanda hakuna,wametusahau kabisa hawa watu.


Ile sera ya wenye eneo husika wanufaike na kitu fulanii kutokana na rasilimali yao ifanyeni hapa siyo lazima wafanye vurugu kama mtwara,watazameni.
Nafikiri mngejaribu kuangalia hata kuwajengea kiwanda cha mbolea ama kiwanda chochote ambacho kinategemea makaa ya mawe.

Nawasilisha
Mkuu Supervision hivi hapo songea hamna mwenye vyerehani 4??
Ukiwa na vyerehani 4 hicho ni kiwanda-by mwijage waziri WA vi-wonder!
 
Unataka Serikali ikujengee kiwanda..?? Mbona ishahama huko kitambo sana,....!!!

Kwa nini msijiunge wana Songea mkawekeza kiwanda chenu hata kama kidogo..?? Simiyu wenzenu wana kiwanda cha chaki, hawakupelekewa na MAGU.... Hiyo si kazi ya serikali siku hizi, Srkl inaleta miundombinu tu.....!!
Ni kweli umenena vizuri vyema sana,
 


Pumbafuuuu kabisa wew.,, Wewe unaongelea miaka ya shetani ukoo..... Hivyo vilijengwa wakati serikali ipo kwenye ujamaa uko enzi izo za kina Nyerere , na vimebinafishwa miaka hiyoo...?? Toka sera ya ubinafsishaji ianze kushika hatamu Tz imejenga viwanda vyovyote...?? Kumbe ww ndo Kinyesi kbsa bora yangu pumba....!!
Miaka ya shetani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom