kakakuona40
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 300
- 52
Niko songea muda huu, polisi wanarusha mabomu ya machozi ovyo. Kuna taarifa ambazoo sijazithibitisha kuwa mtu mwingine ameuwawa mchana huu, na nyingine zinasema wananchi wamekamata wauwaji wawili, nachoweza kuthibitisha ni maandamano na mabomu ya machozi. Nikipata za ndani kutoka kwa wenyeji nitazileta hapa. Kamhanda ni heri ajiuzuru!
Kuna utata wa taarifa yako mkuu hapo kwenye red , fanya utafiti ulete taarifa iliyonyooka