Endeleeni kuota tu ,yaani bado mupo mkipiga makelele ya kukusanyika watu ,watu wenyewe hawana ata shahada ,just endeleeni kujipa moyo na maini ,ila wekenio chunvi na sukari karibu,
Endeleeni kuota tu ,yaani bado mupo mkipiga makelele ya kukusanyika watu ,watu wenyewe hawana ata shahada ,just endeleeni kujipa moyo na maini ,ila wekenio chunvi na sukari karibu,
Wawili mashuhuda wameniambia kuwa watu walikuwa kibao!Picha pls otherwise utabakia kuwa uvumi
Sina picha, lakini nimeongea na shuhuda ninayemwamini, anasema watu walikuwa wengi mmmmmno! ile ya jk 'cha mtoto'.
Mkutano ulipoisha, watu walijazana mno barabarani wakitaka kumsindikiza Dk.Slaa hadi atakakolala. Songea big up big up!!! Msidanganyike, mwaka huu lazima kufanya mabadiliko.