Songa ndiye emcee bora tamaduni music

George Betram

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
3,993
4,860
EMCEE bora kabisa toka tamaduni music...
Tanzania ina Maemcee wa hatari bhana...

maxresdefault-jpg.366102
 
Watasikika vp wakati wanafanya mziki wa kihuni na wengi wao vijana wa TAMADUNI music ni wahuni!
Mmh...
Sio kweli mkuu...
Hivi ushawahi kumsikiliza ONE THE INCREDIBLE...
sema kuna muda inatokea wanaingiza maneno MAGUMU kidogo kwenye mistari yao (hip-hop ndivyo ilivyo)...
Nafikiri hiyo ndio sababu inayokufanya uone hawa watu wanafanya mziki wa kihuni..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom