econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,755
- 21,747
Magufuli ataishi milele.
Anayeishi milele ni Mungu tu.
Magufuli ataishi milele.
Wakati wazee wakisimulia habari za Nyerere, Basi vijana wa miaka ya 90 na 2000 watasimulia habari za shujaa Magufuli.
Hujaangali unawezaje kusema ni wachache..Kila mtu?. Maana tukisema tuangalie kwa watumiaji wa simu wote, waliyompost ni wachache.
Magufuli anaishi milele..Anayeishi milele ni Mungu tu.
MabeberuJembe San magu yaan bas tu Kam Ni mkono wa mtu bas alaniwe
Magu alikuwa bonge la mwanaume
Ubarikiwe sana Seniweba, una akili mingi. Mama tumuombee maana kuna wale vikaragosi kila siku walishinda kumlaumu na kumtukana Dkt Magufuli sasa wanaongoza vikao vya kumtukana Mama Samia wakati Mama anafuata yale waliyoyataka ya kijinga toka kwa Dkt Magufuli. Naamini Mama baada ya 2025 atakuwa mwingine
Atakuwa mwingine kivipi ? Mbona iwe ni baada ya 2025?Ubarikiwe sana Seniweba, una akili mingi. Mama tumuombee maana kuna wale vikaragosi kila siku walishinda kumlaumu na kumtukana Dkt Magufuli sasa wanaongoza vikao vya kumtukana Mama Samia wakati Mama anafuata yale waliyoyataka ya kijinga toka kwa Dkt Magufuli. Naamini Mama baada ya 2025 atakuwa mwingine
Kama ilivo kwa binadamu yeyote yuleKuna mazuri na mapungufu yake, all in all apumzike kwa amani.
Kwa nini Sukuma gang huwa hawana hoja? Matusi ndiyo silaha yao pekee, akili zao zinaakisi akili za yule 'mungu mtu' wao aliye jahanam kwa sasa.Muulize mama yako
100%Jinsi alivyompiga risasi Lissu na kumnyanganya ubunge. Na pia kumpoteza Been Saanane. Stori ni nyingi, hadi alipozima mtandao wa internet siku ya uchaguzi.
Well 100% True said mkuu SeniwebaLeo ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli afariki, nimekaa chini muda fulani nikatafakari siku hii ya kumbukizi ya kifo chake, Kuna somo nimelichukua kupitia kwake. Kwa kulinganisha kipindi akiwa hai na baada ya kutuacha, somo hilo ni kutokuogopa kusemwa, kwa maana kazi ya mdomo ni kusema.
JPM anabaki kuwa kiongozi aliyekuwa na maono, maamuzi na aliyesimamia kile anachokiamini bila kujari maneno ya watu, ndiyo maana kipindi cha korona wakati dunia nzima inaenda kushoto, yeye peke yake anaenda kulia bila kujari maneno ya watu. Maana hata ungefanya Jambo zuri namna gani bado Kuna watu watakusema vibaya.
Ukiwa mchamungu wapo watakaosema, ' anajifanya mkatoliki zaidi ya papa', usipokuwa mchamungu watasema, ' Shetani amemweka mfukoni '.
Mheshimiwa akibaki nchini watasema, ' Hajui kiingereza anaogopa ataongea Nini Ughaibuni ', akitoka nje ya nchi watasema, ' huyu nae! anapenda kwenda kwa mabeberu, utadhani ndo nyumbani kwao'.
Mtu akitoa hotuba fupi, Kuna watu watajitokeza na kusema, ' Hakujiandaa', akitoa hotuba ndefu watasema, 'hajui kutunza muda'.
Kiongozi akiwa mzalendo na mwenye nia njema kwa taifa lake wapo watakaosema, ' Mzee yule alikuwa mshamba yaani hata hakuwaingiza watoto wake kwenye MFUMO, ona wanavyoteseka sasa', akiwaingiza kwenye MFUMO utasikia kelele, ' hii nchi keki ya taifa inaliwa na walewale miaka yote, baba anamwachia mtoto, mtoto anamwachia mjukuu wa baba, mjukuu anamwachia kitukuu, sisi wanyonge ndo hivyo'.
Mtu akiaga dunia katika umri mdogo wapo watakaosema, 'angefanya mengi mazuri', akifika umri wa uzee wapo watakaosema, ' miaka yake yote aliiharibu tu bila kufanya chochote'.
Mtu akisoma sana Kuna watu watasema, ' Elimu yake haijamkomboa, yaani ni hasara siyo tu kwa familia yake bali na kwa taifa', asiposoma watasema, 'kipaji anacho, tatizo shule hana'.
Akiwa mtoto mchanga watasema, ' ni malaika huyu' akiwa mtu mzima watasema, ' achana na Shetani yule'.
Kiongozi akiwa na maono kwenye vitu vinavyokuza uchumi wapo watakaosema, ' sasa ananunua ndege hizi za Nini na wakati mashuleni bado matundu ya vyoo hayatoshi' asiponunua ndege utasikia, ' utalii bila ndege zako hata haulipi'.
Mtu akiwa mkarimu kuna watu watajitokeza na kusema, 'anajitangaza' asipokuwa mkarimu watasema ' ana gundi mikononi'.
Kupitia Hayati John Pombe Magufuli, nimepata somo na kuamini ukiongozwa na maneno ya watu, itakuwa ngumu kuyafikia malengo na ndoto zako. Acha uonekane kichaa leo ili kesho wakushangae.
Mwendazake alikuwa mshamba, haambiliki na hajali protocol wala katiba. Ndiyo maana hatunaye tena. Tanzania haikustahili kutawaliwa na mtu wa calibre ile. Ni ajali tu ya kisiasa ya mwaka 2015 ndiyo iliyomleta madarakani. ila Tumejifunza, viongozi lazima waandaliweLeo ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli afariki, nimekaa chini muda fulani nikatafakari siku hii ya kumbukizi ya kifo chake, Kuna somo nimelichukua kupitia kwake. Kwa kulinganisha kipindi akiwa hai na baada ya kutuacha, somo hilo ni kutokuogopa kusemwa, kwa maana kazi ya mdomo ni kusema.
JPM anabaki kuwa kiongozi aliyekuwa na maono, maamuzi na aliyesimamia kile anachokiamini bila kujari maneno ya watu, ndiyo maana kipindi cha korona wakati dunia nzima inaenda kushoto, yeye peke yake anaenda kulia bila kujari maneno ya watu. Maana hata ungefanya Jambo zuri namna gani bado Kuna watu watakusema vibaya.
Ukiwa mchamungu wapo watakaosema, ' anajifanya mkatoliki zaidi ya papa', usipokuwa mchamungu watasema, ' Shetani amemweka mfukoni '.
Mheshimiwa akibaki nchini watasema, ' Hajui kiingereza anaogopa ataongea Nini Ughaibuni ', akitoka nje ya nchi watasema, ' huyu nae! anapenda kwenda kwa mabeberu, utadhani ndo nyumbani kwao'.
Mtu akitoa hotuba fupi, Kuna watu watajitokeza na kusema, ' Hakujiandaa', akitoa hotuba ndefu watasema, 'hajui kutunza muda'.
Kiongozi akiwa mzalendo na mwenye nia njema kwa taifa lake wapo watakaosema, ' Mzee yule alikuwa mshamba yaani hata hakuwaingiza watoto wake kwenye MFUMO, ona wanavyoteseka sasa', akiwaingiza kwenye MFUMO utasikia kelele, ' hii nchi keki ya taifa inaliwa na walewale miaka yote, baba anamwachia mtoto, mtoto anamwachia mjukuu wa baba, mjukuu anamwachia kitukuu, sisi wanyonge ndo hivyo'.
Mtu akiaga dunia katika umri mdogo wapo watakaosema, 'angefanya mengi mazuri', akifika umri wa uzee wapo watakaosema, ' miaka yake yote aliiharibu tu bila kufanya chochote'.
Mtu akisoma sana Kuna watu watasema, ' Elimu yake haijamkomboa, yaani ni hasara siyo tu kwa familia yake bali na kwa taifa', asiposoma watasema, 'kipaji anacho, tatizo shule hana'.
Akiwa mtoto mchanga watasema, ' ni malaika huyu' akiwa mtu mzima watasema, ' achana na Shetani yule'.
Kiongozi akiwa na maono kwenye vitu vinavyokuza uchumi wapo watakaosema, ' sasa ananunua ndege hizi za Nini na wakati mashuleni bado matundu ya vyoo hayatoshi' asiponunua ndege utasikia, ' utalii bila ndege zako hata haulipi'.
Mtu akiwa mkarimu kuna watu watajitokeza na kusema, 'anajitangaza' asipokuwa mkarimu watasema ' ana gundi mikononi'.
Kupitia Hayati John Pombe Magufuli, nimepata somo na kuamini ukiongozwa na maneno ya watu, itakuwa ngumu kuyafikia malengo na ndoto zako. Acha uonekane kichaa leo ili kesho wakushangae.
Huyu ni dizaini ya Mchungaji Erasto hapa chiniUsikute hapo ulipo una jinsia ya kiume, halafu unakuja na maneno kama haya!