Somo nililojifunza McDonald Restaurant

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,461
39,928
Ukifanya kazi McD hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku. Ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimua!

Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa serikali ya mahesabu ya serikali ya mwaka wa 2006-2007 ulioisha Juni 30, 2007. Ingawa nimekuwa nikipitia ripoti hiyo mara kadhaa lakini jana kwa namna ya pekee it hit me! Hatuna usimamizi wa fedha (which is understatement); siyo tu ripoti yenyewe inashtua lakini mambo yanayotajwa yanaudhi na kama una moyo mwepesi unaweza kujikuta unapata kiungulia cha ubongo.

Hebu angalia mifano ya kile ambacho CAG alikigundua katika uchunguzi wake na maneno anayotumia kuelezea.

Jeshi la Wananchi:
Malipo bila hati za malipo (payments without payment vouchers) Sh.614,980,930

Malipo yenye shaka kwa Meremeta Ltd = 200,980,370

• Kitengo cha ukaguzi wa ndani hakijawahi kutoa taarifa ya
ukaguzi

Shirika la Mzinga
Hati ya Ukaguzi: Yenye Shaka
Masuala yaliyopelekea kutoa hati hiyo
• Amana na malipo ya awali ya muda mrefu ambayo
hayajashughulikiwa Sh.6,091,761,309

Vipuri visivyotumika vyenye thamani ya Sh.252,216,000vimeendelea kuonyeshwa katika taarifa za fedha za Shirika la
Nyumbu kwa miaka 15 iliyopita bila kufutwa kwenye vitabu.
• Jumla ya Sh.220,019,955 zililipwa kwa Kampuni ya Kimataifa
kwa ajili ya vifaa ambavyo hadi sasa havijapokelewa.

Wizara ya Mambo ya Nje
Malipo ya ruzuku kwa Chuo cha Diplomasia yasiyotolewa
maelezo Sh.1,531,278,729

Wizara ya Mifugo
Ng’ombe wa maziwa wenye thamani ya Sh.86,000,000walionunuliwa hawakupokelewa.

Tume ya Ukwimi Tanzania
Matengenezo yenye thamani ya Sh.2,023,560 yalifanywa
kwa Mkandarasi asiyeidhinishwa
• Matumizi ya kiasi cha Sh.16,030,000 hayakuwa na nyaraka

Msajili wa Vyama vya Siasa
• Taarifa za mwaka za hesabu zilizokaguliwa za vyama vya
Siasa zinazoonyesha matumizi ya jumla ya
Sh.13,667,340,694 hazikuwasilishwa kwa Msajili wala
kutangazwa

Balozi zetu kadhaa
London – Uingereza
Masuala ya msisitizo
• Matumizi ya Sh.2,379,251,838 nje ya bajeti iliyoidhinishwa
• Usimamizi dhaifu wa mali za kudumu
• Malipo ya awali kwa ajili ya pango £ 7,200 hazikurejeshwa
kwa balozi.

Paris – Ufaransa
Masuala ya msisitizo
• Matumizi bila idhini sahihi Sh.1,171,099,881

Berlin – Ujerumani
Masuala ya Msisitizo
• Matumizi zaidi ya bajeti Sh.301,016,847• Mafuta ya magari yasiyoingizwa vitabuni Sh.20,532,535

New York – Umoja wa Mataifa• Kuchelewa kupeleka benki fedha zilizokusanywa
Sh.116,601,861• Matumizi zaidi ya idhini Sh. 66,840,160• Kuripotiwa pungufu kwa matumizi Sh.38,236,905• Fedha isiyorejeshwa Sh.25,130,225
• Kukosekana kwa hati za malipo Sh.255,628,000

Washington – Marekani• Malipo yaliyofanywa bila ushindani wa bei Sh.32,966,854• Matumizi yasiyo na nyaraka Sh.85,278,900
• Kandarasi na Zabuni zilizotenganishwa ili kuidhinishwa
kinyume cha Sheria Sh.58,340,972• Kuidhinishwa kwa kandarasi kwa kiwango kinachozidi uwezo
wa Afisa Masuuli mdogo Sh.65,784,765

Cairo – Misri
• Malipo yasiyokuwa na nyaraka yaliyofanywa na mwambata
wa Jeshi Sh.190,352,770

My Take:[/B]

I can't take anything! Nimewaambatanishia ripoti ya Serikali Kuu (unaweza kusoma ripoti nyingine kwenye http://www.nao.go.tz na ukipitia pitia unaweza kuona vitu vingine vingi ambavyo vinaweza kukusababishia lile jinamizi la utotoni kukurudia!
 

Attachments

  • SERIKALIKUU.pdf
    475.8 KB · Views: 342
Ndio maana kuna haja ya kufanya kazi kwa kina ili kuhakikisha kuwa mafisadi wa kisiasa wanaondoka kwani najua kuwa hata hawa watendaji watakuwa makini sana .

Pili ripoti hii ni nzuri kuliko ya mwaka jana kwani imeonyesha upotevu wa pesa ila sio nyingi kama mwaka jana japo fedha zilitolewa nyingi kwa kipindi cha mwaka huu.

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya siku za huko mbeleni kwani kunahitajika total overwhal kwenye leadership ya taifa hili .

We are in leadership crisis now.
 
Hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti, tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini? Inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake? Inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini? Tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushia?
 
Hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti, tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini? Inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake? Inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini? Tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushia?

Mimi nikisema Waafrika Ndivyo Tulivyo naambiwa eti nina complex.......
 
Ukifanya kazi McD hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku. Ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimua!

Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa serikali ya mahesabu ya serikali ya mwaka wa 2006-2007 ulioisha Juni 30, 2007. Ingawa nimekuwa nikipitia ripoti hiyo mara kadhaa lakini jana kwa namna ya pekee it hit me! Hatuna usimamizi wa fedha (which is understatement); siyo tu ripoti yenyewe inashtua lakini mambo yanayotajwa yanaudhi na kama una moyo mwepesi unaweza kujikuta unapata kiungulia cha ubongo.

Hebu angalia mifano ya kile ambacho CAG alikigundua katika uchunguzi wake na maneno anayotumia kuelezea.

Jeshi la Wananchi:
Malipo bila hati za malipo (payments without payment vouchers) Sh.614,980,930

Malipo yenye shaka kwa Meremeta Ltd = 200,980,370

• Kitengo cha ukaguzi wa ndani hakijawahi kutoa taarifa ya
ukaguzi

Shirika la Mzinga
Hati ya Ukaguzi: Yenye Shaka
Masuala yaliyopelekea kutoa hati hiyo
• Amana na malipo ya awali ya muda mrefu ambayo
hayajashughulikiwa Sh.6,091,761,309

Vipuri visivyotumika vyenye thamani ya Sh.252,216,000vimeendelea kuonyeshwa katika taarifa za fedha za Shirika la
Nyumbu kwa miaka 15 iliyopita bila kufutwa kwenye vitabu.
• Jumla ya Sh.220,019,955 zililipwa kwa Kampuni ya Kimataifa
kwa ajili ya vifaa ambavyo hadi sasa havijapokelewa.

Wizara ya Mambo ya Nje
Malipo ya ruzuku kwa Chuo cha Diplomasia yasiyotolewa
maelezo Sh.1,531,278,729

Wizara ya Mifugo
Ng’ombe wa maziwa wenye thamani ya Sh.86,000,000walionunuliwa hawakupokelewa.

Tume ya Ukwimi Tanzania
Matengenezo yenye thamani ya Sh.2,023,560 yalifanywa
kwa Mkandarasi asiyeidhinishwa
• Matumizi ya kiasi cha Sh.16,030,000 hayakuwa na nyaraka

Msajili wa Vyama vya Siasa
• Taarifa za mwaka za hesabu zilizokaguliwa za vyama vya
Siasa zinazoonyesha matumizi ya jumla ya
Sh.13,667,340,694 hazikuwasilishwa kwa Msajili wala
kutangazwa

Balozi zetu kadhaa
London – Uingereza
Masuala ya msisitizo
• Matumizi ya Sh.2,379,251,838 nje ya bajeti iliyoidhinishwa
• Usimamizi dhaifu wa mali za kudumu
• Malipo ya awali kwa ajili ya pango £ 7,200 hazikurejeshwa
kwa balozi.

Paris – Ufaransa
Masuala ya msisitizo
• Matumizi bila idhini sahihi Sh.1,171,099,881

Berlin – Ujerumani
Masuala ya Msisitizo
• Matumizi zaidi ya bajeti Sh.301,016,847• Mafuta ya magari yasiyoingizwa vitabuni Sh.20,532,535

New York – Umoja wa Mataifa• Kuchelewa kupeleka benki fedha zilizokusanywa
Sh.116,601,861• Matumizi zaidi ya idhini Sh. 66,840,160• Kuripotiwa pungufu kwa matumizi Sh.38,236,905• Fedha isiyorejeshwa Sh.25,130,225
• Kukosekana kwa hati za malipo Sh.255,628,000

Washington – Marekani• Malipo yaliyofanywa bila ushindani wa bei Sh.32,966,854• Matumizi yasiyo na nyaraka Sh.85,278,900
• Kandarasi na Zabuni zilizotenganishwa ili kuidhinishwa
kinyume cha Sheria Sh.58,340,972• Kuidhinishwa kwa kandarasi kwa kiwango kinachozidi uwezo
wa Afisa Masuuli mdogo Sh.65,784,765

Cairo – Misri
• Malipo yasiyokuwa na nyaraka yaliyofanywa na mwambata
wa Jeshi Sh.190,352,770

My Take:[/B]

I can't take anything! Nimewaambatanishia ripoti ya Serikali Kuu (unaweza kusoma ripoti nyingine kwenye http://www.nao.go.tz na ukipitia pitia unaweza kuona vitu vingine vingi ambavyo vinaweza kukusababishia lile jinamizi la utotoni kukurudia!


THEORY OF MCDONALDIZATION, Watu wanafikiri hizi zinabakia kuwa theory za kwenye vitabu, hata kwenye uongozi pamoja na maisha yetu kwa ujumla yanatendeka. Mkuu Mzee Mwanakijiji nimekupata sana, Analysis Hii imetulia mno.
 
Hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti, tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini? Inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake? Inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini? Tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushia?
KWA UFAHAMU WANGU WA SHERIA ZA KODI, UNAPOKAGULIWA NA TRA WAKIKAMATA MANUNUZI YASIYO NA STAKABADHI (DOCUMENTARY EVIDENCE), TRA WATAKULIMA NA ASSESSMENT NA KUKDAI KODI AMBAYO NI PAYABLE WITHIN 30 DAYS -IF NOT 10 DAYS.

KWA MANTIKI YA HAPO JUU, HAO WALAFI/MAFISADI LAZIMA WACHUKULIWE HATUA KWANI TAX IS SAID TO BE FAIR TO ALL CITIZENS, LAKINI KWA NINI WATU WACHACHE WAENDELEE KUIBA TU BILA YA KUCHUKLIWA HATUA ZA KINIDHAMU. UTOUH ALISHAKUWA MKUU WA NBAA KWA MUDA MREFU, HIVYO KITU CHA KWANZA NI KUWAADHIBU HAO WAHASIBU AMBAO WANAENDELEZA HUO UWIZI, HALAFU NDIO WAKUU WA SYSTEM WAADHIBIWE PIA.

Jee tutafika na mpango huo wa uwizi. TRA wako speed kuwakamata waliipa kodi wa kawaida lakini wakuu wa idara wanatakiwa wafuatiliwe na idara yenye nguvu zaidi ya TRA na NAO.
 
THEORY OF MCDONALDIZATION, Watu wanafikiri hizi zinabakia kuwa theory za kwenye vitabu, hata kwenye uongozi pamoja na maisha yetu kwa ujumla yanatendeka. Mkuu Mzee Mwanakijiji nimekupata sana, Analysis Hii imetulia mno.

HII NI KUFURU!
UHAI WA WATZ UNACHEZEWA!
Wanawezaje kufuja pesa zote hizo na huku kuna wananchi wanakufa kila siku kwa njaa na magonjwa?
Na kweli nimeshaona kama hao watu hawatachukuliwa hatua tena na sisi yanaweza kutukumba ya wenzetu kama ya hapo kwa BABA MOI.
 
Hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti, tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini? Inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake? Inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini? Tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushia?
KWA UFAHAMU WANGU WA SHERIA ZA KODI, UNAPOKAGULIWA NA TRA WAKIKAMATA MANUNUZI YASIYO NA STAKABADHI (DOCUMENTARY EVIDENCE), TRA WATAKULIMA NA ASSESSMENT NA KUKDAI KODI AMBAYO NI PAYABLE WITHIN 30 DAYS -IF NOT 10 DAYS.

KWA MANTIKI YA HAPO JUU, HAO WALAFI/MAFISADI LAZIMA WACHUKULIWE HATUA KWANI TAX IS SAID TO BE FAIR TO ALL CITIZENS, LAKINI KWA NINI WATU WACHACHE WAENDELEE KUIBA TU BILA YA KUCHUKLIWA HATUA ZA KINIDHAMU. UTOUH ALISHAKUWA MKUU WA NBAA KWA MUDA MREFU, HIVYO KITU CHA KWANZA NI KUWAADHIBU HAO WAHASIBU AMBAO WANAENDELEZA HUO UWIZI, HALAFU NDIO WAKUU WA SYSTEM WAADHIBIWE PIA.

Jee tutafika na mpango huo wa uwizi. TRA wako speed kuwakamata waliipa kodi wa kawaida lakini wakuu wa idara wanatakiwa wafuatiliwe na idara yenye nguvu zaidi ya TRA na NAO.
 
Tunaomba tuwekewe na majina ya hao walioidhinisha hiyo KUFURU hapo juu.
Tafadhali tunaomba muweke majina yaliyoidhinisha!
Ahsante.
 
Hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti, tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini? Inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake? Inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini? Tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushia?
KWA UFAHAMU WANGU WA SHERIA ZA KODI, UNAPOKAGULIWA NA TRA WAKIKAMATA MANUNUZI YASIYO NA STAKABADHI (DOCUMENTARY EVIDENCE), TRA WATAKULIMA NA ASSESSMENT NA KUKDAI KODI AMBAYO NI PAYABLE WITHIN 30 DAYS -IF NOT 10 DAYS.

KWA MANTIKI YA HAPO JUU, HAO WALAFI/MAFISADI LAZIMA WACHUKULIWE HATUA KWANI TAX IS SAID TO BE FAIR TO ALL CITIZENS, LAKINI KWA NINI WATU WACHACHE WAENDELEE KUIBA TU BILA YA KUCHUKLIWA HATUA ZA KINIDHAMU. UTOUH ALISHAKUWA MKUU WA NBAA KWA MUDA MREFU, HIVYO KITU CHA KWANZA NI KUWAADHIBU HAO WAHASIBU AMBAO WANAENDELEZA HUO UWIZI, HALAFU NDIO WAKUU WA SYSTEM WAADHIBIWE PIA.

Jee tutafika na mpango huo wa uwizi. TRA wako speed kuwakamata waliipa kodi wa kawaida lakini wakuu wa idara wanatakiwa wafuatiliwe na idara yenye nguvu zaidi ya TRA na NAO.
 
Ukifanya kazi McD hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku. Ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimua!

Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa serikali ya mahesabu ya serikali ya mwaka wa 2006-2007 ulioisha Juni 30, 2007. Ingawa nimekuwa nikipitia ripoti hiyo mara kadhaa lakini jana kwa namna ya pekee it hit me! Hatuna usimamizi wa fedha (which is understatement); siyo tu ripoti yenyewe inashtua lakini mambo yanayotajwa yanaudhi na kama una moyo mwepesi unaweza kujikuta unapata kiungulia cha ubongo.

Hebu angalia mifano ya kile ambacho CAG alikigundua katika uchunguzi wake na maneno anayotumia kuelezea.

Jeshi la Wananchi:
Malipo bila hati za malipo (payments without payment vouchers) Sh.614,980,930

Malipo yenye shaka kwa Meremeta Ltd = 200,980,370

• Kitengo cha ukaguzi wa ndani hakijawahi kutoa taarifa ya
ukaguzi

Shirika la Mzinga
Hati ya Ukaguzi: Yenye Shaka
Masuala yaliyopelekea kutoa hati hiyo
• Amana na malipo ya awali ya muda mrefu ambayo
hayajashughulikiwa Sh.6,091,761,309

Vipuri visivyotumika vyenye thamani ya Sh.252,216,000vimeendelea kuonyeshwa katika taarifa za fedha za Shirika la
Nyumbu kwa miaka 15 iliyopita bila kufutwa kwenye vitabu.
• Jumla ya Sh.220,019,955 zililipwa kwa Kampuni ya Kimataifa
kwa ajili ya vifaa ambavyo hadi sasa havijapokelewa.

Wizara ya Mambo ya Nje
Malipo ya ruzuku kwa Chuo cha Diplomasia yasiyotolewa
maelezo Sh.1,531,278,729

Wizara ya Mifugo
Ng’ombe wa maziwa wenye thamani ya Sh.86,000,000walionunuliwa hawakupokelewa.

Tume ya Ukwimi Tanzania
Matengenezo yenye thamani ya Sh.2,023,560 yalifanywa
kwa Mkandarasi asiyeidhinishwa
• Matumizi ya kiasi cha Sh.16,030,000 hayakuwa na nyaraka

Msajili wa Vyama vya Siasa
• Taarifa za mwaka za hesabu zilizokaguliwa za vyama vya
Siasa zinazoonyesha matumizi ya jumla ya
Sh.13,667,340,694 hazikuwasilishwa kwa Msajili wala
kutangazwa

Balozi zetu kadhaa
London – Uingereza
Masuala ya msisitizo
• Matumizi ya Sh.2,379,251,838 nje ya bajeti iliyoidhinishwa
• Usimamizi dhaifu wa mali za kudumu
• Malipo ya awali kwa ajili ya pango £ 7,200 hazikurejeshwa
kwa balozi.

Paris – Ufaransa
Masuala ya msisitizo
• Matumizi bila idhini sahihi Sh.1,171,099,881

Berlin – Ujerumani
Masuala ya Msisitizo
• Matumizi zaidi ya bajeti Sh.301,016,847• Mafuta ya magari yasiyoingizwa vitabuni Sh.20,532,535

New York – Umoja wa Mataifa• Kuchelewa kupeleka benki fedha zilizokusanywa
Sh.116,601,861• Matumizi zaidi ya idhini Sh. 66,840,160• Kuripotiwa pungufu kwa matumizi Sh.38,236,905• Fedha isiyorejeshwa Sh.25,130,225
• Kukosekana kwa hati za malipo Sh.255,628,000

Washington – Marekani• Malipo yaliyofanywa bila ushindani wa bei Sh.32,966,854• Matumizi yasiyo na nyaraka Sh.85,278,900
• Kandarasi na Zabuni zilizotenganishwa ili kuidhinishwa
kinyume cha Sheria Sh.58,340,972• Kuidhinishwa kwa kandarasi kwa kiwango kinachozidi uwezo
wa Afisa Masuuli mdogo Sh.65,784,765

Cairo – Misri
• Malipo yasiyokuwa na nyaraka yaliyofanywa na mwambata
wa Jeshi Sh.190,352,770

My Take:[/B]

I can't take anything! Nimewaambatanishia ripoti ya Serikali Kuu (unaweza kusoma ripoti nyingine kwenye http://www.nao.go.tz na ukipitia pitia unaweza kuona vitu vingine vingi ambavyo vinaweza kukusababishia lile jinamizi la utotoni kukurudia!


Loh, hiyo inaumiza kweli kweli. Halafu nikisema tunataka Tanzania iwe na highway za njia mbilimbili waziri anasema serikali haina uwezo wa kufanya hivyo.

Hapa sifanyi ushabiki wa kisiasa, ila ninapenda kujua eti hizo Taasisi zote ni za serikali inayoongozwa na chama gani. Kuna haja ya kufanya mageuzi ya dhati sana ili kumaliza matatizo haya. Watu husema ukikuta nyoka wa sumu ndani ya nyumba yako, mpige kichwani kwa nguvu sana. Ama sivyo atakusumbua sana na anaweza kukutemea mate yakakudhuru
 
Ukifanya kazi McD hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku. Ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimua!

Kwa muda sasa nimekuwa nikipitia ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa serikali ya mahesabu ya serikali ya mwaka wa 2006-2007 ulioisha Juni 30, 2007. Ingawa nimekuwa nikipitia ripoti hiyo mara kadhaa lakini jana kwa namna ya pekee it hit me! Hatuna usimamizi wa fedha (which is understatement); siyo tu ripoti yenyewe inashtua lakini mambo yanayotajwa yanaudhi na kama una moyo mwepesi unaweza kujikuta unapata kiungulia cha ubongo.

Hebu angalia mifano ya kile ambacho CAG alikigundua katika uchunguzi wake na maneno anayotumia kuelezea.

Jeshi la Wananchi:
Malipo bila hati za malipo (payments without payment vouchers) Sh.614,980,930

Malipo yenye shaka kwa Meremeta Ltd = 200,980,370

• Kitengo cha ukaguzi wa ndani hakijawahi kutoa taarifa ya
ukaguzi

Shirika la Mzinga
Hati ya Ukaguzi: Yenye Shaka
Masuala yaliyopelekea kutoa hati hiyo
• Amana na malipo ya awali ya muda mrefu ambayo
hayajashughulikiwa Sh.6,091,761,309

Vipuri visivyotumika vyenye thamani ya Sh.252,216,000vimeendelea kuonyeshwa katika taarifa za fedha za Shirika la
Nyumbu kwa miaka 15 iliyopita bila kufutwa kwenye vitabu.
• Jumla ya Sh.220,019,955 zililipwa kwa Kampuni ya Kimataifa
kwa ajili ya vifaa ambavyo hadi sasa havijapokelewa.

Wizara ya Mambo ya Nje
Malipo ya ruzuku kwa Chuo cha Diplomasia yasiyotolewa
maelezo Sh.1,531,278,729

Wizara ya Mifugo
Ng’ombe wa maziwa wenye thamani ya Sh.86,000,000walionunuliwa hawakupokelewa.

Tume ya Ukwimi Tanzania
Matengenezo yenye thamani ya Sh.2,023,560 yalifanywa
kwa Mkandarasi asiyeidhinishwa
• Matumizi ya kiasi cha Sh.16,030,000 hayakuwa na nyaraka

Msajili wa Vyama vya Siasa
• Taarifa za mwaka za hesabu zilizokaguliwa za vyama vya
Siasa zinazoonyesha matumizi ya jumla ya
Sh.13,667,340,694 hazikuwasilishwa kwa Msajili wala
kutangazwa

Balozi zetu kadhaa
London – Uingereza
Masuala ya msisitizo
• Matumizi ya Sh.2,379,251,838 nje ya bajeti iliyoidhinishwa
• Usimamizi dhaifu wa mali za kudumu
• Malipo ya awali kwa ajili ya pango £ 7,200 hazikurejeshwa
kwa balozi.

Paris – Ufaransa
Masuala ya msisitizo
• Matumizi bila idhini sahihi Sh.1,171,099,881

Berlin – Ujerumani
Masuala ya Msisitizo
• Matumizi zaidi ya bajeti Sh.301,016,847• Mafuta ya magari yasiyoingizwa vitabuni Sh.20,532,535

New York – Umoja wa Mataifa• Kuchelewa kupeleka benki fedha zilizokusanywa
Sh.116,601,861• Matumizi zaidi ya idhini Sh. 66,840,160• Kuripotiwa pungufu kwa matumizi Sh.38,236,905• Fedha isiyorejeshwa Sh.25,130,225
• Kukosekana kwa hati za malipo Sh.255,628,000

Washington – Marekani• Malipo yaliyofanywa bila ushindani wa bei Sh.32,966,854• Matumizi yasiyo na nyaraka Sh.85,278,900
• Kandarasi na Zabuni zilizotenganishwa ili kuidhinishwa
kinyume cha Sheria Sh.58,340,972• Kuidhinishwa kwa kandarasi kwa kiwango kinachozidi uwezo
wa Afisa Masuuli mdogo Sh.65,784,765

Cairo – Misri
• Malipo yasiyokuwa na nyaraka yaliyofanywa na mwambata
wa Jeshi Sh.190,352,770

My Take:[/B]

I can't take anything! Nimewaambatanishia ripoti ya Serikali Kuu (unaweza kusoma ripoti nyingine kwenye http://www.nao.go.tz na ukipitia pitia unaweza kuona vitu vingine vingi ambavyo vinaweza kukusababishia lile jinamizi la utotoni kukurudia!


Kwenye ofisi zetu za ubalozi kuna ufisadi wa hali ya juu unaofanywa katika manunuzi ya nyumba au ofisi, matengenezo ya nyumba hizo au ofisi lakini hakuna yeyote aanayejali. Wanaweza wakafanya matengenezo ya pound 200 wakapeleka bill ya pound 20,000 yaani ni wizi wa hali ya juu ambo unasikitisha sana. Kweli Mvunja nchi ni Mwanachi
 
Mimi kinachonisumbua ni jinsi watendaji wanavyokiuka taratibu with impunity! Yaani ni sawa na wale ambao wanaona kuna mahali panasema "Stop" na wao wanaendelea kana kwamba ile "Stop" inasema "ongeza mwendo" Ukiwauliza kwanini wanasema hawakudhani ile alama ina wahusu wao!
 
Tatizo la viongozi wetu, na labda Watanzania kwa ujumla, ni kwamba hawajawahi kufanya kazi McDonalds.

Watanzania wengi ambao hawapata kuishi nga'mbo hawajui kazi maana yake nini.
 
Originally Posted by Mzee Mwanakijiji
Ukifanya kazi McD hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku. Ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimua!

Mwanakijiji,

Experience yako ya Mcdonalds sio tofauti na ya kwangu ambayo nilijifunza kuna kitu kinaitwa discipline, accountability na responsibility. Katika kufanya kazi kwangu Tanzania atmosphere ilikuwa laid back kidogo, ila nilipofika huku hawachezi. Discipline inatokana na kitu unachokiamini na uko tayati kukifanya, kwa mfano, kufika kazini on time sio in time. Na kuwajibika hasa. Na mtu anayecheza na kazi anakuwa disciplined ipasavyo pamoja na kufukuzwa kazi, kupewa onyo au kuwa trained upya.

Discipline ni mtu kuji-programu kuwa hata kama mtu hakuoni utafanya kila kitu sawa bila kusubiri mtu wa kusukuma au kukuuliza mbona hili ulikosea na hujalirekebisha. Sasa Mkaguzi mkuu anaonekana kukosa vyote vitatu, discipline, accountability na responsibility. Kama kuna yote haya na yeye anaridhika kutoa report tu bila ku-question au kuchukua hatua ambazo nafasi yake inaweza kumruhusu then I guess hata akifufuka mfu na kumletea ujumbe wa responsibility na discipline hawezi elewa. Sina maana ya ku-undermine his capability and abilities to excute his duties but I rather find him more wanting.
 
Tatizo la viongozi wetu, na labda Watanzania kwa ujumla, ni kwamba hawajawahi kufanya kazi McDonalds.

Watanzania wengi ambao hawapata kuishi nga'mbo hawajui kazi maana yake nini.

Kuhani umenichekesha kiasi kwamba natamani kuanzisha a MacDonald. Si nasikia Bongo na wenyewe wameanzisha hizo fast food au wanafanya tofauti, Tanzania style?
 
Zipo bongo fast food ila hazina u-fast wowote, unasubiri wakati mwingine utafikiri wameufata huo msosi outskirts. Ila kazi iwe kumuchangamsha huyu mkaguzi wetu kwa sababu akiwa anaendelea hivi hivi ni sawa na kama anaidhinisha ufisadi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom