Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Mtu

JF-Expert Member
Feb 10, 2007
469
43
Katika vitu ambavyo huwa navipa kipaumbele basi ni kuzamia chumvini wanawane. Ila umkute demu anajua kupakwosha kule. ...unaweza kuzama ukaibuka na magugumaji.

Sasa napenda kujua madhara yake.


=====
Kama kwenda chumvini ni huku nakoelewa mimi,yaani oral sex, basi naomba nitofautiane na wenzagu hapo juu.

Tafiti zimeonyesha kuwa,mdomo wa binadamu ki bacteriologia (bacteriologically) ni mchafu maradufu kuliko sehemu ya uke(vagina).

Ni vema tufahamu kuwa,katika hali ya afya,binadamu wote tunaishi na vimelea(microorganisms) katika sehemu mbalimbali za miili yetu, wakiwa na lengo la kutulinda, kitaalamu wanaita normal flora hawa wanakuwa hawana madhara katika mwili. Hivyo ni kweli kuwa vagina kama ilivyo mdomo una normal flora.

sasa baadha ya vitendo huweza kuondoa normal flora na kukaribisha magonjwa,mfano kinamama kujiosha ukeni na maji ya ndimu,limao,Shabu etc huweza kuondoa Normal flora na kukaribisha magonjwa,kama ambavyo matumizi ya sabuni zenye kemikali zinavoweza kuua normal flora kwenye ngozi na kusababusha magonjwa ya ngozi.Hivyo kwa mwanamke mwenye afya,uke ni mahali salama kufanya upendalo(kama vile kwenda chumvini).

Hata hivyo, nionye kuwa hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kinywani kama vile Gonnorhea, Syphilis, candidiasis (fungus), HIV n.k ipo pale pale kama ambavyo mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya kawaida ya kujamiiana.

Mwisho, kama wewe ni mgonjwa wa kwenda chumvini, hakikisha unafanya mchezo huo nampenzi/mke aliye salama
Oral sex is dangerous because it can be a cause of oropharyngeal cancer

A few months ago, the famous actor Michael Douglas admitted that he suffered from oropharyngeal cancer in an advanced form – stage IV – (but with 80% survival chances), which has stirred much controversy in the media and the medical world in the U.S. However, everybody took this opportunity to draw attention to this disease. The main message released was that oral sex is dangerous because it can be a cause of oropharyngeal cancer.

From Cigarette And Alcohol to Sex and HPV

The physicians' warning does not only concern the increasing rate oforopharyngeal cancer, but also the change of its pathological profile. In the past, doctors thought that the main causes of this type of cancer were smoking, alcohol, and their association in particular. Men over 50 were frequent patients. Anyway, in the last two decades, there has been a multiplication of tumors associated with HPV infection (human papilloma virus), and men around the age of 40 are at the highest risk even if they are not smokers or drinkers.

The conclusion is that, even if alcohol and cigarettes remain obvious triggers oforopharyngeal cancer, the incidence of these tumors attributed to smoking decreased mainly due to the attitude and measures against smoking in recent decades. However, in this period, oropharyngeal cancer associated with HPV infection has increased several times, especially in people between 40 and 50 years. The correlation between HPV infection and cancer is not new, this virus is clearly involved in the genesis of cervical cancer, vulvo-vaginal, anal and penile cancers, which makes these malignancies, despite the negative aura, to be among the few ones that can be prevented by early detection and contamination avoidance.

For instance, in developed countries, the Pap test significantly reduced the incidence of cervical cancer and the anti-HPV vaccine for girls is also promising. Lately the idea of administering this vaccine for boys as well has been often discussed in medical environments, because the vaccine protects regardless of the area where the infection is localized. HPV type 16 and HPV 18 are primarily involved in producing oropharyngeal cancer and they are both incriminated in the pathogenesis of cervical cancer.

Partners and Practices

The causes are, obviously, the increasing numbers of random sexual partners and changes in sex practices: the main focus is the oral sex, which is rarely considered "real sex", and it also seems an easy way of contraception. Therefore, oral sex is practiced unprotected, which can lead to HPV and other serious infections: herpes, chlamydia, gonorrhea, HIV, hepatitis. For example, studies made in the USA have shown that half of adolescents are having oral sex (even if 10% -20% have not yet practiced vaginal sex). In the United Kingdom, 80% of the young people aged between 16 and 21 years, during their studies (thus considered more knowledgeable), do not use condoms during oral sex, although they usually use contraception during vaginal sex.

In conclusion, oral sex is not safer than vaginal sex. Even when condom or other type of contraception is used, there are still incidents that may occur during its incorrect use or and some diseases, like herpes or genital warts may be easily transmitted.
 
Hhuko unakoita Chumvini ni sehemu yenye wadudu wengi sana kuanzia fungus, Herpes, bacteria n.k hivyo iwapo una hali mbaya mdomoni unaweza kuwa umepata fungus au vimelea wengine kutoka huko na kwa njia ya fecal oral route namaanisha baada ya kuingia chumvini ukashindwa kujisafisha vizuri mikono na mwili wako unaweza kupeleka maambukizi katika kinywa,hata hivyo nahitaji maelezo zaidi kama kuna vidonda kinywani au utando wowote kwa sas unaweza kuwa unatumia Mouth wash Solution ili kuondoa haufu mbaya kama kuna utando mweupe unaweza kutumia Nystatin cream 1mls mara nne kwa siku( in case ni fungus) otherwise nipe maelezo zaidi.

Pili tatizo la kutotumia Kondomu baada ya goli la pili is more psychological than physical hivyo, Jifunze kulinganisha thamani ya maisha yako na raha ya muda mfupi unayoipata huku ukiwa na uwezekanifu wa kupata maambukizi.

Nakushauri pia uwe na mpenzi mmoja mwaminifu na mpime virusi ili hata kama usipotumia kondomu uwe salama.

Mwisho Chumvini si mahali pa salama kabisana hapakuumbwa kwa kazi hiyo.

Jitahidi kutumia viunga vya mwili kadri Mungu anavyotaka vitumie
Shukrani
 
Ahsante Sana Kwa Ushauri Wako Mzuri Mkuu,,,nashukuru Sanasana...ni Kwamba Kuna Vidonda Kidogo Na Ukungu Flani Seems Kama Fungus.....imebidi Niache Kabisa Chmvinina Kwa Wale Mnaosoma Chumvini Si Mahali Patak/7777
Ahsanten
 
sHUKRANI kAKA Mafish,Jambo la msingi jitahidi kutafuta Mouth wash dukani na utafute na hiyo Nystatin oral suspension utumie kwa Muda.Wakati mwingine ni jambo la kisaikolojia kwani uchafu ulioko Chumvini una feel ama uko kinywani kwa hiyo tuliza akili,uone kama ajali tu na usione kinyaa,nakutakia siku njema
 
Unajuwa siri yao hao watu wanaopenda mambo ya kwenda chumvini? Yaani wakizeeka wanataka kuwahadithia wajukuu zao kama wamekula chumvi nyingi, tena za kila aina, kuanzia za uvinza, mpaka za bonde la ufa...!

Tena usishangae wake zao wasiweze pata ujauzito a.k.a mimba, unajuwa kwa nini, kwani unategemea nini unapokwenda uko chumvini si utakuwa unawala watoto wako mwenyewe kabla...!

Tena watu wa namna hiyo usishangae wakaota au kuwa na ndevu za kwenye meno, kwani unategemea nini kama shamba halija vunwa, nyasi na magugu hadi mlangoni, na wewe kwa kutaka kwako kwingi unapalilia na kulima kwa kutumia meno...! Ndo maana utakuta meno ya watu wengine yana rangi za ugoro, ulochanganyika na umanjano, kijani na weusi...!

Halafu wewe uogopi ukinuka mdomo je...! We zoea tu mambo hayo ya kuzamia, siku mkeo mjamzito na wewe umekazana tu kuramba ramba kama mbwa anakunywa maji, kama ukupigwa teke na jamaa aliye kuwa ndani ya tumbo, sijui utasemaje...! Au ukimnyofoa mguu kwa utamu wa chumvi...! Sijui utasema mtoto kapata polio au...?
Shauri yenu.
 
Kama kwenda chumvini ni huku nakoelewa mimi,yaani oral sex, basi naomba nitofautiane na wenzagu hapo juu.

Tafiti zimeonyesha kuwa,mdomo wa binadamu ki bacteriologia (bacteriologically) ni mchafu maradufu kuliko sehemu ya uke(vagina).

Ni vema tufahamu kuwa,katika hali ya afya,binadamu wote tunaishi na vimelea(microorganisms) katika sehemu nmbalimbali za miili yetu, wakiwa na lengo la kutulinda, kitaalamu wanaita normal flora hawa wanakuwa hawana madhara katika mwili.Hivyo ni kweli kuwa vagina kama ilivyo mdomo una normal flora.

sasa baadha ya vitendo huweza kuondoa normal flora na kukaribisha magonjwa,mfano kinamama kujiosha ukeni na maji ya ndimu,limao,Shabu etc huweza kuondoa Normal flora na kukaribisha magonjwa,kama ambavyo matumizi ya sabuni zenye kemikali zinavoweza kuua normal flora kwenye ngozi na kusababusha magonjwa ya ngozi.Hivyo kwa mwanamke mwenye afya,uke ni mahali salama kufanya upendalo(kama vile kwenda chumvini).

Hata hivyo, nionye kuwa hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kinywani kama vile Gonnorhea, Syphilis, candidiasis (fungus), HIV n.k ipo pale pale kama ambavyo mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya kawaida ya kujamiiana.

Mwisho, kama wewe ni mgonjwa wa kwenda chumvini, hakikisha unafanya mchezo huo nampenzi/mke aliye salama
 
Kizimkazimkuu

Mkuu nafurahi kupata ufafanuzi huu kutoka kwako.... Now at least i know how i can play safe na hii kitu (CHUMVI)!
 
Last edited by a moderator:
Wana JF nisaidieni, katika masuala mazima ya sex, huwa na enjoy sana kama mpenzi wangu akinyonya cone mpaka nimwage mdomoni mwake. Halafu baada ya hapo navaa condomu kwa ajili ya sex. Je hii inaathari zozote aidha kwangu au kwake?

Naomba msaada.
 
Though am not a medical doctor lakini kwa ufahamu wangu mdogo madhara yapo na hasa huyo demu wako kama atakuwa na michubuko mdomoni kitu ambacho ni rahisi sana kutokea na wewe pia ukawa na vimichubuko katika hiyo cone yako ambavyo yawezekana huwezi kuviona kwa macho.

Kinachotokea ustadi wa kulamba cone hutofautiana sana kati ya demu na demu kuna ambao hujikuta wakati mwingine hata meno yaweza kukukwaruza kwa hiyo cone si kosa lake aidha kweli hajui how to smoothen it au kwa haraka ya kutaka kukufikisha mwisho wa safari yako.

So kama unapendelea cone it's better ukaendelea tu kula sterio kwani sioni mantiki tena ya kupiga mono (kuvaa condom) sioni kama unakuwa umejilinda sana... au ndio njia ya kuchukua speed mzee. self starter zero???
 
Wana JF nisaidieni, katika masuala mazima ya sex, huwa na enjoy sana kama mpenzi wangu akinyonya cone mpaka nimwage mdomoni mwake. Halafu baada ya hapo navaa condomu kwa ajili ya sex. Je hii inaathari zozote aidha kwangu au kwake?

Naomba msaada.
rutashobya,

Hio ishu haina madhara yoyote ila tu uzoefu ukizidi, utakua unataka mtu yoyote akusalimishie koni yako ndugu.Je ushajiuliza
huyo mwanamama naye anasemaje?...anapenda ama kachoka?..unajua tena michezo kama hio hutaka misuli ya mashavu eti!
 
Last edited by a moderator:
Soma takwimu za wamarekani za magonjwa za zinaa mashuleni, waanfunzi kibao wanakutwa na herpes na fungus zisizotibika kwa ajili ya oral sex, bacteria navimelea vingine vya mdomoni na genitals wametengeneza kizazi kipya ambacho hakikuwapo, wanasema ugonjwa huo bora ukimwi!! Hautubiki herpes si herpes, fungus si fungus, ili mradi tu wanafunzi kibao USA wanao.

Anyway bado ni new study, kwa hiyo bado wanashangaa, hawajaweza hata kuwaalert watoto wao, inasikitisha sana ila mimi nimeshawaonya wote walio wangu, TAFADHALI ACHA KWANZA mpaka ugundulike huu ugonjwa mpya na dawa yake.
 
Heee!!!!!!!! Makubwa madogo yana nafuu. Kumbe chumvini hapafai make madeni wengi wasipopelekwa chumvini wanadai hawaenjoy. Lakini hata mimi nilishaanza kuacha baada ya kukutana na tatizo lifuatalo:

Kwamba karibu mademu wote ambao huwa nadhani wanafaa kwenda chumvini huwa nakuta hawana chumvi na wengine nakutana na kauchungu kidogo. Je hivyo ndivyo walivyo mademu wote au ni mademu wa siku hizi tu au kuna kitu wanafanya hadi wanakuwa na hali hiyo. Wana JF naombeni msaada make nimikuwa nikipata shida hadi niliwahi kudhani kuwa labda nimewekewa kalimbwata ndo maana nikakutana na hiyo taste.
 
Kweli jambo ina mambo.!!! yaani unafunga zizi wakati ng'ombe washatoka..unasakiwa bila ndomu..halafu una pizi na baadae una dinya na ndomu...hehehe
 
Soma takwimu za wamarekani za magonjwa za zinaa mashuleni, waanfunzi kibao wanakutwa na herpes na fungus zisizotibika kwa ajili ya oral sex, bacteria navimelea vingine vya mdomoni na genitals wametengeneza kizazi kipya ambacho hakikuwapo, wanasema ugonjwa huo bora ukimwi!! Hautubiki herpes si herpes, fungus si fungus, ili mradi tu wanafunzi kibao USA wanao.

Anyway bado ni new study, kwa hiyo bado wanashangaa, hawajaweza hata kuwaalert watoto wao, inasikitisha sana ila mimi nimeshawaonya wote walio wangu, TAFADHALI ACHA KWANZA mpaka ugundulike huu ugonjwa mpya na dawa yake.

herpes inambukizwa kwa majimai ya mwili kama ukimwi kwahiyo inakaa kokote ukiwa na wife nenda chumvini bwana usimnyime raha
 
Jamani hii sio sector ya utaalamu wangu, lakini labda niulize jee ni kweli majority yetu tunajua jinsi ya kwenda chumvini? Maana nasikia sijui kuna hili na lile, jee unaingiaje chumvini hilo ndio swali.

Kama una shaka au unadhani uko sawa naomba unitumie private massage siwezi elezea kwa urefu kwenye public forum.
 
Utaalamu wa kwenda chumvini hutofautiana kati ya mtumiaji na mtumiaji kama ilivyo kitendo chenyewe cha sex. Some do it right and some do it wrong. Response ya partner wako ndo itaonyesha kiasi gani umemkuna, lakini concentration kwenye critoris ni critical katika zoezi zima la chumvini kwa sababu hii ndo most sensitive part katika mwili wa mwanamke.

Kama mtu anataka kupractice chumvini kwa mke wake wakati maiaka yao yote ya ndoa hajawahi kujaribu inabidi awe mwangalifu kwa sababu baadhi ya wake zetu watataka uwaeleze vizuri umejifunzia wapi staili hiyo!! Ndo maana baadhi ya wanaume wanansikia kuhusu mambo fulani au wanaona kwenye muvi za blue lakini hawako radhi kupractise na wake zao. Kwa kuwa wanavutiwa wanaishia kutafuta mtu wa pembeni wa kujaribia vimbwanga hivyo!!
 
Kizimkazimkuu

sawa mkuu,but what do u mean exactly?yes vagina got a normal flora.mouth cavity too has one.

But the 2 floras are different. The vagina is acidic in nature and the flora found there should have a property to resist the low pH of the vagina. Likewise the flora of the mouth should also have the mechanism of suiting itself to the mouth's alkaline environment.

That is to say the 2 floras can not mix up and the fact is the flora which is harmless and protective in a particular area can be harmful (cause disease) when transferred to a new environment.

Kwahiyo uwezekano wa kupata magonjwa kwa kwenda chumvini upo hata kama mwezi hana STIs.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom