Somo la Sudan: Nguvu ya Umma hailetwi na Chama cha siasa kwa mfano CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,761
141,626
Chadema mara zote huwa inajinasibu kwa kaulimbiu ya Nguvu ya Umma ( Peoples power) na wengi wanaamini nguvu ya umma huratibiwa na wanasiasa.

Pale Sudan ambako nguvu ya umma imemtupa nje ya madaraka Rais Bashir waratibu wa mchakato ni wananchi wazalendo wasiojua hata maana ya ruzuku.

Hili ni somo zuri kwa makamanda wa Ufipa kwamba Peoples power huibuliwa na wazalendo wanaomaanisha siyo wale ambao wakisikia Muroto anakuja wanatoka mbio kujificha majumbani mwao.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kumbe umeelewa ila unajitia uchizi. Muroto hata mtoto wa form 2C, anaweza kumkimbiza. Ila RPC Muroto inatakiwa waje watu elfu 5!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mmoja tu anamuua kwa urahisi Sana bila hata jasho. Sio Kama wale kombolela waliotumwa kumuua lisu. Mnafanya usaili kwa ujinga kabisa unafiri serikali itapata competency person wa kuamua mambo? Itakuwa Kama hivi CAG anakuwa na uwezo kuliko wanaccm wote ulimwenguni, pumbafu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Professional association of Sudan workers pamoja na vyama vya siasa vilivyokua vimebanwa kweli ndiyo wanaongoza harakati za mabadiliko Sudan. Huko tz vyama vya upinzani mmevibana na sheria kandamizi, professional bodies kubwa zinaongozwa na makada wa chama tawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mara zote huwa inajinasibu kwa kaulimbiu ya Nguvu ya Umma ( Peoples power) na wengi wanaamini nguvu ya umma huratibiwa na wanasiasa.

Pale Sudan ambako nguvu ya umma imemtupa nje ya madaraka Rais Bashir waratibu wa mchakato ni wananchi wazalendo wasiojua hata maana ya ruzuku.

Hili ni somo zuri kwa makamanda wa Ufipa kwamba Peoples power huibuliwa na wazalendo wanaomaanisha siyo wale ambao wakisikia Muroto anakuja wanatoka mbio kujificha majumbani mwao.

Maendeleo hayana vyama!
Historia ya Sudan inaandika:

JAAFAR NIMERI, Aliangushwa na nguvu ya umma, baada ya bei za vyakula kupanda na kuwafunga wanasiasa . Leo pia tunaona maisha ya kiwa magumu wasudani wanaingia barabarani.

Kwetu Tanzania hili haliwezi kuwa somo, tungeweza kufanya hivyo enzi ya nyerere, tulipata shida ya vyakula na dawa, huko kusini watu walikula magamba ya miti, foleni zilikuwa jambo la kawaida, lakini hakuna aliyesubutu kunongona ama kulalamika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom