NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Ujinga mtaji, na na wajinga hua wanaliwa siku zote.. Kwa watumiaji Facebook napenda kutoa somo baadhi ya vitu wasivovifahamu kuhusu Facebok ambavyo inatakiwa kuvijua...
1. Kila picha unayopost Facebook si mali yako tena ni mali ya Facebook na wanaweza kuifaya wanavotaka,
Asilimia 99.99% ya watu hua hawasomi "terms and conditions" ila kwa mtu aliyesoma terms na conditions hizi atajua wameandika vizuri kabisa kua kila picha utakayopost pale ni mali yao..
Sasa effects zake ni zipi??
- Kwa wale wadada wanaopenda kuweka vipicha skirt fupi siku hizi kuna ka-mtindo kamezuka kwenye website za ngono kutumia picha za wadada kutoka facebook kama matangazo kwenye sites zao, na mdada hana uwezo wa kuwafunga sababu ile picha sio mali yake tena, ni hadi aombe facebook wenyewe wampe onyo mwenye site afute which is a process si rahisi Facebook wana watu bilioni hadi usumbuke kidogo hadi hilo liwe solved...
2. Zile posts unaona ati click "like" kumsaidia mtu flani hua ni fix tu, like hako yaina msaada wowote kwa yule ambaye picha yake wameiweka pale, ile hua ni njia tu ya kukusanya likes nyingi kutangaza page, biashara nzuri sana ipo watu wanafanya wanakusanya likes nyingi afu wanauza page kwa watu wanaohitaji kutangaza vitu vyao online.
3. Kila picha unayopost na message ambazo ziko kwenye account yako ukifuta unakua umevifuta kwako tu, ila kwenye server za facebook zile data zote wanabaki nazo, hakifutwi kitu hata kimoja, kwa hiyo usikae ukajidanganya hiyo "delete" button unayobonyeza ukahisi umemaliza kila kitu. Kua makini kwa kila unachofanya kwenye mtandao, kitu unaweza ukakoksea leo kiikaja kukucost miaka ya mbele sana....
1. Kila picha unayopost Facebook si mali yako tena ni mali ya Facebook na wanaweza kuifaya wanavotaka,
Asilimia 99.99% ya watu hua hawasomi "terms and conditions" ila kwa mtu aliyesoma terms na conditions hizi atajua wameandika vizuri kabisa kua kila picha utakayopost pale ni mali yao..
Sasa effects zake ni zipi??
- Kwa wale wadada wanaopenda kuweka vipicha skirt fupi siku hizi kuna ka-mtindo kamezuka kwenye website za ngono kutumia picha za wadada kutoka facebook kama matangazo kwenye sites zao, na mdada hana uwezo wa kuwafunga sababu ile picha sio mali yake tena, ni hadi aombe facebook wenyewe wampe onyo mwenye site afute which is a process si rahisi Facebook wana watu bilioni hadi usumbuke kidogo hadi hilo liwe solved...
2. Zile posts unaona ati click "like" kumsaidia mtu flani hua ni fix tu, like hako yaina msaada wowote kwa yule ambaye picha yake wameiweka pale, ile hua ni njia tu ya kukusanya likes nyingi kutangaza page, biashara nzuri sana ipo watu wanafanya wanakusanya likes nyingi afu wanauza page kwa watu wanaohitaji kutangaza vitu vyao online.
3. Kila picha unayopost na message ambazo ziko kwenye account yako ukifuta unakua umevifuta kwako tu, ila kwenye server za facebook zile data zote wanabaki nazo, hakifutwi kitu hata kimoja, kwa hiyo usikae ukajidanganya hiyo "delete" button unayobonyeza ukahisi umemaliza kila kitu. Kua makini kwa kila unachofanya kwenye mtandao, kitu unaweza ukakoksea leo kiikaja kukucost miaka ya mbele sana....