menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
jamani mimi nina fanya kaz na NGO'S Moja ya kidini so huwa nakvana na watu wengi na kuwasaidia kuna hili nimekutana nalo juz kat nimeona nililete hapa kama onyo..' kalikuja kabinti kamoja karembo kweli lakini kenye sura ya huzuni mara kakaanza kunisimulia lol kidogo ni lie.Kwamba kameolewa miaka 5 iliyopita lakini kabla kalikuwa na boyfriend wake na kwa sababu kule kwa wenzetu bikra ni heshima ikabidi boyfriend wake awe anapita mlango wa nyuma au kwa lugha nyingine tigo baada ya miaka 3 hivi akaja olewa sasa the thing iz kwa miaka mitatu hivi huwa mumewe akiondoka inabidi aende kwa yule boyfriend wake wazamani ili akaliwe tigo.!! Amejaribu kuacha lakini wapi. Na anaogopa mumewe asije jua. ..Now days najua kuna wadada wengi mnaobembelezwa tena mnaahidiwa mazawadi kibao but msikubal huu ni utumwa mbaya kuliko wakipindi cha ukoloni.