Sometime JK ni kama anaiga swaga za viongozi wa CDM vile

Katafute picha za kampeni ya Marekani zilizomalizika juzi tu hapo uone kama kuna mgombea alovaa tinted/sunglasses akapigwa picha akiwa mbele za watu

Licha ya hayo, hata ingekuwa ni saikolojia ya mwaka 47 kweli, hao watu mnaowapa elimu ya uraia unadhani wana saikolojia ya mwaka gani?
Kila kitu Marekani! Kwa huwezi ukasma tuangalie za Kenya au Uganda? Marekani hawfanyi kampeni kwenye vumbi kama huku, mara helkopta inatimua mavumbu ndio maana inabidi kuvaa miwani. Umewahi kuona Marekani wanafanya kampeni kwenye uwanja kama wa jangwani au kidongo chekundu.
 
Kila kitu Marekani! Kwa huwezi ukasma tuangalie za Kenya au Uganda? Marekani hawfanyi kampeni kwenye vumbi kama huku, mara helkopta inatimua mavumbu ndio maana inabidi kuvaa miwani. Umewahi kuona Marekani wanafanya kampeni kwenye uwanja kama wa jangwani au kidongo chekundu.

Marekani is the gold standard :becky:
 
Kila kitu Marekani! Kwa huwezi ukasma tuangalie za Kenya au Uganda? Marekani hawfanyi kampeni kwenye vumbi kama huku, mara helkopta inatimua mavumbu ndio maana inabidi kuvaa miwani. Umewahi kuona Marekani wanafanya kampeni kwenye uwanja kama wa jangwani au kidongo chekundu.

Naweza kusema ila sijataka kusema hivyo nimetaka kusema Marekani.

Ningetaka ningetoa mfano wa Japani au Korea Kusini ila pia sikutaka

Hoja ya msingi ni kuwa tafiti za kisayansi zinasema ukivaa miwani ya jua kuficha macho yako, watu wanakuwa hawakuamini vizuri.

Hazizungumzii kuhusu watu wanaolazimika kufanya hivyo kutokana na mazingira.

Sasa ni kuchukua hizo tafiti na kuzifanyia kazi au kuzipuuza.
 
Back
Top Bottom