BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,041
- 10,458
Na sio roho mbaya hapana.! Bali kuna hali na hisia fulani unajisikia mwilini pale unapoona mtu uliyekuwa ukihustle naye anazidi kutoboa wakati wewe umekwama hapohapo. Hiyo hali inaumiza wengi sana sema kwa sisi wengine tunachukulia kama changamoto ya kujitathimini ila kwa wengine ndo unakuwa mwanzo wa kurogana.