Someni report ya EWURA kabla ya kulaumu

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,239
5,434
Watanzania..naomba tujenge utamaduni wa kusoma reports mablimbali kabla ya kulaumu. Hata waandishi wa habari wafanyehivyo kabla ya kuandika uwoungo . Nimesoma report ya EWURA ya kuongeza bei za umeme. Ukweli ni kuwa matumizi ya kawaida yaani D1 hakuna nyongeza kwa wanaotumia chini au zaidi ya 75 Units. Sasa kama hatutaki kuchangia hata kidogo ili umeme uzalishwe mwingi nakuwafikia watanania wote, je serikali itafanya nini. Kama unataka ushahidi jisomee link hapo. Asanteni.

http://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2016/12/TANESCO-Tariff-AGIZO-2016-December.pdf
 
Ni kawaida yao kuimba nyimbo za kupotosha na wengine kuzipokea hivyo hivyo bila kupata undani wake! Ni kawaida yao lakini! Hii si ajabu sana!
 
..ni wapi huko bei ya umeme imepandishwa halafu wananchi wakashangilia?

..mliwaahidi wananchi maisha kama ya Walibya wakati wa Gaddafi.

..tena mkahimiza wananchi tufyatue bila mpango.

..sasa you have to deliver on your campaign promises.
 
...hebu tuwekee na ahadi ya waziri Muhongo kuwa umeme hautopanda bei tena kwa sababu tuna gas asilia.

Huyu anayetumia <75unit ana uhakika wa kuchaji simu zake 3 na anahatarisha mazingira kwa kuendelea kukata miti kusaka nishati ya kupikia.
 
Pumbavu ni Pumbavu tu!!! Chini au zaidi ya 75 units unamanisha nini? Unasema watu wawe na tabia ya kusoma wakati wewe unasoma kama kasuku! Nani kakwambia wananchi wanaathirika na units za majumbani tu? Kiwanda kikipandishiwa umeme nacho kinapandisha bei ya bidhaa kinayozalisha kutokana na gharama za uzalishaji kuongezeka! Bora ambaye hakusoma kuliko wewe uliesoma halafu hata hukuelewa!!!
 
...hebu tuwekee na ahadi ya waziri Muhongo kuwa umeme hautopanda bei tena kwa sababu tuna gas asilia.

Huyu anayetumia <75unit ana uhakika wa kuchaji simu zake 3 na anahatarisha mazingira kwa kuendelea kukata miti kusaka nishati ya kupikia.

TUWENI WAKWELI HIVI KUNAUBAYA GANI WAKUWAONGEZEA GHARAMA YA UMEME WATU KAMA MIGODI YA BUZWAGI AMBAO TAA ZINAWAKA NAKUTUMIA UMEME MKUBWA ILI ANGALU TUJIWEKE SAWA KUKABLIANA NA UKAME.FAIDA YA BUZWAKI KWENYE DHAHABU HAIPO KWANI SEHEMU KUBWA MIKATABAY 3% TULIOINGIA NDO ILIISHATOKA.HIVYO ANGALAU KUWACHARGE KATIKA SERVICE KAMA HIZI ZA UMEME IATKUWA BORA. REPORT INAONYESHA HAKUNA NYONGEZA KATIKA MATUMIZI YA NYUMBANI.SASA UBAYA NI UPI?AU TUKAE HARAFU BAADAYE TUANZE KUINGIA MIKATABA YA IPPS BAADA YA UKAME KUTUPIGA.KUPINGA KILAKITU HATA KAMA KINALOGIC NI UPPUZI. WANASIASA NAO WAWE WANATUMIA UBONGO KUFIKILIA NA SIYO KULIPUKA
 
Hii imekuwa tabia kwa TANESCO & EWURA kila mwaka lazima gharama za umeme zipande. Wengi wetu tunalalamika kwa sababu kwenye kampeni tuliahidiwa vingine.
 
TUWENI WAKWELI HIVI KUNAUBAYA GANI WAKUWAONGEZEA GHARAMA YA UMEME WATU KAMA MIGODI YA BUZWAGI AMBAO TAA ZINAWAKA NAKUTUMIA UMEME MKUBWA ILI ANGALU TUJIWEKE SAWA KUKABLIANA NA UKAME.FAIDA YA BUZWAKI KWENYE DHAHABU HAIPO KWANI SEHEMU KUBWA MIKATABAY 3% TULIOINGIA NDO ILIISHATOKA.HIVYO ANGALAU KUWACHARGE KATIKA SERVICE KAMA HIZI ZA UMEME IATKUWA BORA. REPORT INAONYESHA HAKUNA NYONGEZA KATIKA MATUMIZI YA NYUMBANI.SASA UBAYA NI UPI?AU TUKAE HARAFU BAADAYE TUANZE KUINGIA MIKATABA YA IPPS BAADA YA UKAME KUTUPIGA.KUPINGA KILAKITU HATA KAMA KINALOGIC NI UPPUZI. WANASIASA NAO WAWE WANATUMIA UBONGO KUFIKILIA NA SIYO KULIPUKA

..je serikali imesema kwamba inapandisha bei ya umeme kwenye migodi ili kufidia mrahaba kiduchu tunaolipwa ?

..je tuna uhakika gani kwamba kwa kupandisha gharama za umeme/uzalishaji wenye migodi kama Buzwagi na kwingineko hawatakuja na kisingizio cha kupata hasara na hivyo kushindwa kutulipa mrahaba , kuomba misamaha ya kodi, na hata kutokuchangia huduma za jamii kwa maeneo yaliyo karibu na migodi?
 
Watanzania..naomba tujenge utamaduni wa kusoma reports mablimbali kabla ya kulaumu. Hata waandishi wa habari wafanyehivyo kabla ya kuandika uwoungo . Nimesoma report ya EWURA ya kuongeza bei za umeme. Ukweli ni kuwa matumizi ya kawaida yaani D1 hakuna nyongeza kwa wanaotumia chini au zaidi ya 75 Units. Sasa kama hatutaki kuchangia hata kidogo ili umeme uzalishwe mwingi nakuwafikia watanania wote, je serikali itafanya nini. Kama unataka ushahidi jisomee link hapo. Asanteni.

http://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2016/12/TANESCO-Tariff-AGIZO-2016-December.pdf
Kwa mpango huu siku ccm wakikubali usenge Na ushoga Na nyinyi ccm vijana mtashangilia.
 
Watumiaji wa units chini ya units 75 majumbani ni wale wanaotumia umeme kwa ajili ya taa tu usiku kuanzia saa 1 hadi saa 4 wanapolala.

Ukitumia TV au pasi unavuka hiyo 75 units. Balaa zaidi ukiwa na jiko la umeme, jokofu, water heaters, mashine ya kufua na kukausha, airconditioners, microwave, blenders, electric blanket - - hapo jiandae kulipa kama sh milion moja kwa mwezi.

Kinachoudhi zaidi ni kuwa wafanyakazi wote wa EWURA na TANESCO wao wanatumia umeme bure wenye gharama za mabilioni ya fedha.
 
Watanzania..naomba tujenge utamaduni wa kusoma reports mablimbali kabla ya kulaumu. Hata waandishi wa habari wafanyehivyo kabla ya kuandika uwoungo . Nimesoma report ya EWURA ya kuongeza bei za umeme. Ukweli ni kuwa matumizi ya kawaida yaani D1 hakuna nyongeza kwa wanaotumia chini au zaidi ya 75 Units. Sasa kama hatutaki kuchangia hata kidogo ili umeme uzalishwe mwingi nakuwafikia watanania wote, je serikali itafanya nini. Kama unataka ushahidi jisomee link hapo. Asanteni.

http://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2016/12/TANESCO-Tariff-AGIZO-2016-December.pdf
Yaani kutumia umeme mwingi ni dhambi? Nilidhani anayetumia umeme mwingi ndiye apunguziwe maana anachangia sana tofauti na yule anayetumia umeme kidogo ambaye mayumizi yake ni limited sana.

Pia Tanesco nao wapunguze umwinyi wa kujipatia UNITS za bure nyiiiingi majumbani mwao hasa kwa watendaji wenye vyeo.

Mtu mmoja UNIT 700 kwa mwezi nani anabeba huo mzigo wa kumlipia?


Aaargh!!! Wizi mtupu.
 
Pumbavu ni Pumbavu tu!!! Chini au zaidi ya 75 units unamanisha nini? Unasema watu wawe na tabia ya kusoma wakati wewe unasoma kama kasuku! Nani kakwambia wananchi wanaathirika na units za majumbani tu? Kiwanda kikipandishiwa umeme nacho kinapandisha bei ya bidhaa kinayozalisha kutokana na gharama za uzalishaji kuongezeka! Bora ambaye hakusoma kuliko wewe uliesoma halafu hata hukuelewa!!!
teh...teh.."chini au zaidi" huyu fala katokea sayari gani?
 
Sasa mtoa mada mpinge Basi waziri wako aliyepinga upandishaji wa bei, si mmezoea kusifia kila kitu na kufuata upepo andika bandiko lingine Basi la kumsifia Muhongo
 
Watanzania..naomba tujenge utamaduni wa kusoma reports mablimbali kabla ya kulaumu. Hata waandishi wa habari wafanyehivyo kabla ya kuandika uwoungo . Nimesoma report ya EWURA ya kuongeza bei za umeme. Ukweli ni kuwa matumizi ya kawaida yaani D1 hakuna nyongeza kwa wanaotumia chini au zaidi ya 75 Units. Sasa kama hatutaki kuchangia hata kidogo ili umeme uzalishwe mwingi nakuwafikia watanania wote, je serikali itafanya nini. Kama unataka ushahidi jisomee link hapo. Asanteni.

http://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2016/12/TANESCO-Tariff-AGIZO-2016-December.pdf

Sasa huoni kwamba hao D1 watalipa kupitia hao D wengine watakaokuwa wamepandishiwa mathalani kupitia bidhaa za viwandani?
 
..ni wapi huko bei ya umeme imepandishwa halafu wananchi wakashangilia?

..mliwaahidi wananchi maisha kama ya Walibya wakati wa Gaddafi.

..tena mkahimiza wananchi tufyatue bila mpango.

..sasa you have to deliver on your campaign promises.
Ukweli unauma.
 
Watanzania..naomba tujenge utamaduni wa kusoma reports mablimbali kabla ya kulaumu. Hata waandishi wa habari wafanyehivyo kabla ya kuandika uwoungo . Nimesoma report ya EWURA ya kuongeza bei za umeme. Ukweli ni kuwa matumizi ya kawaida yaani D1 hakuna nyongeza kwa wanaotumia chini au zaidi ya 75 Units. Sasa kama hatutaki kuchangia hata kidogo ili umeme uzalishwe mwingi nakuwafikia watanania wote, je serikali itafanya nini. Kama unataka ushahidi jisomee link hapo. Asanteni.

http://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2016/12/TANESCO-Tariff-AGIZO-2016-December.pdf
Acha Ulofa. Tanesco. Walitangaza kwamba Gesi ya Mtwara ikifika Dar es Salaam bei ya Umeme itapungua sana! Tulitegemea Tanesco wapunguze bei ya Umeme siyo kuongeza!!
 
Asante Mhongo kwa kuskia kilio cha wanyonge
 

Attachments

  • IMG-20161231-WA0073.jpg
    IMG-20161231-WA0073.jpg
    73.1 KB · Views: 28
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom