mbona unabahati jamani?kuna mwenzako wake anajamba usiku mzima tena mume wa ndoa sio mpenzi
Afu anasimulia watu...Hizi ndoa hizi. Haku 'shake well before use'?
Mwenzie ndo ana shake hivyo ...na wengine weshamwambia achape lapa; kuliko kuoa afu kusimulia watu.
huyo mpenzi wako ana kitambi....?
aaah!mbona mnatusingizia sisi wenye vitambi jamani!!!kwa hiyo yule wa chama tawala kule songea inakuwaje!!huyo mpenzi wako ana kitambi....?
hasason na wengine wenye shida hii, someni hapa: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/25020-namna-ya-kumaliza-tatizo-la-kukoroma.html