Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,396
Utasemaje mkapa hoyee wakati unajua fika kabisa yuko chini ya tani saba za mchanga
Anafurahia kuondoka kwake, hakuna tena wa kumbana juu ya TUME HURU YA UCHAGUZI.
Utasemaje mkapa hoyee wakati unajua fika kabisa yuko chini ya tani saba za mchanga
Nakuelewa sana sema pia Rais Magufuli ni mwanasiasa. Mwanasiasa hucheza na hadhira, akienda kwa wazaramo na huko kibiti/sijui Rufiji atazungumza kwa viwango vyao. Akienda kwa wanaojielewa atazungumza kwa level zao pia.Anatakiwa a-act kama rais wa nchi siyo kama taahira. Rais hajui hata analoongea kwenye public.....anaaibisha watanzania. Wewe unaona ni sawa anavyoongea? Kumbuka urais una heshima yake siyo kuropoka ujinga ujinga tu. Kama wewe ni mmoja wa washauri wake mweleze kuwa anatakiwa awe na heshima...kuwa rais siyo kuongea ongea ovyo.
Huyo mnayemwita raisi wenu kwangu mm ni kichaa tu kama alivyo wahi kusema mwenyewe😁😆😉Inaonekana Magufuli ana uwezo mdogo wa kujenga hoja na badala amekuwa akiropoka maneno yasiyo na sense. Mfano ni juzi alivyotoka katika mazishi ya Mkapa akafika maeneo ya Somanga.
Akiwa kwenye mkutano alisalimia kwa kutumia slogan "Mkapa Hoyee hoyee" Hivi hiyo ina maana gani kusema hivyo wakati mtu anayemsema ametoka kwenye msiba wake?
Kama haitoshi, akasema yule mzee atampa mama yake kwa sababu baba yake Magufuli alikuwa ameshatangulia mbele ya haki. Huyu mzee alimpa zawadi ya Jogoo. Magufuli akaendelea kusema "Kuku Hoyee!
Huyo mama si Mama yangu lakini katika utamaduni wa kiafrika kuongea maneno kama hayo si sahihi....Ni ujinga uliopitiliza.
Ndio rais wetu huyo kuna mengi sana amefanya hapo na yote hayafai kabisa, kwamfano kuwaambia watu wakajisaidie nyumbani kwa DC na mkurugenzi wa wilaya, ni kituko na kukosa ustaarabu kabisa.Inaonekana Magufuli ana uwezo mdogo wa kujenga hoja na badala amekuwa akiropoka maneno yasiyo na sense. Mfano ni juzi alivyotoka katika mazishi ya Mkapa akafika maeneo ya Somanga.
Akiwa kwenye mkutano alisalimia kwa kutumia slogan "Mkapa Hoyee hoyee" Hivi hiyo ina maana gani kusema hivyo wakati mtu anayemsema ametoka kwenye msiba wake?
Kama haitoshi, akasema yule mzee atampa mama yake kwa sababu baba yake Magufuli alikuwa ameshatangulia mbele ya haki. Huyu mzee alimpa zawadi ya Jogoo. Magufuli akaendelea kusema "Kuku Hoyee!
Huyo mama si Mama yangu lakini katika utamaduni wa kiafrika kuongea maneno kama hayo si sahihi....Ni ujinga uliopitiliza.
Yeye mwenyewe hajipendi acha womwone babu yaoHivi huyu Rais kawa Babu yenu sio?
Sijui nitoe nini anipe JesikaMwingine akitoa jogoo atapewa mke!
Hoyeeeeee.Kuku Hoyee!
Kuna namna nyingi za kuzungumza na watu ukiwa kiongozi. Hii hutegemea aina ya watu, mazingira, rika, tabaka, mahusiano.Inaonekana Magufuli ana uwezo mdogo wa kujenga hoja na badala amekuwa akiropoka maneno yasiyo na sense. Mfano ni juzi alivyotoka katika mazishi ya Mkapa akafika maeneo ya Somanga.
Akiwa kwenye mkutano alisalimia kwa kutumia slogan "Mkapa Hoyee hoyee" Hivi hiyo ina maana gani kusema hivyo wakati mtu anayemsema ametoka kwenye msiba wake?
Kama haitoshi, akasema yule mzee atampa mama yake kwa sababu baba yake Magufuli alikuwa ameshatangulia mbele ya haki. Huyu mzee alimpa zawadi ya Jogoo. Magufuli akaendelea kusema "Kuku Hoyee!
Huyo mama si Mama yangu lakini katika utamaduni wa kiafrika kuongea maneno kama hayo si sahihi....Ni ujinga uliopitiliza.
Siyo attention seeker Bali we ndo unachuki za kipumbavu na ndio maana humpendi ukimuona anafurahiwa na watz anapowatatulia matatizo yako! We ungetamani aharibu ili watu wamchukie badala yake na kwa bahati mbaya yako anazidi pendwa tu!Ndiyo kawaida ya attention seekers. Ila Kuna watu hawana mvuto aisee. Nyerere na Mandela hakuwahi kugawa hata njiwa lkn watu waliwapenda hatari.
Kumbe imejengwa na kuezekwa kwa makuti...aaahYou mean Kilimanjaro hotel au kempski? Pita pale uiangalie vizuri mkuu au igoogle
Hapendwi hata na shetani huyu mshamba. Kama angekuwa anapendwa asingekuwa na hofu kiasi cha kuogopa ushindani wa uchaguzi hata ndani ya chama. Akaamua kuwatimua akina Membe ili agombee peke yake. Coward sonofabitch!anazidi pendwa tu!
Sasa ndugu yangu Nani anataka kupendwa na shetani!? Labda we tu! Sisi watz tunampenda na tutawathibitishia October 2020!Hapendwi hata na shetani huyu mshamba. Kama angekuwa anapendwa asingekuwa na hofu kiasi cha kuogopa ushindani wa uchaguzi hata ndani ya chama. Akaamua kuwatimua akina Membe ili agombee peke yake. Coward sonofabitch!