imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,678
- 71,030
Raisi wa jamhuri ya watu wa Somalilland ambae pia ni Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Nchi hiyo yenye Amani na Utulivu.
Rais Musse Biihi Abdi
Ameapa kulisaidia taifa la Kenya iwapo litavamiwa na Majeshi ya nchi ya Somalia alisema "tutawasaidia Ndugu zetu Wakenya kwa mbinu na tutalituma jeshi letu kupambana bega kwa bega na Majeshi ya Kenya".
Raisi Mussa Biihi Abdi alisema Taifa la Somalia huwa halielewi lugha nyingine mpaka nguvu itumike ndio huwa wanaelewa .
Pia amemuondoa hofu Raisi Uhuru Kenyatta kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautayumbishwa.
Rais Musse Biihi Abdi
Ameapa kulisaidia taifa la Kenya iwapo litavamiwa na Majeshi ya nchi ya Somalia alisema "tutawasaidia Ndugu zetu Wakenya kwa mbinu na tutalituma jeshi letu kupambana bega kwa bega na Majeshi ya Kenya".
Raisi Mussa Biihi Abdi alisema Taifa la Somalia huwa halielewi lugha nyingine mpaka nguvu itumike ndio huwa wanaelewa .
Pia amemuondoa hofu Raisi Uhuru Kenyatta kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautayumbishwa.