Somaliland imeapa kuisaidia Kenya iwapo Vita Vitazuka baina ya Somalia na Kenya

Kweni Raisi wa South Sudan akiamua kuisaidia Misri iwapo atavamiwa na Sudan mbona kichwa kinakuwa kigumu kuelewa
Maana ya huyu ni kwamba hamna taifa linalotambulika kama Somaliland ndio maana AU na UN wanaifahamu Somalia na siyo Somaliland.

Same kwako kama unaitambua Somaliland basi itambue Western Sahara, Zanzibar, Biafra, Luanda kama mataifa pia.
 
Aaaah! Wapi bana, hawa jamaa ni wabishi kupindukia, hadi kwenye vita utaskia wakisema eti wanabana matumizi. Hadi wataibuka na kauli matata za kupamba misimamo yao ya ajabu ajabu, utaskia, ukiishiwa na risasi pita na shingo.
Huijui Tanzania.
Na nitakupa mfano, hakuna aliyejua Magufuli, Mkapa, Mwinyi angekuwa mgombea Urais kupitia Ccm mpaka dakika ya mwisho ya mchuano, ukifikiri vizuri utaona the big picture behind. Sisi huwa tunapigana vita ambayo hata baada ya miaka 50 tunaweza ku-justify

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkikuyu- Akili timamu Geza Ulole joto la jiwe
Je WaBongo wakiongozwa na uncle Magufuli watatuunga mkono tukivamiwa na hawa Wasomali ?? :D:D
Sasa hivi ni wakati wa kujenga nchi yetu, tulipigana sana wakati wa ukombozi wa Afrika, Kenya mlikua mnajenga uchumi wenu, tukavamiwa na IDD Amin, hatukuwasikia hata kumlaani IDD Amin.

Waswahili kusema," Kwendako hisani, hurudi hisani", hamkutuonyesha hisani, vipi Leo tuwarudishie hisani?. Kamwe hatutojihusisha na vita yoyote ya Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaah! Wapi bana, hawa jamaa ni wabishi kupindukia, hadi kwenye vita utaskia wakisema eti wanabana matumizi. Hadi wataibuka na kauli matata za kupamba misimamo yao ya ajabu ajabu, utaskia, ukiishiwa na risasi pita na shingo.
:D:D si ajabu magufuli kutuvamia pia, huyu jamaa ana chuki kweli kweli.
 
Somalia baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe wakagawanyika yaani North na South Somalia
Somaliland ni self declared state na waliamua kujitenga na Mogadishu
Kwa hiyo kwa miaka kadhaa waliamua kujijenga kwa serikali yao na kuwa na serikali kamili ikiwa na Rais wao ambae ndiyo huyu anaetaka kuisaidia Kenya


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Rais anayeishi Kenya ni wa Somalia au Somaliland?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi ni wakati wa kujenga nchi yetu, tulipigana sana wakati wa ukombozi wa Afrika, Kenya mlikua mnajenga uchumi wenu, tukavamiwa na IDD Amin, hatukuwasikia hata kumlaani IDD Amin.

Waswahili kusema," Kwendako hisani, hurudi hisani", hamkutuonyesha hisani, vipi Leo tuwarudishie hisani?. Kamwe hatutojihusisha na vita yoyote ya Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si Kenyatta alifunga border na akazuia Amin kuleta vifaa vya vita. Hiyo sio msaada tosha ??
 
Maana ya huyu ni kwamba hamna taifa linalotambulika kama Somaliland ndio maana AU na UN wanaifahamu Somalia na siyo Somaliland.Same kwako kama unaitambua Somaliland basi itambue Western Sahara, Zanzibar, Biafra, Luanda kama mataifa pia.
Saturday, February 23, 2019



* BOBU 160.00
up.png
159.00 * BAT 30 000.00
normal.png
30 000.00 * DFCU 900.00
up.png
900.00 * NIC 18.00
normal.png
18.00 * NVL 459.00
normal.png
459.00 * SBU 32.00
normal.png
32.00 * UCL 22.00
normal.png
22.00 * UMEM 300.00
normal.png
300.00
IMG-20190220-WA0119-1-746x642.jpg


AFRICA INDUSTRY MARITIME
Somaliland President, Ethiopia PM Hold Trade Talks In Addis
21st February 2019 Comment(0)
Talks on improving trade between Somaliland and Ethiopia took centre stage when the leaders of the two countries meet in Addis Ababa.
Somaliland President Muse Bihi arrived in Ethiopia on Wednesday afternoon on invitation from the Ethiopia Prime Minister Dr Abiy Ahmed.

A statement from Somaliland presidency media stated the two leaders talked about trade, ports utilization and other economic ties and security cooperation.
Other issues involved resumption of the talks between Somaliland and Somalia and other regional issues in the Horn of Africa, including the historic rapprochement between Ethiopia and Eritrea.
Ethiopia and Somaliland have entered into several trade agreements which the two leaders will be discussing.
The expansion of the Port of Berbera, a strategic installation between Somaliland and Ethiopia which is being rebuilt by a Dubai company DP World was part the talks as well as the planned building of the Berbera corridor linking the two countries.
According to deal announced late last year, Ethiopia will hold a 19 per cent shareholder in the Port of Berbera, with DP World controlling 51 per cent stake in the project and Somaliland holding the remaining 30 per cent.
The Ethiopian government is also investing in infrastructure to develop the Berbera Corridor as a trade gateway for the landlocked nation, which is one of the fastest growing countries in the world with forecast GDP growth of 8.2 per cent in 2018, according to the World Bank. The ground-breaking event is set for February 28 in Berbera.


Billion-dollar trade
Ethiopia gains up to US$1 billion in trade with Somaliland.
According to political analysts, Ethiopia is Somalilands biggest trading partner in the region.
“The geographical and socio-economic proximity makes Somaliland the second largest trade client, with Ethiopia gaining 900million dollars yearly in trade. These factors, combined with the potential benefit of landlocked Ethiopia from Somaliland’s coastal access and the twice-daily flights from Addis to Hargeisa, show just how intertwined the fates of Somaliland and Ethiopia are in the long run,” stated Mohammed Mohamoud Barawani, a political commentator from Somaliland.
Ethiopia has gone far in recognising Somaliland in practical terms but not formally. Ethiopian recognises Somalilander passports and currency. Somalilander representatives “are received with all the diplomatic niceties that any minister or head of state gets, with the exception of a flying flag.
Somaliland currently has good diplomatic relations with its neighbours Kenya, Djibouti and Ethiopia and some key African and European countries, including its former colonial power, Britain.
Somaliland, a former British Protectorate united with the former Italian Somalia in July 1960 to form the Somali Republic, unilaterally restored its sovereignty after the 1991 collapse of Siyad Barre’s dictatorial regime.
By Odindo Ayieko
Related posts:


World export development forum to be held in Zambia
Ethiopian to Resume Flights to Mogadishu After 41 Years
Promote Agro ecology farming to protect our environment, agriculturalists urge govt












SHILLING TRADES FLAT AGAINST GREENBACK IN LACKLUSTER TRADING
22nd February 2019

CONNECT


eabwbottomgray70200x200.png


Plot 722 Namuli Road, Bukoto
Kampala, Uganda.
Phone: +256 414 531345
+256 752 366881
Email: info@busiweek.com
ivudria@busiweek.com
IN CASE YOU MISSED IT!
MASTERCARD USES FACEBOOK MESSENGER TO HELP SMES GO DIGITAL

16th April 2018

HUAWEI SEEDS FOR THE FUTURE STUDENTS LEARN CHINESE
21st May 2016
SUBSCRIBE

Email Address *
First Name
Last Name






Copyright © 2018 EABW Digital.
 
Sasa hivi ni wakati wa kujenga nchi yetu, tulipigana sana wakati wa ukombozi wa Afrika, Kenya mlikua mnajenga uchumi wenu, tukavamiwa na IDD Amin, hatukuwasikia hata kumlaani IDD Amin.

Waswahili kusema," Kwendako hisani, hurudi hisani", hamkutuonyesha hisani, vipi Leo tuwarudishie hisani?. Kamwe hatutojihusisha na vita yoyote ya Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna usaidizi mnaeza tupea,kusema ukweli,n btw we dont need you,kenya got so many allies that can help it incase need arise,pole bro
 
Kwa case ya Sudan naelewa kuna South Sudan na Sudan yenyewe (North) sasa kwa hii case ya Somalia ina maana kuna Somalia na Somaliland??

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ziko mbili Somali land wako poa,but Somalia ni wanyama wanafikiria tu vita na wao hutaka kuchukua kila kitu by force n believe me this an east african thing,coz this guys hutaka kuchukua east africa nzima n kuforce kila mtu akue muislamu ,https://jamii.app/JFUserGuide this somalis
 
Saturday, February 23, 2019



* BOBU 160.00
up.png
159.00 * BAT 30 000.00
normal.png
30 000.00 * DFCU 900.00
up.png
900.00 * NIC 18.00
normal.png
18.00 * NVL 459.00
normal.png
459.00 * SBU 32.00
normal.png
32.00 * UCL 22.00
normal.png
22.00 * UMEM 300.00
normal.png
300.00
IMG-20190220-WA0119-1-746x642.jpg


AFRICA INDUSTRY MARITIME
Somaliland President, Ethiopia PM Hold Trade Talks In Addis
21st February 2019 Comment(0)
Talks on improving trade between Somaliland and Ethiopia took centre stage when the leaders of the two countries meet in Addis Ababa.
Somaliland President Muse Bihi arrived in Ethiopia on Wednesday afternoon on invitation from the Ethiopia Prime Minister Dr Abiy Ahmed.

A statement from Somaliland presidency media stated the two leaders talked about trade, ports utilization and other economic ties and security cooperation.
Other issues involved resumption of the talks between Somaliland and Somalia and other regional issues in the Horn of Africa, including the historic rapprochement between Ethiopia and Eritrea.
Ethiopia and Somaliland have entered into several trade agreements which the two leaders will be discussing.
The expansion of the Port of Berbera, a strategic installation between Somaliland and Ethiopia which is being rebuilt by a Dubai company DP World was part the talks as well as the planned building of the Berbera corridor linking the two countries.
According to deal announced late last year, Ethiopia will hold a 19 per cent shareholder in the Port of Berbera, with DP World controlling 51 per cent stake in the project and Somaliland holding the remaining 30 per cent.
The Ethiopian government is also investing in infrastructure to develop the Berbera Corridor as a trade gateway for the landlocked nation, which is one of the fastest growing countries in the world with forecast GDP growth of 8.2 per cent in 2018, according to the World Bank. The ground-breaking event is set for February 28 in Berbera.


Billion-dollar trade
Ethiopia gains up to US$1 billion in trade with Somaliland.
According to political analysts, Ethiopia is Somalilands biggest trading partner in the region.
“The geographical and socio-economic proximity makes Somaliland the second largest trade client, with Ethiopia gaining 900million dollars yearly in trade. These factors, combined with the potential benefit of landlocked Ethiopia from Somaliland’s coastal access and the twice-daily flights from Addis to Hargeisa, show just how intertwined the fates of Somaliland and Ethiopia are in the long run,” stated Mohammed Mohamoud Barawani, a political commentator from Somaliland.
Ethiopia has gone far in recognising Somaliland in practical terms but not formally. Ethiopian recognises Somalilander passports and currency. Somalilander representatives “are received with all the diplomatic niceties that any minister or head of state gets, with the exception of a flying flag.
Somaliland currently has good diplomatic relations with its neighbours Kenya, Djibouti and Ethiopia and some key African and European countries, including its former colonial power, Britain.
Somaliland, a former British Protectorate united with the former Italian Somalia in July 1960 to form the Somali Republic, unilaterally restored its sovereignty after the 1991 collapse of Siyad Barre’s dictatorial regime.
By Odindo Ayieko
Related posts:


World export development forum to be held in Zambia
Ethiopian to Resume Flights to Mogadishu After 41 Years
Promote Agro ecology farming to protect our environment, agriculturalists urge govt












SHILLING TRADES FLAT AGAINST GREENBACK IN LACKLUSTER TRADING
22nd February 2019

CONNECT


eabwbottomgray70200x200.png


Plot 722 Namuli Road, Bukoto
Kampala, Uganda.
Phone: +256 414 531345
+256 752 366881
Email: info@busiweek.com
ivudria@busiweek.com
IN CASE YOU MISSED IT!
MASTERCARD USES FACEBOOK MESSENGER TO HELP SMES GO DIGITAL

16th April 2018

HUAWEI SEEDS FOR THE FUTURE STUDENTS LEARN CHINESE
21st May 2016
SUBSCRIBE

Email Address *
First Name
Last Name






Copyright © 2018 EABW Digital.
Uwepo wa Somaliland sijakataa lakini si nchi inayotambulika na Umoja wa Mataifa kama ilivyo Western Sahara, Zanzibar, Biafra, Luanda, Macau, Hong Kong, Gibraltar na Catalonia.
 
Back
Top Bottom