Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,888
- 30,233
SOMA VITABU HIVI UJUE HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA
Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?
Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia?
Unajua sababu ya Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kuwa mmoja wa wajumbe wa TAA Political Subcommitee mwaka wa 1950?
Unajua kwa nini Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Sheikh Suleiman Takadir mwaka wa 1954?
Unajua kwa nini hadi leo historia ya TANU bado haifahamiki vyema na kuwa sababu ya kutowaenzi mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika?
Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?
Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia?
Unajua sababu ya Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kuwa mmoja wa wajumbe wa TAA Political Subcommitee mwaka wa 1950?
Unajua kwa nini Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU alikuwa Sheikh Suleiman Takadir mwaka wa 1954?
Unajua kwa nini hadi leo historia ya TANU bado haifahamiki vyema na kuwa sababu ya kutowaenzi mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika?