Soma upate mawili matatu: Mhitimu mambo ninayopitia kipindi hiki katika harakati zangu

Chief
Ww ni Msomi,nakupa hongera kwa maamuzi uliyochukua,najua unapita katika kipindi kigumu,ila nakupa bishara njema...si muda utatoboa
Mwanzo ulikaa darasani na kucheza na wino pamoja na karatasi,
Sasa upo katika darasa la maisha,hapa unajengwa ukomavu na kujitambua

Ninahakika
Watt wako utakaowapata,utawajengea mazingira mazuri ya kutotegemea ajira
Wazazi wetu weeengi hawakusoma,wakati wanatusomesha sisi,kauli mbiu yao ni ajira ajira ajira....Walikuwa hawajui wanachokisema hususan kulingana na zama hizi tulizonazo
Au kwa ufupi,hawakusoma alama za nyakati na hawakuwa na macho yenye uwezo wa kutoboa ukuta

Big Up Chief
Pambana....Usijilaumu wala kulaumu mtu,Bali fahamu upo katika mafunzo ya ziada katika maisha

Barikiwa sana Chief
Shukran sana mkuu
 
ndugu sikupi pole bali nakupa pongezi maana ni heri wewe ambae unajishulisha na chochote. wako wtu kama wewe hawajathubutu kufanya aina ya kazi kama hio ufanyayo kwa sababu za aibu au maswali kama hayo eti mimi na digree yangu siwezi kulima ama kuchimba mchanga!
nakuhakikishia utafika mbali mkuu kwa kiasi usichodhania, Mungu awe mbele yako.
.
 
Pole sana kiongozi. Tulio wengi humu hizo nyakati tumepitia sana. Kwanza nikuondoe hofu, usijione mpweke kuna wakati Mungu anakupitisha katika mambo magumu ili upate cha kujifunza.

Mimi ishu yangu imetofautiana kidogo na wewe ila nimewahi pitia hizo nyakati ngumu pengine ni zaidi ya ulizopitia wewe.

Mimi nikuwa mwajiriwa serikalini...(Mwalimu wa sekondari) nilifanya kazi nikiwa na malengo niliojiwekea. Mungu alinifanikisha nikaanza kuishi katika ndoto zangu. Nilifanikiwa kufungua biashara kadhaa huku nikiendelee na kazi yangu. Hivyo ikafika wakati uchumi wangu ukaanza kuimarika.

Sasa kama unavyojua mazingira ya kazi ya uwalimu walio wengi wanaishi maisha ya kutegemea mwisho wa mwezi ndio wavimbe...sasa mnyamwezi navimba everyday jambo ambalo liliwafanya baadhi ya staff wenzangu kujiona wao ni wajinga maana mtu nilie wakuta kazini nawazidi maendeleo tena kwa kiasi kikubwa mno.
Kama unavyowajua walimwengu, choko choko zikaanza...nikaanza kutengenezewa zengwe za kila aina, ikafika hatua siifurahii tena kazi yangu.

Ikafika hatua kila mtu ni adui yangu nikiangalia sioni nilipowakosea. Nikaanza kutengwa...nikifika kazini stress zinakuwa nyingi mpaka headmaster akawa adui namba moja.

Mkuu kumbuka kipindi chote hicho nafanya kazi town hivyo mambo yangu yanasogea. Ikafika wakati tikanunua kagari kangu nikajiongeza nikawa napiga na ishu za u MC ndio mambo yakazidi kuwa bull bull upande wangu financially..jina likawa kuwa kuliko mwili wangu kichwa kikaongezeka upana.

Basi walipoona hawana pa kunishinda wakaanza kuuunda chokochoko ili nihamishwe nipelekwe chaka..huwezi amini jitihada zao zikafanikiwa.

Nikahamishwa nikapelekwa chaka hilo ambapo ningeahindwa kabisa kendesha mambo yangu ukizingatia shughuli zangu zote nilikuwa nazifanyia town.

Ikanibidi nifanye maamuzi magumu ya kuchagua kimoja ili niemdelee na maisha yangu. Nikajilipua nikachagua bisahara niachane na kazi ya kuchezea chaki.

Hapa ndipo mambo yalianza kubadilika. Mpaka leo sijawahi kujua kea nini niliporomoka kwa kasi kiasi kile. Miaka Miwili nilikuwa nimeshafilisika nimefunga biashara zangu zote...nikawa sipati tena deals za u MC, gari ilikuja kupata ajali ikaumia vibaya sana nikaiuza kwa bei ya hasara...kuanzia mwaka 2016 - 2018. Nimeishi kwa mateso makubwa sana...hiki ndio kipindi niliweza kutofautisha marafiki wa kweli na wanafki...idadi kubwa ya marafiki niliokuwa nao kipindi hicho nina kitu walikimbia.

Nimefanyakazi za kila aina. Nimeosha magari, nimeuza viatu vya mtumba, nimekuwa kibarua kwa fundi ujenzi, nimekuwa bodaboda...yn nimepiga kazi za kila aina ili kuhakikisha napata ugari wangu wa kila siku.

Ishu iliyokuja kunirudisha kwenye reli, nilikuja kujiingiza kwenye ishu ya udalali wa vyumba, nyumba na mashamba 2018 mwezi november nikapiga dili moja matata nikapata commission ya kama 15M...Mungu hamtupi mja wake

Ndio nikarudi katika ishu zangu za biashara...now namshukuru Mungu nipo pazuri kuliko hata nilivyokuwa mwanzo, lkn naishi kwa taadhari kubwa nikiamini kwamba kwenye maisha lolote linaweza kutokea hivyo nivyema kujiimarisha mapema pia sio kila mtu anafurahia maisha uliyonayo hata kama unamsaidia ila anatamani hapo ulipo ushuke uwe chini zaidi yake.

Wale wote walionicheka na kunidharau kipindi na henyeka now nikikutana nao wanajisikia aibu kubwa...wanaishia kuniita mpambanaji ila kwa namna yoyote sijui ni kitu gani kitanirudisha nikawe mwajiriwa tena sidhani.

Pole sana mkuu huu wakati ulio nao uchukulie kama darasa kwako.
 
Pole sana kiongozi. Tulio wengi humu hizo nyakati tumepitia sana. Kwanza nikuondoe hofu, usijione mpweke kuna wakati Mungu anakupitisha katika mambo magumu ili upate cha kujifunza.

Mimi ishu yangu imetofautiana kidogo na wewe ila nimewahi pitia hizo nyakati ngumu pengine ni zaidi ya ulizopitia wewe.

Mimi nikuwa mwajiriwa serikalini...(Mwalimu wa sekondari) nilifanya kazi nikiwa na malengo niliojiwekea. Mungu alinifanikisha nikaanza kuishi katika ndoto zangu. Nilifanikiwa kufungua biashara kadhaa huku nikiendelee na kazi yangu. Hivyo ikafika wakati uchumi wangu ukaanza kuimarika.

Sasa kama unavyojua mazingira ya kazi ya uwalimu walio wengi wanaishi maisha ya kutegemea mwisho wa mwezi ndio wavimbe...sasa mnyamwezi navimba everyday jambo ambalo liliwafanya baadhi ya staff wenzangu kujiona wao ni wajinga maana mtu nilie wakuta kazini nawazidi maendeleo tena kwa kiasi kikubwa mno.
Kama unavyowajua walimwengu, choko choko zikaanza...nikaanza kutengenezewa zengwe za kila aina, ikafika hatua siifurahii tena kazi yangu.

Ikafika hatua kila mtu ni adui yangu nikiangalia sioni nilipowakosea. Nikaanza kutengwa...nikifika kazini stress zinakuwa nyingi mpaka headmaster akawa adui namba moja.

Mkuu kumbuka kipindi chote hicho nafanya kazi town hivyo mambo yangu yanasogea. Ikafika wakati tikanunua kagari kangu nikajiongeza nikawa napiga na ishu za u MC ndio mambo yakazidi kuwa bull bull upande wangu financially..jina likawa kuwa kuliko mwili wangu kichwa kikaongezeka upana.

Basi walipoona hawana pa kunishinda wakaanza kuuunda chokochoko ili nihamishwe nipelekwe chaka..huwezi amini jitihada zao zikafanikiwa.

Nikahamishwa nikapelekwa chaka hilo ambapo ningeahindwa kabisa kendesha mambo yangu ukizingatia shughuli zangu zote nilikuwa nazifanyia town.

Ikanibidi nifanye maamuzi magumu ya kuchagua kimoja ili niemdelee na maisha yangu. Nikajilipua nikachagua bisahara niachane na kazi ya kuchezea chaki.

Hapa ndipo mambo yalianza kubadilika. Mpaka leo sijawahi kujua kea nini niliporomoka kwa kasi kiasi kile. Miaka Miwili nilikuwa nimeshafilisika nimefunga biashara zangu zote...nikawa sipati tena deals za u MC, gari ilikuja kupata ajali ikaumia vibaya sana nikaiuza kwa bei ya hasara...kuanzia mwaka 2016 - 2018. Nimeishi kwa mateso makubwa sana...hiki ndio kipindi niliweza kutofautisha marafiki wa kweli na wanafki...idadi kubwa ya marafiki niliokuwa nao kipindi hicho nina kitu walikimbia.

Nimefanyakazi za kila aina. Nimeosha magari, nimeuza viatu vya mtumba, nimekuwa kibarua kwa fundi ujenzi, nimekuwa bodaboda...yn nimepiga kazi za kila aina ili kuhakikisha napata ugari wangu wa kila siku.

Ishu iliyokuja kunirudisha kwenye reli, nilikuja kujiingiza kwenye ishu ya udalali wa vyumba, nyumba na mashamba 2018 mwezi november nikapiga dili moja matata nikapata commission ya kama 15M...Mungu hamtupi mja wake

Ndio nikarudi katika ishu zangu za biashara...now namshukuru Mungu nipo pazuri kuliko hata nilivyokuwa mwanzo, lkn naishi kwa taadhari kubwa nikiamini kwamba kwenye maisha lolote linaweza kutokea hivyo nivyema kujiimarisha mapema pia sio kila mtu anafurahia maisha uliyonayo hata kama unamsaidia ila anatamani hapo ulipo ushuke uwe chini zaidi yake.

Wale wote walionicheka na kunidharau kipindi na henyeka now nikikutana nao wanajisikia aibu kubwa...wanaishia kuniita mpambanaji ila kwa namna yoyote sijui ni kitu gani kitanirudisha nikawe mwajiriwa tena sidhani.

Pole sana mkuu huu wakati ulio nao uchukulie kama darasa kwako.
Mkuu ulikosea sana kuacha ajira aiseh.....naamini hukohuko bush ungefanya maajabu ya mifugo na kilimo wakabaki kushangaa......tunajifunza kutokana na makosa.....
 
Pole sana kiongozi. Tulio wengi humu hizo nyakati tumepitia sana. Kwanza nikuondoe hofu, usijione mpweke kuna wakati Mungu anakupitisha katika mambo magumu ili upate cha kujifunza.

Mimi ishu yangu imetofautiana kidogo na wewe ila nimewahi pitia hizo nyakati ngumu pengine ni zaidi ya ulizopitia wewe.

Mimi nikuwa mwajiriwa serikalini...(Mwalimu wa sekondari) nilifanya kazi nikiwa na malengo niliojiwekea. Mungu alinifanikisha nikaanza kuishi katika ndoto zangu. Nilifanikiwa kufungua biashara kadhaa huku nikiendelee na kazi yangu. Hivyo ikafika wakati uchumi wangu ukaanza kuimarika.

Sasa kama unavyojua mazingira ya kazi ya uwalimu walio wengi wanaishi maisha ya kutegemea mwisho wa mwezi ndio wavimbe...sasa mnyamwezi navimba everyday jambo ambalo liliwafanya baadhi ya staff wenzangu kujiona wao ni wajinga maana mtu nilie wakuta kazini nawazidi maendeleo tena kwa kiasi kikubwa mno.
Kama unavyowajua walimwengu, choko choko zikaanza...nikaanza kutengenezewa zengwe za kila aina, ikafika hatua siifurahii tena kazi yangu.

Ikafika hatua kila mtu ni adui yangu nikiangalia sioni nilipowakosea. Nikaanza kutengwa...nikifika kazini stress zinakuwa nyingi mpaka headmaster akawa adui namba moja.

Mkuu kumbuka kipindi chote hicho nafanya kazi town hivyo mambo yangu yanasogea. Ikafika wakati tikanunua kagari kangu nikajiongeza nikawa napiga na ishu za u MC ndio mambo yakazidi kuwa bull bull upande wangu financially..jina likawa kuwa kuliko mwili wangu kichwa kikaongezeka upana.

Basi walipoona hawana pa kunishinda wakaanza kuuunda chokochoko ili nihamishwe nipelekwe chaka..huwezi amini jitihada zao zikafanikiwa.

Nikahamishwa nikapelekwa chaka hilo ambapo ningeahindwa kabisa kendesha mambo yangu ukizingatia shughuli zangu zote nilikuwa nazifanyia town.

Ikanibidi nifanye maamuzi magumu ya kuchagua kimoja ili niemdelee na maisha yangu. Nikajilipua nikachagua bisahara niachane na kazi ya kuchezea chaki.

Hapa ndipo mambo yalianza kubadilika. Mpaka leo sijawahi kujua kea nini niliporomoka kwa kasi kiasi kile. Miaka Miwili nilikuwa nimeshafilisika nimefunga biashara zangu zote...nikawa sipati tena deals za u MC, gari ilikuja kupata ajali ikaumia vibaya sana nikaiuza kwa bei ya hasara...kuanzia mwaka 2016 - 2018. Nimeishi kwa mateso makubwa sana...hiki ndio kipindi niliweza kutofautisha marafiki wa kweli na wanafki...idadi kubwa ya marafiki niliokuwa nao kipindi hicho nina kitu walikimbia.

Nimefanyakazi za kila aina. Nimeosha magari, nimeuza viatu vya mtumba, nimekuwa kibarua kwa fundi ujenzi, nimekuwa bodaboda...yn nimepiga kazi za kila aina ili kuhakikisha napata ugari wangu wa kila siku.

Ishu iliyokuja kunirudisha kwenye reli, nilikuja kujiingiza kwenye ishu ya udalali wa vyumba, nyumba na mashamba 2018 mwezi november nikapiga dili moja matata nikapata commission ya kama 15M...Mungu hamtupi mja wake

Ndio nikarudi katika ishu zangu za biashara...now namshukuru Mungu nipo pazuri kuliko hata nilivyokuwa mwanzo, lkn naishi kwa taadhari kubwa nikiamini kwamba kwenye maisha lolote linaweza kutokea hivyo nivyema kujiimarisha mapema pia sio kila mtu anafurahia maisha uliyonayo hata kama unamsaidia ila anatamani hapo ulipo ushuke uwe chini zaidi yake.

Wale wote walionicheka na kunidharau kipindi na henyeka now nikikutana nao wanajisikia aibu kubwa...wanaishia kuniita mpambanaji ila kwa namna yoyote sijui ni kitu gani kitanirudisha nikawe mwajiriwa tena sidhani.

Pole sana mkuu huu wakati ulio nao uchukulie kama darasa kwako.
Asante sana mkuu
 
Habari yenu wanaJF

Poleni na Majukumu ya kila siku, Leo nimekuja kusimulia mawili matatu nayopitia katika harakati zangu nishare nanyi ndugu zangu.

Wanajf mimi Ni muhitimu wa BSc Education(Mathematics and geography) , kama post zangu nyingi zilivyojieleza huko nyuma. Nilihitimu mwaka 2019 November, nilijaribu walau Kuomba tempo katika sekondari mbalimbali hapa mjini Songea lakini sikufanikiwa kupata kwa wakati ule, (labda kwavile Sikua hata na vyeti vya Masomo yangu).

Nilifanikiwa kufungua tuition centre ya Muda wa Likizo December, Nilifanikiwa kupata wanafunzi wa kutosha kwa Kipindi kile ikizingatia nilifanya promotion ya kutosha, mwaka 2020 niliendelea kufundisha tuition centre mbalimbali Nikipata kipato walau cha kununulia mswaki na matumizi mbalimbali, niliweza kufundisha hata Watoto wa Wakubwa wa Mkoa majumbani Mwao.

Muda wa Likizo ya corona nilijichanganya katika kazi ngumu ya kuopoa na kuchimba mchanga kwasababu hata tuition hazikuruhusiwa tena, ilibidi nijivue kutoka mwalimu hadi mchimba mchanga, ni muda ambao nimejifunza mengi sana na nimekutana na wengi sana.

Ipo siku ambayo Nilipata mteja wa mchanga ambaye alikuja kuchukua mchanga kwa tractor ukizingatia tractor haliwezi kubinua ilibidi nichukue Buku ya kushushia mwenyewe, nilipokua nikishusha nyumbani kwa boss nilishangazwa kuona naitwa "teacher" na msichana Mdogo aliyetokea ndani kwa boss Ni mtoto wa boss, nilishusha mzura hadi machoni nikijua atahisi kanifananisha lakini aliita tena kwa msisitizo,.

Hakuamini kuniona pale, Mzee wake alishangaa kuitwa vile, Nilimwambia hujambo Dogo, nikachukua changu nikatembea.

Ipo siku nilipeleka mchanga site nilishangaa kukutana na headmaster wa Shule fulani niliyofanyia field akiwa ndio muhusika inabidi anipatie Pesa, nilifanya maujanja hatimaye hakuweza Nitambua.

Nilikua napakia mchanga wa mwenzangu sikumoja ( nipate 2000 ta haraka) nilishangaa boss akiletwa na bodaboda ambaye nilikua nikimkimbizia Mathematics O-level, alishangaa aliniita mkuu vipi tena? Nilipandisha mzura nikamtazama Nikamwambia Tutaongea boss.

Leo hii nimepeleka mchanga sehemu nimeshangaa kukuta fundi Mkuu ni Dogo aliecha Shule miaka ile akiwa pale sekondari, aliniuliza Bro Upo Huku sikuhizi, Nilimwambia ndio Nipe Dili hizo Niishi.

Kuna MUDA inanibidi niulize kati ya form four tuliohitimu Pamoja hivi nani ni dereva ili walau AKIPATA trip za mchanga anikumbuke na Mimi.

Unajua HAYA maisha hayana huruma, unakuta sometimes unachimba mchanga na Mzee wangu labda mnauza mnapata 50 ,000 Ila unamwambia Basi Mzee Wewe Chukua 20000 mimi Nibaki na 30000 kwa sababu mimi bado najipanga kimaisha, lakini Mzee anakaza anataka 50% anakwambia yeye ndio kaleta gari, no way utafanyaje Sasa.

Maisha yana mengi sana ya kujifunza, unajua ukishamaliza Chuo kama hivi home nako wanajua unaenda kuajiriwa soon, Kuna Muda unamwambia Mzee nipatie hizi Mbao nikachonge kitanda anakwambia Je ukipangiwa kazi Mwanza utaenda nacho? Sasa najiulizaga na nisipopangiwa Mzee itakuaje?

Wazazi wengi wetu wanaamini WANAO tutaajiriwa, yaa Ni kweli, lakini mtuwezeshe PIA kwa Kipindi hiki ambacho hatuna KITU,.

Hakuna mtu asiyependa goodlife, "we need money to go, to do our family matters".

Wanajf kama umefanikiwa usimcheke asiefanikiwa, kama unauwezo basi muwezeshe, kwa kazi nazopiga mtu mwingine mwenye degree kama mimi anaweza kataa kabisa akiona ni kujidharirisha, lakini Naamini mafanikio hayana SIRI.

Naamini katika kusubiri million basi unapaswa utafute Buku.

Unaweza teseka DUNIANI na mbinguni PIA.
Ni Mimi Ndondocha mkuu.

Karibuni kwa mchanga mgumu Songea

0738853634
View attachment 1492611

Mdomo huumba! Badilisha jina mkuu.
 
Pole sana kiongozi. Tulio wengi humu hizo nyakati tumepitia sana. Kwanza nikuondoe hofu, usijione mpweke kuna wakati Mungu anakupitisha katika mambo magumu ili upate cha kujifunza.

Mimi ishu yangu imetofautiana kidogo na wewe ila nimewahi pitia hizo nyakati ngumu pengine ni zaidi ya ulizopitia wewe.

Mimi nikuwa mwajiriwa serikalini...(Mwalimu wa sekondari) nilifanya kazi nikiwa na malengo niliojiwekea. Mungu alinifanikisha nikaanza kuishi katika ndoto zangu. Nilifanikiwa kufungua biashara kadhaa huku nikiendelee na kazi yangu. Hivyo ikafika wakati uchumi wangu ukaanza kuimarika.

Sasa kama unavyojua mazingira ya kazi ya uwalimu walio wengi wanaishi maisha ya kutegemea mwisho wa mwezi ndio wavimbe...sasa mnyamwezi navimba everyday jambo ambalo liliwafanya baadhi ya staff wenzangu kujiona wao ni wajinga maana mtu nilie wakuta kazini nawazidi maendeleo tena kwa kiasi kikubwa mno.
Kama unavyowajua walimwengu, choko choko zikaanza...nikaanza kutengenezewa zengwe za kila aina, ikafika hatua siifurahii tena kazi yangu.

Ikafika hatua kila mtu ni adui yangu nikiangalia sioni nilipowakosea. Nikaanza kutengwa...nikifika kazini stress zinakuwa nyingi mpaka headmaster akawa adui namba moja.

Mkuu kumbuka kipindi chote hicho nafanya kazi town hivyo mambo yangu yanasogea. Ikafika wakati tikanunua kagari kangu nikajiongeza nikawa napiga na ishu za u MC ndio mambo yakazidi kuwa bull bull upande wangu financially..jina likawa kuwa kuliko mwili wangu kichwa kikaongezeka upana.

Basi walipoona hawana pa kunishinda wakaanza kuuunda chokochoko ili nihamishwe nipelekwe chaka..huwezi amini jitihada zao zikafanikiwa.

Nikahamishwa nikapelekwa chaka hilo ambapo ningeahindwa kabisa kendesha mambo yangu ukizingatia shughuli zangu zote nilikuwa nazifanyia town.

Ikanibidi nifanye maamuzi magumu ya kuchagua kimoja ili niemdelee na maisha yangu. Nikajilipua nikachagua bisahara niachane na kazi ya kuchezea chaki.

Hapa ndipo mambo yalianza kubadilika. Mpaka leo sijawahi kujua kea nini niliporomoka kwa kasi kiasi kile. Miaka Miwili nilikuwa nimeshafilisika nimefunga biashara zangu zote...nikawa sipati tena deals za u MC, gari ilikuja kupata ajali ikaumia vibaya sana nikaiuza kwa bei ya hasara...kuanzia mwaka 2016 - 2018. Nimeishi kwa mateso makubwa sana...hiki ndio kipindi niliweza kutofautisha marafiki wa kweli na wanafki...idadi kubwa ya marafiki niliokuwa nao kipindi hicho nina kitu walikimbia.

Nimefanyakazi za kila aina. Nimeosha magari, nimeuza viatu vya mtumba, nimekuwa kibarua kwa fundi ujenzi, nimekuwa bodaboda...yn nimepiga kazi za kila aina ili kuhakikisha napata ugari wangu wa kila siku.

Ishu iliyokuja kunirudisha kwenye reli, nilikuja kujiingiza kwenye ishu ya udalali wa vyumba, nyumba na mashamba 2018 mwezi november nikapiga dili moja matata nikapata commission ya kama 15M...Mungu hamtupi mja wake

Ndio nikarudi katika ishu zangu za biashara...now namshukuru Mungu nipo pazuri kuliko hata nilivyokuwa mwanzo, lkn naishi kwa taadhari kubwa nikiamini kwamba kwenye maisha lolote linaweza kutokea hivyo nivyema kujiimarisha mapema pia sio kila mtu anafurahia maisha uliyonayo hata kama unamsaidia ila anatamani hapo ulipo ushuke uwe chini zaidi yake.

Wale wote walionicheka na kunidharau kipindi na henyeka now nikikutana nao wanajisikia aibu kubwa...wanaishia kuniita mpambanaji ila kwa namna yoyote sijui ni kitu gani kitanirudisha nikawe mwajiriwa tena sidhani.

Pole sana mkuu huu wakati ulio nao uchukulie kama darasa kwako.
Ni hatari sana mkuu
 
Pole sana kiongozi. Tulio wengi humu hizo nyakati tumepitia sana. Kwanza nikuondoe hofu, usijione mpweke kuna wakati Mungu anakupitisha katika mambo magumu ili upate cha kujifunza.

Mimi ishu yangu imetofautiana kidogo na wewe ila nimewahi pitia hizo nyakati ngumu pengine ni zaidi ya ulizopitia wewe.

Mimi nikuwa mwajiriwa serikalini...(Mwalimu wa sekondari) nilifanya kazi nikiwa na malengo niliojiwekea. Mungu alinifanikisha nikaanza kuishi katika ndoto zangu. Nilifanikiwa kufungua biashara kadhaa huku nikiendelee na kazi yangu. Hivyo ikafika wakati uchumi wangu ukaanza kuimarika.

Sasa kama unavyojua mazingira ya kazi ya uwalimu walio wengi wanaishi maisha ya kutegemea mwisho wa mwezi ndio wavimbe...sasa mnyamwezi navimba everyday jambo ambalo liliwafanya baadhi ya staff wenzangu kujiona wao ni wajinga maana mtu nilie wakuta kazini nawazidi maendeleo tena kwa kiasi kikubwa mno.
Kama unavyowajua walimwengu, choko choko zikaanza...nikaanza kutengenezewa zengwe za kila aina, ikafika hatua siifurahii tena kazi yangu.

Ikafika hatua kila mtu ni adui yangu nikiangalia sioni nilipowakosea. Nikaanza kutengwa...nikifika kazini stress zinakuwa nyingi mpaka headmaster akawa adui namba moja.

Mkuu kumbuka kipindi chote hicho nafanya kazi town hivyo mambo yangu yanasogea. Ikafika wakati tikanunua kagari kangu nikajiongeza nikawa napiga na ishu za u MC ndio mambo yakazidi kuwa bull bull upande wangu financially..jina likawa kuwa kuliko mwili wangu kichwa kikaongezeka upana.

Basi walipoona hawana pa kunishinda wakaanza kuuunda chokochoko ili nihamishwe nipelekwe chaka..huwezi amini jitihada zao zikafanikiwa.

Nikahamishwa nikapelekwa chaka hilo ambapo ningeahindwa kabisa kendesha mambo yangu ukizingatia shughuli zangu zote nilikuwa nazifanyia town.

Ikanibidi nifanye maamuzi magumu ya kuchagua kimoja ili niemdelee na maisha yangu. Nikajilipua nikachagua bisahara niachane na kazi ya kuchezea chaki.

Hapa ndipo mambo yalianza kubadilika. Mpaka leo sijawahi kujua kea nini niliporomoka kwa kasi kiasi kile. Miaka Miwili nilikuwa nimeshafilisika nimefunga biashara zangu zote...nikawa sipati tena deals za u MC, gari ilikuja kupata ajali ikaumia vibaya sana nikaiuza kwa bei ya hasara...kuanzia mwaka 2016 - 2018. Nimeishi kwa mateso makubwa sana...hiki ndio kipindi niliweza kutofautisha marafiki wa kweli na wanafki...idadi kubwa ya marafiki niliokuwa nao kipindi hicho nina kitu walikimbia.

Nimefanyakazi za kila aina. Nimeosha magari, nimeuza viatu vya mtumba, nimekuwa kibarua kwa fundi ujenzi, nimekuwa bodaboda...yn nimepiga kazi za kila aina ili kuhakikisha napata ugari wangu wa kila siku.

Ishu iliyokuja kunirudisha kwenye reli, nilikuja kujiingiza kwenye ishu ya udalali wa vyumba, nyumba na mashamba 2018 mwezi november nikapiga dili moja matata nikapata commission ya kama 15M...Mungu hamtupi mja wake

Ndio nikarudi katika ishu zangu za biashara...now namshukuru Mungu nipo pazuri kuliko hata nilivyokuwa mwanzo, lkn naishi kwa taadhari kubwa nikiamini kwamba kwenye maisha lolote linaweza kutokea hivyo nivyema kujiimarisha mapema pia sio kila mtu anafurahia maisha uliyonayo hata kama unamsaidia ila anatamani hapo ulipo ushuke uwe chini zaidi yake.

Wale wote walionicheka na kunidharau kipindi na henyeka now nikikutana nao wanajisikia aibu kubwa...wanaishia kuniita mpambanaji ila kwa namna yoyote sijui ni kitu gani kitanirudisha nikawe mwajiriwa tena sidhani.

Pole sana mkuu huu wakati ulio nao uchukulie kama darasa kwako.
Sahh
 
Habari yenu wanaJF

Poleni na Majukumu ya kila siku, Leo nimekuja kusimulia mawili matatu nayopitia katika harakati zangu nishare nanyi ndugu zangu.

Wanajf mimi Ni muhitimu wa BSc Education(Mathematics and geography) , kama post zangu nyingi zilivyojieleza huko nyuma. Nilihitimu mwaka 2019 November, nilijaribu walau Kuomba tempo katika sekondari mbalimbali hapa mjini Songea lakini sikufanikiwa kupata kwa wakati ule, (labda kwavile Sikua hata na vyeti vya Masomo yangu).

Nilifanikiwa kufungua tuition centre ya Muda wa Likizo December, Nilifanikiwa kupata wanafunzi wa kutosha kwa Kipindi kile ikizingatia nilifanya promotion ya kutosha, mwaka 2020 niliendelea kufundisha tuition centre mbalimbali Nikipata kipato walau cha kununulia mswaki na matumizi mbalimbali, niliweza kufundisha hata Watoto wa Wakubwa wa Mkoa majumbani Mwao.

Muda wa Likizo ya corona nilijichanganya katika kazi ngumu ya kuopoa na kuchimba mchanga kwasababu hata tuition hazikuruhusiwa tena, ilibidi nijivue kutoka mwalimu hadi mchimba mchanga, ni muda ambao nimejifunza mengi sana na nimekutana na wengi sana.

Ipo siku ambayo Nilipata mteja wa mchanga ambaye alikuja kuchukua mchanga kwa tractor ukizingatia tractor haliwezi kubinua ilibidi nichukue Buku ya kushushia mwenyewe, nilipokua nikishusha nyumbani kwa boss nilishangazwa kuona naitwa "teacher" na msichana Mdogo aliyetokea ndani kwa boss Ni mtoto wa boss, nilishusha mzura hadi machoni nikijua atahisi kanifananisha lakini aliita tena kwa msisitizo,.

Hakuamini kuniona pale, Mzee wake alishangaa kuitwa vile, Nilimwambia hujambo Dogo, nikachukua changu nikatembea.

Ipo siku nilipeleka mchanga site nilishangaa kukutana na headmaster wa Shule fulani niliyofanyia field akiwa ndio muhusika inabidi anipatie Pesa, nilifanya maujanja hatimaye hakuweza Nitambua.

Nilikua napakia mchanga wa mwenzangu sikumoja ( nipate 2000 ta haraka) nilishangaa boss akiletwa na bodaboda ambaye nilikua nikimkimbizia Mathematics O-level, alishangaa aliniita mkuu vipi tena? Nilipandisha mzura nikamtazama Nikamwambia Tutaongea boss.

Leo hii nimepeleka mchanga sehemu nimeshangaa kukuta fundi Mkuu ni Dogo aliecha Shule miaka ile akiwa pale sekondari, aliniuliza Bro Upo Huku sikuhizi, Nilimwambia ndio Nipe Dili hizo Niishi.

Kuna MUDA inanibidi niulize kati ya form four tuliohitimu Pamoja hivi nani ni dereva ili walau AKIPATA trip za mchanga anikumbuke na Mimi.

Unajua HAYA maisha hayana huruma, unakuta sometimes unachimba mchanga na Mzee wangu labda mnauza mnapata 50 ,000 Ila unamwambia Basi Mzee Wewe Chukua 20000 mimi Nibaki na 30000 kwa sababu mimi bado najipanga kimaisha, lakini Mzee anakaza anataka 50% anakwambia yeye ndio kaleta gari, no way utafanyaje Sasa.

Maisha yana mengi sana ya kujifunza, unajua ukishamaliza Chuo kama hivi home nako wanajua unaenda kuajiriwa soon, Kuna Muda unamwambia Mzee nipatie hizi Mbao nikachonge kitanda anakwambia Je ukipangiwa kazi Mwanza utaenda nacho? Sasa najiulizaga na nisipopangiwa Mzee itakuaje?

Wazazi wengi wetu wanaamini WANAO tutaajiriwa, yaa Ni kweli, lakini mtuwezeshe PIA kwa Kipindi hiki ambacho hatuna KITU,.

Hakuna mtu asiyependa goodlife, "we need money to go, to do our family matters".

Wanajf kama umefanikiwa usimcheke asiefanikiwa, kama unauwezo basi muwezeshe, kwa kazi nazopiga mtu mwingine mwenye degree kama mimi anaweza kataa kabisa akiona ni kujidharirisha, lakini Naamini mafanikio hayana SIRI.

Naamini katika kusubiri million basi unapaswa utafute Buku.

Unaweza teseka DUNIANI na mbinguni PIA.
Ni Mimi Ndondocha mkuu.

Karibuni kwa mchanga mgumu Songea

0754350882
View attachment 1492611v
Pole sana
 
Back
Top Bottom