Soma upate mawili matatu: Mhitimu mambo ninayopitia kipindi hiki katika harakati zangu

Mkuu naona Ni Kama una stress. Umesoma comment vzr wewe?? Nimesema na mm Ni graduate, sijaonja hata sec. 1 ya u-jobless kwa sababu nilikuwa mwoga wa maisha Baada ya chuo, nilichokifanya nikajichanga kwa kujinyima ili nitoke na mtaji wa kunzia maisha.

Mkuu utakuta eti na wewe una demu?? Una mmomonyoko wa ubongo mkuu
Mwaka Wa Uchaguzi Huu Usilaumu Kila Mtu Wengine Ni Wa Tia Nia Huko Na Mambo Mengi Sana Bado 😀😁😂
 
una genetics za Kiduku lilo... hakuna asiyependa kujiajiri na kujisimamia, somtmes circumstances zinakuwia vgumu. na kama hujapata kaxhkaxh za kujikwamua kimaixha, umetengenezewa ulaji na kaka au mjomba, You r lucky. Si buxara pia kujibust kwa mafanikio yako mbele ya muhangaikaji, unazidi kumkatisha tamaa.


Ona hii kunguni!!!!!

Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu

"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"

Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
 
Ona hii kunguni!!!!!

Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu

"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"


Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
Ni kweli mkuu. Sasa mheshimiwa, Mkurugenzi, mkuu na CEO je kwenye kampuni yako kuna kazi hapo watu tuje kuomba?
Naomba msaada wako mkuu 🙏🏾🙏🏾
 
Mkuu naona Ni Kama una stress. Umesoma comment vzr wewe?? Nimesema na mm Ni graduate, sijaonja hata sec. 1 ya u-jobless kwa sababu nilikuwa mwoga wa maisha Baada ya chuo, nilichokifanya nikajichanga kwa kujinyima ili nitoke na mtaji wa kunzia maisha.

Mkuu utakuta eti na wewe una demu?? Una mmomonyoko wa ubongo mkuu
Maandishi yako yanaonyesha jinsi ulivyo.
Asubuhi njema ndugu mkurugenzi.
 
Ona hii kunguni!!!!!

Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu

"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"


Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
Watu tumetifautiana mkuu binafsi napenda nikutane na watu successful Tena aelezee mafanikio yake kwa kujiamin kabisa kuonesha unachofanya kinamaanisha...! It motivates alot...kwanini wewe uweze Mimi nishndwe..lakini kila mtu ana perception zake aise..Kuna mwamba humu anaitwa graph. .anajiamini had unahisi wapi Mimi nakosea,..u go boy! Congraturation
 
una genetics za Kiduku lilo... hakuna asiyependa kujiajiri na kujisimamia, somtmes circumstances zinakuwia vgumu. na kama hujapata kaxhkaxh za kujikwamua kimaixha, umetengenezewa ulaji na kaka au mjomba, You r lucky. Si buxara pia kujibust kwa mafanikio yako mbele ya muhangaikaji, unazidi kumkatisha tamaa.
Umeandika points tupu mkuu, ila sema huo uandishi wako kwa kijana kabisa sio sahihi
 
Nikifikiriaga maisha ya chuo, najiona nilicheza Kama pele. Sijawahi kuonja hata sek 1 ya u-jobless. Nimefika tu home (mkoani kwa broo alipokuwepo, siku hiyo hiyo nikakabidhiwa mradi tuliouanzisha kwa pa1 kipindi nipo miez ya mwisho mwisho ya chuo, nikaanza kazi siku hiyo hiyo, Hadi Leo mm ndo CEO, MANAGER, MSIMAMIZI, n.k wa mradi huo.

Sitafuti hela ya kula, bali hela ya kupiga hatua kimaisha.

Kula, kulala, kuvaa na bill Kama Kodi, umeme n.k Ni uhakika nabak nasotea hela ya kupiga hatua kimaisha.

Asante Mungu Mkuu
Una haki ya kumshukuru Mungu mkuu na kumtolea sadaka iliyo kuu hata kwa kuwakumbuka watu wenye mahitaji maalumu, hustle ya mtaa kwenye kutafuta kazi na maisha kwetu wengine sio ya kawaida aise.
 
Ona hii kunguni!!!!!

Nyie ndo wale mnaokaa mnasubiri miujiza!! Mkuu labda tu nikwambie,NILIANZA KUTOAMINI KATIKA VITU KAMA NYOTA, MIUJIZA, SIJUI BAHATI nikiwa chuo Baada ya kuanza Kusoma vitabu, nikakutana na hii statement iliyobadilisha maisha, naomba kkunukuu

"There is a law of cause and effect. Nothing happens by chance or miracle. Every thing that happens has it's cause. Even those things you see as miracles it is because their causes are beyond your understanding and consciousness. So if you want something to happen, make sure you you cause them to happen, and those who will see the results to your causes will consider you to be lucky"


Mkuu ujue kuwa nilijichanga Sana na Yale maboom, nilikuwa naishi maisha Yale kuonekana HUNA SWAGA, nimekula Sana mihogo ili tu nisave hela. Hivi unapoambiwa kujichanga unaelewa??
Kujichanga naelewa sana mkuu tena kwa maisha ya chuo
 
Back
Top Bottom